< 1 Nyakati 7 >
1 Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
Isakari abotaki bana mibali minei: Tola, Puwa, Yashubi mpe Shimironi. Bango nyonso bazalaki minei.
2 Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
Bana mibali ya Tola: Uzi, Refaya, Yeriyeli, Yamayi, Yibisami mpe Samuele. Bango nde babotamaki na nzela ya Tola mpe bazalaki bakambi ya mabota ya botata na bango. Kati na mabota na bango, bazalaki basoda ya mpiko nkoto tuku mibale na mibale na nkama motoba, na tango Davidi azalaki mokonzi.
3 Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
Bana mibali ya Uzi: Yiziraya. Bana mibali ya Yiziraya: Mikaeli, Abidiasi, Joeli mpe Yishiya. Bango nyonso mitano bazalaki bakambi.
4 Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
Kati na molongo na bango kolanda bituka na bango mpe mabota na bango ya botata; ezalaki na basoda ya mpiko nkoto tuku misato na motoba, pamba te bazalaki na basi mpe bana ebele.
5 Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
Bandeko mibali nyonso kati na bituka ya libota ya Isakari, oyo bakomamaki na buku ya mabota, bazalaki nkoto tuku mwambe na sambo. Bazalaki basoda ya mpiko.
6 Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
Benjame abotaki bana mibali misato: Bela, Bekeri mpe Yediayeli.
7 Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
Bela abotaki bana mibali mitano: Etsiboni, Uzi, Uzieli, Yerimoti mpe Iri. Bazalaki bakambi ya bituka na bango mpe basoda ya mpiko. Motango ya bato oyo batangamaki ezalaki nkoto tuku mibale na mibale na tuku misato na minei.
8 Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
Bana mibali ya Bekeri: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Eliowenayi, Omiri, Yeremoti, Abiya, Anatoti mpe Alemeti. Bango nyonso nde bazalaki bana mibali ya Bekeri.
9 Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
Motango ya basoda ya mpiko, kolanda bituka na bango, ezalaki nkoto tuku mibale na nkama mibale.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
Bakitani ya Yediayeli: Bilani. Bana mibali ya Bilani: Yewushi, Benjame, Ewudi, Kenaana, Zetani, Tarsisi, Ayishaari.
11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
Kati na molongo ya Yediayeli, bakitani nyonso bazalaki bakambi ya bituka na bango mpe basoda ya mpiko. Motango na bango ezalaki nkoto zomi na sambo na nkama mibale.
12 Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
Bana mibali ya Iri: Shupimi mpe Upime. Ushimi azalaki mwana mobali ya Aeri.
13 Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
Bana mibali ya Nefitali: Yatseyeli, Guni, Yetseri mpe Shalumi. Bazalaki bakitani ya Bila.
14 Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
Bakitani ya Manase: Asirieli na nzela ya makangu na ye, moto ya Arami. Abotelaki ye lisusu Makiri, tata ya bato ya Galadi.
15 Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
Makiri abalaki Maaka oyo azalaki ndeko mwasi ya Upime mpe Shupimi. Kombo ya mwana mobali mosusu ya Manase ezalaki « Tselofikadi. » Tselofikadi abotaki kaka bana basi.
16 Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
Maaka, mwasi ya Makiri, abotelaki ye lisusu mwana mobali oyo apesaki kombo « Peretsi. » Peretsi azalaki na ndeko mobali, Shereshi, oyo abotaki bana mibali oyo: Ulami mpe Rekemi.
17 Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
Ulami abotaki: Bedani oyo azalaki mwana mobali. Bango nde bazalaki bakitani ya Galadi, mwana mobali ya Makiri, mwana mobali ya Manase.
18 Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
Amoleketi, ndeko mwasi ya Manase, abotaki Ishodi, Abiezeri mpe Mala.
19 Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
Bana mibali ya Shemida: Ayani, Sishemi, Liki mpe Aniami.
20 Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
Bakitani ya Efrayimi: Efrayimi abotaki Shutela, Shutela abotaki Beredi, Beredi abotaki Taati, Taati abotaki Eleada, Eleada abotaki Taati,
21 Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
Taati abotaki Zabadi, mpe Zabadi abotaki Shutela. Bankolo mboka oyo babotamaki na mokili ya Gati, babomaki Ezeri mpe Eleadi, pamba te balukaki kobotola bibwele ya bato ya Gati.
22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
Tata na bango Efrayimi alelaki bango mikolo ebele, mpe bandeko na ye bayaki kobondisa ye.
23 Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
Sima na yango, Efrayimi asangisaki lisusu nzoto na mwasi na ye oyo azwaki zemi mpe abotaki mwana mobali. Boye Efrayimi apesaki ye kombo « Beria, » pamba te abotamaki tango pasi ezalaki kati na libota na ye.
24 Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
Efrayimi azalaki lisusu na mwana mwasi, Shera, oyo atongaki Beti-Oroni ya ngomba mpe ya lubwaku, mpe Uzeni-Shera.
25 Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
Beria abotaki Refa, Refa abotaki Retsefi, Retsefi abotaki Tela, Tela abotaki Tayani,
26 Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
Taani abotaki Laedani, Laedani abotaki Amiwudi, Amiwudi abotaki Elishama, Elishama abotaki Nuni,
27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
Nuni abotaki Jozue.
28 Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
Bakitani ya Efrayimi bazwaki lokola libula mpe bisika ya kovanda: Beteli mpe bamboka na yango ya mike, na ngambo ya este; Narani, na ngambo ya weste; Gezeri mpe bamboka na yango ya mike; Sishemi mpe bamboka na yango ya mike kino na Aya mpe bamboka na yango ya mike.
29 Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
Bakitani ya Manase bazwaki lokola libula: Beti-Sheani, Taanaki, Megido, Dori mpe bamboka na yango ya mike. Bakitani ya Jozefi, mwana mobali ya Isalaele, bazalaki kovanda na bingumba wana nyonso.
30 Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
Bana mibali ya Aseri: Yimina, Yishiva, Yishivi mpe Beria. Sera azalaki ndeko na bango ya mwasi.
31 Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Bana mibali ya Beria: Eberi mpe Malikieli oyo azalaki tata ya bato ya Biriza.
32 Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
Bana mibali ya Eberi: Yafeleti, Shomeri, Otami mpe ndeko na bango ya mwasi Shuwa.
33 Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
Bana mibali ya Yafeleti: Pasaki, Bimali mpe Ashivati. Bango nde bazalaki bana mibali ya Yafeleti.
34 Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
Bana mibali ya Shemeri: Ayi, Roega, Yewuba mpe Arami.
35 Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Bana mibali ya Elemi, ndeko mobali ya Shemeri: Tsofa, Yimina, Sheleshi mpe Amali.
36 Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
Bana mibali Tsofa: Suwa, Arineferi, Shuwali, Beri, Yimira,
37 Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
Betseri, Odi, Shama, Shilisha, Yitirani mpe Beera.
38 Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
Bana mibali ya Yeteri: Yefune, Pisipa mpe Ara.
39 Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
Bana mibali ya Ula: Ara, Anieli mpe Ritsiya.
40 Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.
Bango nyonso bazalaki bakitani ya Aseri: bazalaki bakambi ya mabota na bango, bato ya lokumu, basoda ya mpiko mpe bakambi ya bakambi ya bituka. Motango ya bato nyonso oyo bakomamaki na buku ya mabota mpe bakoki mpo na bitumba, ezalaki nkoto tuku mibale na motoba.