< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
And Benjamin begat Bela' his first-born, Ashbel the second, and Achrach the third,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Nochah the fourth, and Rapha the fifth.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
And Bela' had sons, Addar, and Gera, and Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
And Abishua', and Na'aman, and Achoach,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
And Gera, and Shephuphan, and Churam.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
And these are the sons of Echud: these are the heads of the family divisions of the inhabitants of Geba', who were exiled to Manachath;
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Both Na'aman, and Achiyah; and Gera, —he exiled them, and begat 'Uzza, and Achichud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
And Shacharayim begat children in the fields of Moab, after he had sent them away—Chushim and Ba'ara his wives.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
And he begat of Chodesh his wife, Jobab, and Zibya and Mesha, and Malkam,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
And Je'uz, and Shabyah, and Mirmah. These were his sons, heads of family divisions.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
And of Chushim he begat Abitub, and Elpa'al.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
And the sons of Elpa'al: 'Eber, and Mish'am, and Shemer, who built Ono, and Lod, with its villages;
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
And Beri'ah, and Shema', who were the heads of the family divisions of the inhabitants of Ayalon; these were those who drove away the inhabitants of Gath;
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
And Achyo, Shashak, and Jeremoth.
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
And Zebadyah, and 'Arad, and 'Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
And Michael, and Yishpah, and Jocha, the sons of Beri'ah;
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
And Zebadyah, and Meshullam, and Chiski, and Cheber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
And Yishmerai, and Yizliah, and Jobab, the sons of Elpa'al:
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
And Jakim, and Zichri, and Zabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
And Eli'enai, and Zillethai, and Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
And 'Adayah, and Berayah, and Shimrath, the sons of Shim'i:
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
And Yishpan, and 'Eber, and Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
And 'Abdon, and Zichri, and Chanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
And Chananyah, and 'Elam, and 'Anthothiyah,
25 Ifdeya na Penueli.
And Yiphdeyah, and Penuel, the sons of Shashak:
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
And Shamsherai, and Shecharyah, and Athalyah,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
And Ja'areshyah, and Eliyah, and Zichri, the sons of Jerocham.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
These were the heads of the family divisions, by their generations, chief men. These dwelt in Jerusalem.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
And at Gib'on dwelt the father of Gib'on, whose wife's name was Ma'achah;
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
And his first-born son 'Abdon, then Zur, and Kish, and Ba'al, and Nadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
And Gedor, and Achyo, and Zecher.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
And Mikloth begat Shimah. And these also dwelt alongside of their brethren in Jerusalem, with their brethren.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
And Ner begat Kish, and Kish begat Saul, and Saul begat Jehonathan and Malkishua', and Abinadab, and Eshba'al.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
And the son of Jehonathan was Merib-ba'al; and Merib-ba'al begat Michah.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
And the sons of Michah were, Pithon, and Melech, and Tarea', and Achaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
And Achaz begat Jeho'addah; and Jeho'addah begat 'Alemeth, and 'Azmaveth, and Zimri; and Zimri begat Moza;
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
And Moza begat Bin'ah; Rapha was his son, El'assah his son, Azel his son.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
And Azel had six sons, and these are their names, 'Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and She'aryah, and 'Obadiah, and Chanan. All these were the sons of Azel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
And the sons of 'Eshek his brother were, Ulam his first-born, Je'ush the second, and Eliphelet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
And the sons of Ulam were mighty men of valor, who drew the bow, and had many sons, and sons' sons, one hundred and fifty. All these are of the sons of Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >