< 1 Nyakati 7 >

1 Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
پسران یساکار: تولاع، فوه، یاشوب، شمرون.
2 Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
پسران تولاع که هر یک از آنها رئیس یک طایفه بود: عزی، رفایا، یری‌ئیل، یحمای، یبسام و سموئیل. در زمان داوود پادشاه، تعداد کل مردان جنگی این طایفه‌ها ۲۲٬۶۰۰ نفر بود.
3 Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
یزرحیا پسر عزی بود. یزرحیا و چهار پسرش به نامهای میکائیل، عوبدیا، یوئیل و یشیا، هر یک رئیس طایفه‌ای بودند.
4 Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
آنها زنان و پسران زیادی داشتند به طوری که توانستند ۳۶٬۰۰۰ مرد برای خدمت سربازی بفرستند.
5 Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
تعداد کل مردانی که از قبیلهٔ یساکار برای خدمت سربازی آمادگی داشتند ۸۷٬۰۰۰ جنگجوی زبده بود که نام تمام آنها در نسب نامه نوشته شد.
6 Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
پسران بنیامین اینها بودند: بالع، باکر و یدی‌ئیل.
7 Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
پسران بالع: اصبون، عزی، عزی‌ئیل، یریموت، عیری. این پنج نفر رئیس طایفه بودند. تعداد سربازان این طوایف به ۲۲٬۰۳۴ نفر می‌رسید که نام آنها در نسب نامه نوشته شد.
8 Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
پسران باکر: زمیره، یوعاش، الیعازار، الیوعینای، عمری، یریموت، ابیا، عناتوت و علمت.
9 Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
تعداد سربازان این طایفه به ۲۰٬۲۰۰ نفر می‌رسید که نام آنها همراه نام رؤسای طوایف در نسب نامه ثبت شد.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
بلهان پسر یدیع‌ئیل بود. پسران بلهان اینها بودند: یعیش، بنیامین، ایهود، کنعنه، زیتان، ترشیش و اخیشاحر.
11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
اینها رؤسای طوایف یدیع‌ئیل بودند که ۱۷٬۲۰۰ مرد جنگی داشتند.
12 Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
شوفی‌ها و حوفی‌ها از نسل عیر بودند و حوشی‌ها از نسل احیر.
13 Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
پسران نفتالی: یحصی‌ئیل، جونی، یصر و شلوم. (اینها نوه‌های بلهه، کنیز یعقوب بودند.)
14 Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
پسران منسی که از کنیز او که ارامی بود، به دنیا آمدند، اسرئیل و ماخیر (پدر جلعاد) بودند.
15 Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
ماخیر از میان شوفی‌ها و حوفی‌ها برای خود زن گرفت. او خواهری به نام معکه داشت. صلفحاد یکی دیگر از فرزندان منسی بود که فقط چند دختر داشت.
16 Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
زن ماخیر که او هم معکه نام داشت پسری زایید و نام او را فارش گذاشتند. اسم برادرش شارش بود و پسرانش اولام و راقم نام داشتند.
17 Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
بدان پسر اولام بود. اینها پسران جلعاد، نوه‌های ماخیر و نبیره‌های منسی بودند.
18 Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
همولکه (خواهر جلعاد) سه پسر به دنیا آورد به نامهای: ایشهود، ابیعزر و محله.
19 Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
اخیان، شکیم، لقحی، انیعام پسران شمیداع بودند.
20 Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
نسل افرایم به ترتیب عبارت بودند از: شوتالح، بارد، تحت، العادا، تحت، زاباد، شوتالح، عازر و العاد. العاد و عازر قصد داشتند گله‌های جتی‌ها را که در آن سرزمین ساکن بودند غارت کنند، ولی به دست روستایی‌های آنجا کشته شدند.
21 Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
پدرشان افرایم مدت زیادی برای آنها ماتم گرفت و اقوامش به دلداری او آمدند.
23 Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
پس از آن، زن افرایم حامله شده پسری زایید و به یاد آن مصیبت نام او را بریعه (یعنی «فاجعه») گذاشتند.
24 Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
نام دختر افرایم، شیره بود. شیره، بیت‌حورون پایین و بالا و اوزین شیره را بنا کرد.
25 Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
افرایم پسر دیگری داشت به نام رافح که نسل او عبارت بودند از: راشف، تالح، تاحن،
26 Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
لعدان، عمیهود، الیشمع،
27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
نون و یوشع.
28 Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
ناحیه‌ای که آنها در آن زندگی می‌کردند شامل بیت‌ئیل و روستاهای اطرافش بود که از طرف شرق تا نعران و از سمت غرب تا جازر و روستاهای حوالی آن امتداد می‌یافت. شهرهای دیگر این ناحیه شکیم و ایه با دهکده‌های اطراف آنها بودند.
29 Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
قبیلهٔ منسی که از نسل یوسف پسر یعقوب بودند، شهرهای زیر و نواحی اطراف آنها را در اختیار داشتند: بیت‌شان، تعناک، مجدو و دُر.
30 Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
پسران اشیر عبارت بودند از: یمنه، یشوه، یشوی و بریعه. اشیر دختری به نام سارح نیز داشت.
31 Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
پسران بریعه عبارت بودند از: حابر و ملکی‌ئیل (پدر برزاوت).
32 Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
پسران حابر عبارت بودند از: یفلیط، شومیر و حوتام. حابر دختری به نام شوعا نیز داشت.
33 Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
پسران یفلیط عبارت بودند از: فاسک، بمهال و عشوت.
34 Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
پسران شومیر برادر یفلیط اینها بودند: روهجه، یحبه و ارام.
35 Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
پسران برادر او هیلام عبارت بودند از: صوفح، یمناع، شالش و عامال.
36 Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
پسران صوفح عبارت بودند از: سوح، حرنفر، شوعال، بیری، یمره،
37 Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
باصر، هود، شما، شلشه، یتران و بئیرا.
38 Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
پسران یتر عبارت بودند از: یفنه، فسفا و آرا.
39 Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
پسران علا عبارت بودند از: آرح، حنی‌ئیل و رصیا.
40 Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.
همهٔ فرزندان اشیر که سران طایفه‌ها بودند، جنگاورانی کارآزموده و رهبرانی برجسته محسوب می‌شدند. تعداد مردان جنگی این طایفه که در نسب نامه ثبت گردید ۲۶٬۰۰۰ نفر بود.

< 1 Nyakati 7 >