< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Und Benjamin erzeugte Bela, seinen Erstgeborenen, Asbel, den zweiten, Ahrah, den dritten,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Noha, den vierten, und Rapha den fünften.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Und Bela hatte folgende Söhne: Addar, Gera, Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abisua, Naahman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Gera, Sephuphan und Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Und dies sind die Söhne Ehuds (Diese sind Familienhäupter der Bewohner von Geba, und sie führten sie als Gefangene hinweg nach Manahath;
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Naaman, Ahia und Gera, der führte sie hinweg) und er erzeugte Ussa und Ahihud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Saharaim aber erzeugte im Gefilde der Moabiter, nachdem er sie verstoßen hatte - seine Weiber Husim und Baara -,
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
da erzeugte er mit seinem Weibe Hodes: Jobab, Zibja, Mesa, Malkam,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jenz, Sochja und Mirma. Das sind seine Söhne, Familienhäupter.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
Und mit Husim erzeugte er Abitub und Elpaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Die Söhne Elpaals waren: Eber, Miseam und Semer. Dieser erbaute Ono und Lod samt den zugehörigen Ortschaften.
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Und Beria und Sema (das sind die Familienhäupter der Bewohner Ajalons; diese verjagten die Bewohner von Gath)
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
und sein Bruder Elpaal und Sasak und Jeremoth.
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Und Sebadja, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Michael, Jispa und Joha waren die Söhne Berias.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Und Sebadja, Mesullam, Hiski, Heber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Jismerai, Jislia und Jobab waren die Söhne Elpaals.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Und Jakim, Sichri, Sabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elienai, Zillethai, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaja, Beraja und Simrath waren die Söhne Simeis.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Und Jispan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Sichri, Hanon,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hananja, Elam, Anthothija,
25 Ifdeya na Penueli.
Jiphdeja und Penuel waren die Söhne Sasaks.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Und Samserai, Seharja, Athalja,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaaresja, Elia und Sichri waren die Söhne Jerohams.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Diese waren Familienhäupter in ihren Geschlechtern, Oberhäupter; diese wohnten zu Jerusalem.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Und zu Gibeon wohnten: der Vater von Gibeon, Jeiel, und sein Weib hieß Maacha.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Und sein erstgeborener Sohn war Abdon, und Zur, Kis, Baal, Ner, Nadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Gedor, Ahjo und Secher.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Mikloth aber erzeugte Simea. Und auch sie wohnten ihren Brüdern gegenüber in Jerusalem bei ihren Brüdern.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Und Ner erzeugte Abner, und Kis erzeugte Saul, und Saul erzeugte Jonathan, Malchisua, Abinadab und Esbaal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Und der Sohn Jonathans war Meribaal, und Meribaal erzeugte Micha.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Und die Söhne Michas waren Pithon, Melech, Tharea und Ahas.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ahas aber erzeugte Joadda, Joadda erzeugte Alemeth, Asmaweth und Simri. Simri erzeugte Moza,
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Moza erzeugte Binea; dessen Sohn war Rapha, dessen Sohn war Eleasa, dessen Sohn war Azel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Azel aber hatte sechs Söhne; die hießen: Asrikam, Bochru, Ismael, Searja, Obadja und Hanan. Diese alle waren Söhne Azels.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Und die Söhne seines Bruders Esek waren: Ulam, sein Erstgeborener, Jeus, der zweite, und Eliphelet, der dritte.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Und die Söhne Ulams waren kriegstüchtige Männer, die den Bogen zu spannen wußten, und hatten zahlreiche Söhne und Enkel, 150 an der Zahl. Diese alle gehören zu den Benjaminiten.

< 1 Nyakati 8 >