< 1 Nyakati 7 >

1 Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
Dagiti uppat a putot a lallaki ni Issacar ket da Tola, Pua, Jasub, ken Simron.
2 Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
Dagiti putot a lallaki ni Tola ket da Uzzi, Rafaias, Jeriel, Jamai, Ibsam ken Semuel. Dagitoy dagiti nagtaudan dagiti puli manipud kadagiti kapuonanda, nga isu dagiti puli ni Tola. Napipigsa ken natuturedda a lallaki. Ti bilangda ket 22, 600 idi tiempo ni David, sigun kadagiti listaanda.
3 Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
Ti putot a lalaki ni Uzzi ket ni Izrahias. Dagiti putotna a lallaki ket da Micael, Obadias, Joel, Isshias, lima amin iti mangidadaulo kadagiti pulida.
4 Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
Kaduada dagiti 36, 000 a buyot iti pannakigubat, sigun kadagiti listaan dagiti puli iti kapuonanda gapu ta adu ti assawa ken annakda.
5 Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
Dagiti kakabsatda a lallaki: ti tribu ti Issacar ket addaan iti 87, 000 a lallaki a mannakigubat sigun kadagiti listaan dagiti puli iti kapuonanda.
6 Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
Dagiti tallo a putot a lallaki ni Benjamin ket da Bela, Becer, ken Jediael.
7 Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
Dagiti lima a putot a lallaki ni Bela ket da Ezbon, Uzzi, Uzziel, Jerimot, ken ni Iri. Soldado dagitoy ken isu ti nangrugian dagiti puli. Ti bilang dagiti tattaoda ket 22, 034 a lallaki a mannakigubat, sigun kadagiti listaan dagiti puli iti kapuonan.
8 Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
Dagiti putot a lallaki ni Becer ket da Zemiras, Joas, Eliezer, Elioenai, Omri, Jeremot, Abija, Anatot, ken Alemet. Amin dagitoy ket putotna a lallaki.
9 Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
Ti nailista a bilang dagiti pulida ket 20, 200 a mangidadaulo dagiti familia ken lallaki a mannakigubat.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
Ti putot a lalaki ni Jediael ket ni Bilhan. Dagiti putot a lallaki ni Bilhan ket da Jeus, Benjamin, Ehud, Chenaanas, Zetan, Tarhsis, ken Ahisahar.
11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
Amin dagitoy ket putotna a lallaki ni Jediael. Dagiti nailista kadagiti listaan dagiti pulida ket 17, 200 a mangidadaulo ken lallaki a mannakigubat a mabalin nga agserbi iti militar.
12 Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
(Da Suppim ken Huppim ket putot a lallaki ni Ir, ken ni Husim ket putot a lalaki ni Aher.)
13 Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
Dagiti putot a lallaki ni Naftali ket da Jaziel, Guni, Jezer, ken Sallum. Appoko dagitoy ni Bilha.
14 Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
Addaan ni Manases iti putot a lalaki nga agnagan iti Asriel nga impasngay ti inkabbalayna nga Aramita. Impasnagyna pay ni Macir, nga ama ni Galaad.
15 Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
Nangasawa ni Macir iti nagtaud kadagiti Huppita ken Suppita. Ti nagan ti kabsatna a babai ket Maaca. Ti maysa pay kadagiti kaputotan ni Manases ket ni Zelofehad, nga addaan laeng iti annak a babbai.
16 Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
Ni Maaca nga asawa ni Macir ket naganak iti lalaki, ket pinanagananna iti Peres. Ti nagan ti kabsatna a lalaki ket Seres, a dagiti putotna a lallaki ket da Ulam ken Rakem.
17 Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
Ti putot a lalaki ni Ulam ket ni Bedan. Dagitoy dagiti kaputotan ni Galaad a putot a lalaki ni Macir, a putot a lalaki ni Manases.
18 Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
Impasngay ni Hammolecet a kabsat a babai ni Galaad da Isod, Abi Ezer, ken Mala.
