< 1 Nyakati 7 >
1 Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
Torej Isahárjevi sinovi so bili: Tolá, Puvá, Jašúb in Šimrón, štirje.
2 Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
Tolájevi sinovi: Uzí, Refajá, Jeriél, Jahmáj, Jibsám in Šemuél, poglavarji hiše njihovega očeta, namreč od Tolája. Bili so hrabri mogočni možje v svojih rodovih, katerih število je bilo v Davidovih dneh dvaindvajset tisoč šeststo.
3 Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
Uzíjevi sinovi: Jizrahjá; in Jizrahjájevi sinovi: Mihael, Obadjá, Joél in Jišijá, pet. Vsi izmed njih vodilni možje.
4 Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
Z njimi, po njihovih rodovih, po hiši njihovih očetov, so bile čete vojakov za vojno, šestintrideset tisoč mož, kajti imeli so veliko žena in sinov.
5 Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
Njihovi bratje med vsemi Isahárjevimi družinami so bili hrabri mogočni možje, prešteti po vseh njihovih rodovnikih, sedeminosemdeset tisoč.
6 Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
Benjaminovi sinovi: Bela, Beher in Jediaél, trije.
7 Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
Belovi sinovi: Ecbón, Uzí, Uziél, Jerimót in Ir, pet; poglavarji hiše njihovih očetov, močni junaški možje; prešteti so bili po njihovih rodovnikih, dvaindvajset tisoč štiriintrideset.
8 Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
Beherjevi sinovi: Zemirá, Joáš, Eliézer, Eljoenáj, Omri, Jerimót, Abíja, Anatót in Alémet. Vsi ti so Beherjevi sinovi.
9 Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
Njihovo število po njihovih rodovnikih, po njihovih rodovih, poglavarjev hiš njihovih očetov, močnih junaških mož, je bilo dvajset tisoč dvesto.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
Tudi Jediaélovi sinovi: Bilhán. Bilhánovi sinovi: Jeúš, Benjamin, Ehúd, Kenaaná, Zetán, Taršíš in Ahišáhar.
11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
Vseh teh Jediaélovih sinov, po poglavarjih njihovih očetov, močnih junaških mož, je bilo sedemnajst tisoč dvesto vojakov, primernih, da gredo ven na vojsko in bitko.
12 Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
Tudi Šupím in Hupím, Irova otroka in Huším, Ahêrjevi sinovi.
13 Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
Neftálijevi sinovi: Jahaciél, Guní, Jecer in Šalúm, Bilhini sinovi.
14 Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
Manásejevi sinovi: Asriél, ki mu je rodila ( toda njegova arámska priležnica je rodila Mahírja, Gileádovega očeta;
15 Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
in Mahír je vzel za ženo sestro Hupíma in Šupíma, čigar sestri je bilo ime Maáha) in ime drugemu je bilo Celofhád; in Celofhád je imel hčere.
16 Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
Mahírjeva žena Maáha je rodila sina in njegovo ime imenovala Pereš; in ime njegovega brata je bilo Šereš; njegova sinova pa sta bila Ulám in Rekem.
17 Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
Ulámovi sinovi: Bedán. To so bili sinovi Gileáda, sinú Mahírja, Manásejevega sina.
18 Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
Njegova sestra Moléheta je rodila Išhóda, Abiézeja in Mahlája.
19 Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
Šemidájevi sinovi so bili: Ahján, Šehem, Likhí in Aniám.
20 Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
Efrájimovi sinovi: Šutélah, njegov sin Bered, njegov sin Tahat, njegov sin Eladá in njegov sin Tahat,
21 Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
njegov sin Zabád, njegov sin Šutélah, Ecer in Elád, ki so jih usmrtil možje iz Gata, ki so bili rojeni v tej deželi, ker so prišli dol, da odvzamejo njihovo živino.
22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
Njihov oče Efrájim je mnogo dni žaloval in prišli so njegovi bratje, da ga tolažijo.
23 Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
Ko je odšel k svoji ženi, je spočela, rodila sina in njegovo ime je imenoval Berijá, ker je z njegovo hišo šlo slabo.
24 Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
(Njegova hči je bila Šeêra, ki je zgradila spodnji in zgornji Bet Horón ter Uzén Šeêro.)
25 Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
Refah je bil njegov sin, tudi Rešef in njegov sin Telah in njegov sin Tahan,
26 Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
njegov sin Ladán, njegov sin Amihúd, njegov sin Elišamá,
27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
njegov sin Non in njegov sin Ješua.
28 Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
Njihove posesti in prebivališča so bila Betel in njegova mesta, proti vzhodu Naára, proti zahodu Gezer s svojimi mesti; tudi Sihem in njegova mesta, do Gaze in njenih mest;
29 Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
in pri mejah Manásejevih otrok, Bet Šeán in njegova mesta, Taanáh in njegova mesta, Megída in njegova mesta ter Dor in njegova mesta. V teh so prebivali otroci Izraelovega sina Jožefa.
30 Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
Aserjevi sinovi: Jimnáh, Jišvá, Jišví, Berijá in njihova sestra Sêraha.
31 Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Berijájeva sinova: Heber in Malkiél, ki je Birzájitov oče.
32 Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
Heber je zaplodil Jafléta, Šomerja, Hotáma in njihovo sestro Šuo.
33 Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
Jaflétovi sinovi: Pasáh, Bimhál in Ašvát. To so Jaflétovi sinovi.
34 Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
Šemerjevi sinovi: Ahí, Rohgá, Hubá in Arám.
35 Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Sinovi njegovega brata Heléma: Cofah, Jimná, Šeleš in Amál.
36 Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
Cofahovi sinovi: Suah, Harnéfer, Šuál, Berí, Jimrá,
37 Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
Becer, Hod, Šamá, Šilšá, Jitrán in Beerá.
38 Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
Jeterjevi sinovi: Jefuné, Pispá in Ará.
39 Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
Ulájevi sinovi: Aráh, Haniél in Ricjá.
40 Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.
Vsi ti so bili Aserjevi otroci, poglavarji njihovih očetnih hiš, izbrani in močni junaški možje, vodje princev. Število tistih, ki so bili po rodovniku zmožni za vojno in bitko, je bilo šestindvajset tisoč mož.