< 1 Nyakati 8 >

1 Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
Benjamin loh a caming la Bela, a pabae ah Ashbel, a pathum ah Aharah a sak.
2 Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
A pali te Nohah, a panga te Rapha.
3 Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
Bela koca ah Addar, Gera, Abihud.
4 Abishua, Naamani, Ahoa,
Abishua, Naaman, Ahoah.
5 Gera, Shefufani na Huramu.
Gera, Shephuphan, Huram om.
6 Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
Amih he tah Geba ah kho aka sa a napa rhoek kah a lu la aka om Ehud koca rhoek ni. Tedae amih te Manahath la a poelyoe uh.
7 Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
Amih, Naaman, Ahijah, Gera te a poelyoe phoeiah tah Uzzah neh Ahihud te a sak.
8 Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
Shaharaim loh Moab khohmuen ah ca a sak phoeiah a yuu Hushim neh Baara te a hlak.
9 Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
A yuu Hodesh lamloh Jobab, Zibia, Mesha, Milkom,
10 Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
Jeuz, Sakia, Mirmah a sak. Anih koca ah he rhoek tah a napa rhoek kah a lu la om.
11 Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
Hushim lamloh Abitub neh Elpaal a sak.
12 Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
Elpaal koca ah Eber, Misham, Shemmed. Anih loh Ono, Lod neh a khobuel rhoek te a sak.
13 na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
Beriah neh Shema tah Aijalon ah kho aka sa a napa rhoek kah a lu la om. Amih rhoi loh Gath kah khosa rhoek khaw a yong sak.
14 Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
Te phoeiah Ahio, Shashak neh Jerimoth.
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zebadiah, Arad neh Eder.
16 Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
Michael, Ishpha, Beriah koca Joha.
17 Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
Zebadiah, Meshullam, Hizki neh Heber.
18 Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
Ishmerai, Izliah neh Elpaal koca Jobab rhoek.
19 Yakimu, Zikri, Zabdi,
Jakim, Zikhri neh Zabdi.
20 Elienai, Silethai, Elieli,
Elienai, Zillethai neh Eliel.
21 Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
Adaiah, Beriah neh Shimei koca Shimrath.
22 Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
Ishpan, Eber neh Eliel.
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zikhri neh Hanan.
24 Hanania, Elamu, Anthothiya,
Hananiah, Elam neh Anthothijah.
25 Ifdeya na Penueli.
Iphdeiah neh Shashak koca Penuel.
26 Shamsherai, Sheharia, Athalia,
Shamsherai, Shehariah neh Athaliah.
27 Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
Jaareshiah, Elijah neh Jeroham koca Zikhri.
28 Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
Amih rhuirhong ah khaw he rhoek he a napa rhoek kah a lu la ana om tih a lu rhoek he tah Jerusalem ah kho a sak uh.
29 Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
Gibeon ah Gibeon napa loh kho a sak tih a yuu ming tah Maakah ni.
30 Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
Anih koca ah a caming te Abdon tih Zur, Kish, Baal neh Nadab.
31 Gedori, Ahio, Zekeri,
Gedor, Ahio, Zeker.
32 na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
Mikloth loh Shimeah te a sak. Amih khaw Jerusalem ah a manuca neh a manuca hmaitoh tih kho a sak uh.
33 Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
Ner loh Kish a sak, Kish loh Saul a sak, Saul loh Jonathan, Malkhishua, Abinadab, Eshbaal a sak.
34 Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
Jonathan koca ah Meribbaal tih Meribbaal loh Maikah a sak.
35 Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
Maikah koca ah Pithon, Melek, Tarea neh Ahaz.
36 Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
Ahaz loh Jehoaddah a sak, Jehoaddah loh Alemeth, Azmaveth neh Zimri a sak. Zimri loh Moza a sak.
37 Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
Moza loh Binea a sak. Binea capa Rapha, Rapha capa Elasah, Elasah capa Azel.
38 Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
Azel te capa parhuk om tih te rhoek kah a ming tah Azrikam, Bokeru, Ishmael, Sheariah, Obadiah, Hanan. Amih he Azel koca boeih ni.
39 Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
A mana Eshek koca la a caming te Ulam tih a pabae te Jeush, a pathum te Eliphelet.
40 Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.
Ulam koca rhoek he lii aka phu tatthai hlangrhalh hlang la om uh. A ca rhoek ping tih a ca rhoek kah a ca rhoek khaw ya sawmnga louh. He boeih he Benjamin koca lamkah ni.

< 1 Nyakati 8 >