< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Now Benjamin begat Bela his first-born, Ashbel the second, and Aharah the third.
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Nohah the fourth, and Rapha the fifth.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
And the sons of Bela were Addar, and Gera, and Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
And Abishua, and Naaman, and Ahoah,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
And Gera, and Shephuphan, and Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
And these [are] the sons of Ehud: these are the heads of the fathers of the inhabitants of Geba, and they removed them to Manahath:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
And Naaman, and Ahiah, and Gera, he removed them, and begat Uzza, and Ahihud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
And Shaharaim begat [children] in the country of Moab, after he had sent them away; Hushim and Baara [were] his wives.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
And he begat of Hodesh his wife, Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcham,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
And Jeuz, and Shachia, and Mirma. These [were] his sons, heads of the fathers.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
And of Hushim he begat Ahitub, and Elpaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
The sons of Elpaal; Eber, and Misham, and Shamed, who built Ono, and Lod, with its town:
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Beriah also, and Shema, who [were] heads of the fathers of the inhabitants of Ajalon, who drove away the inhabitants of Gath:
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
And Ahio, Shashak, and Jeremoth,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
And Zebadiah, and Arad, and Ader,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
And Michael, and Ispah, and Joha, the sons of Beriah;
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
And Zebadiah, and Meshullam, and Hezeki, and Heber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Ishmerai also, and Jezliah, and Jobab, the sons of Elpaal;
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
And Jakim, and Zichri, and Zabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
And Elienai, and Zilthai, and Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
And Adaiah, and Beraiah, and Shimrath, the sons of Shimhi;
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
And Ishpan, and Heber, and Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
And Abdon, and Zichri, and Hanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
And Hananiah, and Elam, and Antothijah,
25 Ifdeya na Penueli.
And Iphedeiah, and Penuel, the sons of Shashak;
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
And Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
And Jaresiah, and Eliah, and Zichri, the sons of Jeroham.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
These [were] heads of the fathers, by their generations, chief [men]. These dwelt in Jerusalem.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
And at Gibeon dwelt the father of Gibeon; whose wife's name [was] Maachah:
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
And his first-born son Abdon, and Zur, and Kish, and Baal, and Nadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
And Gedor, and Ahio, and Zacher.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
And Mikloth begat Shimeah. And these also dwelt with their brethren in Jerusalem, over against them.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
And Ner begat Kish, and Kish begat Saul, and Saul begat Jonathan, and Malchi-shua, and Abinadab, and Esh-baal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
And the son of Jonathan [was] Merib-baal; and Merib-baal begat Micah.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
And the sons of Micah [were], Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
And Ahaz begat Jehoadah; and Jehoadah begat Alemeth, and Azmaveth, and Zimri; and Zimri begat Moza,
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
And Moza begat Bineah: Rapha [was] his son, Eleasah his son, Azel his son:
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
And Azel had six sons, whose names [are] these, Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and Sheariah, and Obadiah, and Hanan. All these [were] the sons of Azel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
And the sons of Eshek his brother [were], Ulam his first-born, Jehush the second, and Eliphelet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
And the sons of Ulam were mighty men of valor, archers, and had many sons, and sons' sons a hundred and fifty. All these [are] of the sons of Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >