< 1 Nyakati 7 >

1 Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
И сии сынове Иссахаровы: Фола и Фуа, и Ясув и Сомврам, четыре.
2 Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
Сынове же Фолы: Озий и Рафеа, и Иериил и Амин, и Иаффам и Самуил, князи по домом отечеств их, иже от колена Фолина, крепцы силою по родом их, ихже число во дни Давидовы двадесять и две тысящы и шесть сот.
3 Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
Сынове же Озиины Иезрий, и сынове Иезриины Михаил и Авдиа, и Иоиль и Иесиа, пять всех князей.
4 Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
И с ними по родом их, по домом отечеств их, препоясани и сильни ко ополчению на брань, тридесять и шесть тысящ: много бо имеша жен и сынов.
5 Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
Братия же их во всех племенех Иссахаровых крепцы силою, осмьдесят и седмь тысящ сочтение всех их.
6 Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
Сынове же Вениаминовы: Валай и Ховор и Иедиил, три.
7 Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
Сынове же Вллаевы: Есевон и Озиа, и Озиил и Иеримуф и Уриа, пять князей домов отечеств их, крепцы силою, и число их двадесять и две тысящы и тридесять четыре.
8 Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
Сынове же Ховоровы: Замириа и Иоав, и Елиезер и Елиана, и Амариа и Иеримуф и Авиа и Анафоф и Елмефем: вси сии сынове Ховоровы.
9 Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
Сочтение же их по родом их, князи домов отечеств их, крепцы силою, двадесять тысящ и двести.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
Сынове же Иедиилевы Валаам, и сынове Валаамовы Иеос и Вениамин, и Аоф и Аханаан, и Зифан и Фарсис и Асаир:
11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
вси сии сынове Иедиилевы, князи племен крепчайшии силою, седмьнадесять тысящ и двести ко ополчению с силою исходящии.
12 Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
И Сафан и Ифан, сынове Иеримуфовы, Есуд сын его,
13 Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
Неффалим сын его, и Есиил и Гоини, и Иесер и Селлим, сынове его, Валаам сын его.
14 Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
Сынове Манассии: Езриил, егоже роди наложница его Сира, роди же ему и Махира отца Галаадова.
15 Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
Махир же поят жену Офирови и Сафинови, и имя сестре его Мооха, имя же второму Салпаад. Родишажеся Салпааду дщери.
16 Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
И роди Мооха жена Махирова сына и нарече имя его Фарес: и имя брату его Сороор: и сынове его Улам и Ракам.
17 Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
Сынове же Уламовы Валаам: сии сынове Галаада сына Махирова сына Манассиева.
18 Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
Сестра же его Малехеф роди Иесуда и Авиезера и Маалу.
19 Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
Беху же сынове Семира: Аим и Сихем, и Докиим и Ениам.
20 Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
Сынове же Ефремли Фусалам, и Раам сын его, и Фаам сын его, и Елаад сын его, и Фаа сын его,
21 Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
и Завад сын его, и Софела сын его, и Езер и Езлада. Убиша же их мужие Гефстии, иже родишася в земли той: зане изыдоша взяти скоты их.
22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
И плакася Ефрем отец их многи дни: и приидоша братия его, да утешат его.
23 Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
И вниде к жене своей: и зача во чреве, и роди сына, и нарече имя его Вариа, яко в злых дому его рожден есть.
24 Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
Дщи же его Сараа, и бо оных оставшихся: и созда Вефорон нижний и вышний и Садру.
25 Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
Рафай же сын его, и Расеф и Фалай сынове его, и Фаан сын его,
26 Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
и Ладан сын его, и Амиуд сын его, Елисама сын его,
27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
Рун сын его, Иосий сын его.
28 Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
И одержание их и обитание их Вефиль и веси его противу востока Наараня, и к западней стране Газера и веси его, и Сихем и веси его даже до Газы и веси ея,
29 Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
и даже до предел сынов Манассииных, Вефсан и веси его, Фанаах и веси его, и Магеддон и веси его, Дор и веси его: в тех вселишася сынове Иосифа сына Израилева.
30 Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
Сынове Асировы: Иамна и Есуд, и Иесуе и Вариа, и Сарреа сестра их.
31 Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Сынове же Вариевы Ховер и Мелхиил: сей отец Завефов.
32 Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
И Ховер роди Иафлета и Сомира, и Хофана и Сулу сестру их.
33 Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
И сынове Иафлетовы: Фасех и Амамааф и Асоаф: сии сынове Иафлетовы.
34 Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
Сынове же Сомировы: Ихиур, Равгоа и Иава и Арам.
35 Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Сынове же Асуда брата его: Софа и Иамна, и Елим и Алам.
36 Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
Сынове Софовы: Суе, Ариафер и Суан, и Ворин и Имрам,
37 Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
и Васар и Иуд, и Самма и Селимван, и Иефран и Веера.
38 Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
Сынове же Иеферовы: Иефон и Фасфа и Арей.
39 Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
Сынове же Олани: Орех и Аниил и Расиа.
40 Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.
Вси сии сынове Асировы, вси князи домов отечества избраннии и крепцы силою, князи, воеводы: сочтение их во время брани на ополчение двадесять шесть тысящ мужей.

< 1 Nyakati 7 >