< 1 Nyakati 7 >

1 Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
Synami Issachara [byli]: Tola, Pua, Jaszub, Szimron – czterej.
2 Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
Synowie Tolego: Uzzi, Refajasz, Jeriel, Jachmaj, Jebsam i Szemuel – naczelnicy rodów Toli. [Byli oni] dzielnymi wojownikami w swoich czasach. Ich liczba za czasów Dawida [wynosiła] dwadzieścia dwa tysiące sześciuset.
3 Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
Synowie Uzziego: Izrachiasz, a synowie Izrachiasza: Mikael, Obadiasz, Joel i Jeszijasz, pięciu – wszyscy naczelnicy.
4 Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
A z nimi, według rodowodów, według domów ich ojców, były oddziały zbrojne do walki w liczbie trzydziestu sześciu tysięcy. Mieli bowiem wiele żon i synów.
5 Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
Ich bracia według wszystkich rodów Issachara, dzielni wojownicy, liczyli osiemdziesiąt siedem tysięcy, wszyscy spisani [byli] według rodowodów.
6 Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
[Synowie] Beniamina: Bela, Beker i Jediael, trzej.
7 Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
Synowie Beli: Eszbon, Uzzi, Uzziel, Jerimot i Iri, pięciu – naczelnicy domów ojców, dzielni wojownicy; spisani według rodowodu [liczyli] dwadzieścia dwa tysiące trzydziestu czterech.
8 Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
Synowie Bekera: Zemira, Joasz, Eliezer, Elioenaj, Omri, Jerimot, Abiasz, Anatot i Alamet. Ci wszyscy byli synami Bekera.
9 Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
A spisani według swoich rodowodów, naczelnicy domów swoich ojców, dzielni wojownicy, [liczyli] dwadzieścia tysięcy dwustu [mężczyzn].
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
Synowie Jediaela: Bilhan, a synowie Bilhana: Jehusz, Beniamin, Ehud, Kenaana, Zetan, Tarszisz i Achiszachar.
11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
Ci wszyscy synowie Jediaela, naczelnicy rodów, dzielni wojownicy, [liczyli] siedemnaście tysięcy dwustu wyruszających na wojnę do bitwy;
12 Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
Także Szuppim i Chuppim, synowie Ira, oraz Chuszim, synowie Achera.
13 Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
Synowie Neftalego: Jachasjel, Guni, Jeser i Szallum, synowie Bilhy.
14 Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
Synowie Manassesa: Asriel, którego urodziła mu żona (a jego nałożnica Aramejka urodziła Makira, ojca Gileada;
15 Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
A Makir wziął sobie za żonę siostrę Chuppima i Szuppima, która miała na imię Maaka); drugi syn miał na imię Selofchad. Selofchad zaś miał [tylko] córki.
16 Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
Maaka, żona Makira, urodziła syna i nadała mu imię Peresz. Jego brat miał na imię Szeresz, a jego synami byli Ulam i Rekiem.
17 Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
Synowie Ulama: Bedon. To są synowie Gileada, syna Makira, syna Manassesa.
18 Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
Jego siostra Hammoleket urodziła Iszhoda, Abiezera i Machlę.
19 Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
Synowie Szemidy: Achian, Szekem, Likchi i Aniam.
20 Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
Synowie Efraima: Szutelach, jego syn Bered, jego syn Tachat, jego syn Elada, jego syn Tachat;
21 Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
Jego syn Zabad, jego syn Szutelach, a także Eser i Elad, których zabili ludzie z Gat urodzeni w tej ziemi. Wtargnęli bowiem, aby zabrać ich stada.
22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
Ich ojciec Efraim opłakiwał [ich] przez wiele dni, a jego bracia przyszli, aby go pocieszyć.
23 Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
Potem obcował ze swoją żoną, a ona poczęła i urodziła syna, i nadał mu imię Beria, ponieważ stało się nieszczęście w jego domu.
24 Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
Jego córką [była] Szeera, która zbudowała Bet-Choron dolne i górne oraz Uzen-Szeera.
25 Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
I jego syn Refach, i Reszef, a jego syn Telach, jego syn Tachan;
26 Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
Jego syn Ladan, jego syn Ammihud, jego syn Eliszama;
27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
Jego syn Nun, jego syn Jozue.
28 Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
A ich posiadłości i miejsca zamieszkania to Betel i należące do niego miejscowości, na wschód – Naaran, a na zachód – Gezer i należące do niego miejscowości, a także Sychem i należące do niego miejscowości; aż do Gazy i należących do niej miejscowości.
29 Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
I aż do granic synów Manassesa, które stanowiły Bet-Szean i należące do niego miejscowości, Tanak i należące do niego miejscowości, Megiddo i należące do niego miejscowości oraz Dor i należące do niego miejscowości. W nich mieszkali synowie Józefa, syna Izraela.
30 Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
Synowie Aszera: Jimna, Jiszwa, Jiszwi, Beria i Sera, ich siostra.
31 Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Synowie Berii: Cheber i Malkiel, który [jest] ojcem Birzaita.
32 Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
A Cheber spłodził Jafleta, Szomera, Chotama oraz ich siostrę Szuę.
33 Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
Synowie Jafleta: Pasak, Bimhal i Aszwat. To [są] synowie Jafleta.
34 Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
Synowie Szomera: Achi, Rohga, Jechubba i Aram.
35 Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Synowie jego brata Chelema: Sofach, Jimna, Szelesz i Amal.
36 Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
Synowie Sofacha: Suach, Charnefer, Szual, Beri, Jimra;
37 Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
Beser, Hod, Szamma, Szilsza, Jitran i Beera.
38 Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
Synowie Jetera: Jefunne, Pispa i Ara.
39 Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
Synowie Ulli: Arach, Channiel i Risja.
40 Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.
Ci wszyscy [to] synowie Aszera, naczelnicy rodów, wyborowi i dzielni wojownicy, pierwsi wśród książąt. Ich liczba spisana według rodowodu wynosiła dwadzieścia sześć tysięcy zdolnych do walki.

< 1 Nyakati 7 >