< 1 Nyakati 8 >
1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Benjamin nonywolo Bela, wuode makayo, Ashbel wuode mar ariyo, Ahara mar adek,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
Noha mar angʼwen kod Rafa mar abich.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Yawuot Bela ne gin: Adar, Gera, Abihud,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abishua, Naaman, Ahoa,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Gera, Shefufan kod Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Magi e joka Ehud mane jotend dhoudi mane odak Geba, to ne odargi otergi Manahath.
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Naaman, Ahija to gi Gera mane odarogi kendo ne en wuon Uza kod Ahihud.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Yawuowi mane onywolne Shaharaim ei Moab bangʼe kane oseriembo monde, Hushim kod Baara.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
Mane onywolne kod chiege Hodesh, ne gin Jobab, Zibia, Mesha, Malkam,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeuz, Sakia kod Mirma. Magi ne yawuote mane otelo ne anywolagi.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
To mane onywolne kod chiege ma Hushim, ne gin Abitub kod Elpal.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Yawuot Elpal ne gin: Eber, Misham, Shemed (mane ogero Ono kod Lod kaachiel gi mier molworogi),
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
to gi Beria kod Shema mane jotend anywola mar jogo mane odak Aijalon kod jogo mane oriembo joma nodak Gath.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Ahio, Shashak, Jeremoth,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zebadia, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Mikael, Ishpa kod Joha ne yawuot Beria.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Zebadia, Meshulam, Hizki, Heber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Ishmerai, Izlia kod Jobab ne gin yawuot Elpal,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elienai, Zilethai, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaya, Beraya kod Shimrath ne gin yawuot Shimei.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Ishpan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zikri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hanania, Elam, Anthothija,
Ifdeya kod Penuel ne gin yawuot Shashak.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jareshia, Elija kod Zikri ne gin yawuot Jeroham.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Magi duto ne gin jotend anywola kendo ruodhi kaka ondikgi e nonro mar anywola kendo negidak Jerusalem.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Jeyel wuon Gibeon ne odak Gibeon. Jaode niluongo ni Maaka,
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
to wuode makayo ne en Abdon, kiluwe gi Zur, Kish, Baal, Ner, Nadab,
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
kod Mikloth mane wuon Shimea. Gin bende negidak machiegni gi wedegi Jerusalem.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner ne wuon Kish, Kish ne wuon Saulo, to Saulo ne wuon Jonathan, Malki-Shua, Abinadab kod Esh-Baal.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Wuod Jonathan ne en: Merib-Baal mane wuon Mika.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Yawuot Mika ne gin: Pithon, Melek, Tarea kod Ahaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ahaz ne wuon Jehoada, Jehoada ne wuon Alemeth, Azmaveth kod Zimri, to Zimri ne wuon Moza.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Moza nonywolo Binea, Binea nonywolo Rafa, Rafa nonywolo Eliasa, to Eliasa nonywolo Azel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Azel ne nigi yawuowi auchiel kendo magi e nying-gi: Azrikam, Bokeru, Ishmael, Shearia, Obadia kod Hanan. Magi duto ne yawuot Azel.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Yawuot owadgi ma Eshek ne gin: Ulam wuode makayo, Jeush wuode mar ariyo to gi Elifelet mar adek.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Yawuot Ulam ne thuondi ma jochir mane nyalo tiyo gi atungʼ. Ne gin gi yawuowi gi nyikwayo mangʼeny; giduto ne gin ji mia achiel gi piero abich. Magi duto ne gin joka Benjamin.