< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Benjamin rodi prvenca Belu, drugog Ašbela, trećeg Ahraba,
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
četvrtog Nohu i petog Rafu.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Belini su sinovi bili: Adar, Gera, Ehudov otac,
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abišua, Naaman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Gera, Šefufan i Huram.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Oni su bili Ehudovi sinovi i bili su obiteljski glavari onima koji su živjeli u Gebi, odakle su ih odveli u sužanjstvo u Manahat;
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Naaman, Ahija i Gera; on ih je vodio u sužanjstvo i rodio Uzu i Ahihuda.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Šaharajim, pošto je otpustio žene Hušimu i Baru, dobio je sinove u Moapskom polju:
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
sa svojom ženom Hodešom imao je sinove Jobaba, Sibju, Mešu, Malkama,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeusa, Sakju i Mirmu; to su bili njegovi sinovi, obiteljski glavari.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
S Hušimom je rodio Abituba i Elpaala.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Elpaalovi su sinovi bili: Eber, Mišam i Šamed; on je sagradio Ono i Lod s njihovim selima.
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Zatim Berija i Šema. Oni su bili obiteljski glavari onima koji su živjeli u Ajalonu i istjerali su gatske stanovnike.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Njegov brat: Šešak. Jeremot,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zabadja, Arad i Eder,
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Mihael, Jišpa i Joha bili su Berijini sinovi.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Zebadja, Mešulam, Hizki, Haber,
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Jišmeraj, Jizlia i Jobab bili su Elpaalovi sinovi.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Jakim, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elijoenaj, Siltaj, Eliel,
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaja, Beraja i Šimrat bili su Šimijevi sinovi.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Jišpan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zikri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hananija, Elam, Antotija,
25 Ifdeya na Penueli.
Jifdeja, Fenuel bili su Šešakovi sinovi.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Šamšeraj, Šeharja, Atalija,
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaarešja, Elija i Zikri bili su Jerohamovi sinovi.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
To su bili glavari obitelji svrstanih po koljenima. Živjeli su u Jeruzalemu.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
U Gibeonu su živjeli: praotac Gibeon, čija se žena zvala Maaka.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Njegov je sin prvenac bio Abdon, pa Sur, Kiš, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Gedor, Ahjo, Zaker,
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
i Miklot, koji je rodio Šimu; pa su i oni živjeli kod svoje braće u Jeruzalemu, sa svojom braćom.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner rodi Kiša, a Kiš rodi Šaula, Šaul rodi Jonatana, Malki-Šua, Abinadaba, Ešbaala,
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Jonatanov je sin bio Merib Baal; Merib Baal rodi Miku.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Mikini su sinovi bili: Piton, Melek, Tarea i Ahaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ahaz rodi Joadu; Joada rodi Alemeta, Azmaveta i Zimrija; Zimri rodi Mosu.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Mosa rodi Biniju, čiji je sin bio Rafa, a njegov sin Elasa, njegov sin Asel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Asel je imao šest sinova, kojima su imena: Azrikam, njegov prvenac, Bokru, Jišmael, Šearja, Obadja i Hanan; svi su oni bili Aselovi sinovi.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
Sinovi njegova brata Ešeka bili su: Ulam, prvenac mu, drugi Jehuš, treći Elifelet.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Ulamovi su sinovi bili hrabri junaci koji su zapinjali luk i imali mnogo sinova i unuka, sto pedeset. Svi su oni bili od Benjaminovih sinova.

< 1 Nyakati 8 >