< 1 Nyakati 8 >
1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Benjamin was the father of Bela (firstborn son), Ashbel (second), Aharah (third),
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Nohah (fourth), and Rapha (fifth).
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
The sons of Bela were: Addar, Gera, Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abishua, Naaman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Gera, Shephuphan, and Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
These were the sons of Ehud, family heads living in Geba, and were exiled to Manahath:
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Naaman, Ahijah, and Gera. Gera was the one who exiled them. He was the father of Uzza and Ahihud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Shaharaim had sons in Moab after he divorced his wives Hushim and Baara.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
He married Hodesh and had Jobab, Zibia, Mesha, Malcam,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeuz, Sakia, and Mirmah. These were all his sons, family heads.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
He also had sons with Hushim: Abitub and Elpaal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
The sons of Elpaal: Eber, Misham, Shemed (he built Ono and Lod with its nearby towns),
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
and Beriah and Shema, who were family heads living in Aijalon and who drove away the people who lived in Gath.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Ahio, Shashak, Jeremoth,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zebadiah, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Michael, Ishpah, and Joha were the sons of Beriah.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Zebadiah, Meshullam, Hizki, Heber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Ishmerai, Izliah, and Jobab were the sons of Elpaal.
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elienai, Zillethai, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaiah, Beraiah, and Shimrath were the sons of Shimei.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Ishpan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zicri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hananiah, Elam, Anthothijah,
Iphdeiah, and Penuel were the sons of Shashak.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Shamsherai, Shehariah, Athaliah,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaareshiah, Elijah, and Zicri were the sons of Jeroham.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
All these were family heads, according to their genealogy. They lived in Jerusalem.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Jeiel founded Gibeon and lived there. His wife was called Maacah.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
His firstborn son was Abdon, then Zur, Kish, Baal, Ner, Nadab,
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
and Mikloth. Mikloth was the father of Shimeah. They also lived near their relatives in Jerusalem.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner was the father of Kish, Kish was the father of Saul, and Saul was the father of Jonathan, Malki-Shua, Abinadab and Esh-Baal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
The son of Jonathan: Merib-Baal, who was the father of Micah.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
The sons of Micah: Pithon, Melech, Tarea, and Ahaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ahaz was the father of Jehoaddah, Jehoaddah was the father of Alemeth, Azmaveth, and Zimri, and Zimri was the father of Moza.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Moza was the father of Binea. Raphah was his son, Eleasah his son, and Azel his son.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Azel had six sons. These were their names: Azrikam, Bokeru, Ishmael, Sheariah, Obadiah and Hanan. These were all the sons of Azel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
The sons of his brother Eshek: Ulam (firstborn), Jeush (second), and Eliphelet (third).
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
The sons of Ulam were strong warriors and skilled archers. They had many sons and grandsons—a total of 150. All of them were the sons of Benjamin.