19 Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
Dagiti putot a lallaki ni Semida ket da Ahian, Shecem, Likhi, ken Aniam.
20 Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
Dagiti kaputotan ni Efraim ket dagiti sumaganad: Ti putot a lalaki ni Efraim ket ni Sutela. Ti putot a lalaki ni Sutela ket ni Bered. Ti putot a lalaki ni Bered ket ni Tahat.
21 Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
Ti putot a lalaki ni Tahat ket ni Eleada. Ti putot a lalaki ni Eleada ket ni Tahat. Ti putot a lalaki ni Tahat ket ni Zabad. Ti putot a lalaki ni Zabad ket ni Sutela. (Da Ezer ken Elead ket pinatay dagiti lalaki ti Gat nga agnanaed iti daga, idi mapanda takawen dagiti bakada.
22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
Nagleddaang ni Efraim nga amada gapu kadakuada iti adu nga aldaw, ket immay dagiti kakabsatna a lallaki tapno liwliwaenda isuna.
23 Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
Kinaiddana ti asawana. Nagsikog ket impasngayna ti maysa a lalaki. Pinanaganan isuna ni Efraim iti Beria, gapu iti dimteng pasamak iti familiana.
24 Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
Ti putotna a babai ket ni Seera, a nangibangon iti akin-baba ken akin-ngato a Bet Horon ken Uzzen Seera).
25 Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
Ti putotna a lalaki ket ni Refa. Ti putot a lalaki ni Refa ket ni Resef. Ti putot a lalaki ni Resef ket ni Tela. Ti putot a lalaki ni Tela ket ni Tahan.
26 Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
Ti putot a lalaki ni Tahan ket ni Ladan. Ti putot a lalaki ni Ladan ket ni Ammihud. Ti putot a lalaki ni Amihud ket ni Elisama.
27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
Ti putot a lalaki ni Elisama ket ni Nun. Ti putot a lalaki ni Nun ket ni Josue.
28 Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
Dagiti sanikua ken pagnanaedanda ket iti Betel ken dagiti aglawlaw a bariona. Nagpadayada agingga iti Naaran ken nagpalaudda agingga iti Gezer ken dagiti bariona, ken agingga iti Sechem ken dagiti bario daytoy nga agingga iti Ayyas ken dagiti bario daytoy.
29 Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
Ti nagbeddengan iti Manases ket ti Bet Sean ken dagiti bariona, iti Taanac ken dagiti bariona, iti Meggiddo ken dagiti bariona, ken iti Dor ken dagiti bariona. Kadagitoy nga il-ili a nagnaed dagiti kaputotan ni Jose a putot a lalaki ni Israel.
30 Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
Dagiti putot a lallaki ni Aser ket da Imnas, Isvas, Isvi, ken Berias, ni Seras ti kabsatda a babai.
31 Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Dagiti putot a lallaki ni Beria ket da Heber ken Malkiel, nga ama ni Birzait.
32 Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
Dagiti putot a lallaki ni Heber ket da Jaflet, Somer, ken Hotam, ni Sua ti kabsatda a babai.
33 Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
Dagiti putot a lallaki ni Jaflet ket da Pasac, Bimal, ken Ashvat. Dagitoy dagiti annak ni Jaflet.
34 Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
Ni Somer a kabsat a lalaki ni Jaflet ket dagitoy dagiti putotna a lallaki: da Rohgas, Jehubbas, ken Aram.
35 Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Ni Helem a kabsat a lalaki ni Semer, ket dagitoy dagiti putotna a lallaki: da Zofas, Imna, Seles ken Amal.
36 Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
Dagiti putot a lallaki ni Zopas ket da Sua, Harnefer, Sual, Beri, Imras,
37 Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
Bezer, Hod, Samma, Shilhas, Itran ken Beera.
38 Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
Dagiti putot a lallaki ni Jeter ket da Jefone, Pispa, ken Ara.
39 Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
Dagiti putot a lallaki ni Ulla ket da Aras, Hanniel ken Rizia.
40 Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.
Amin dagitoy ket kaputotan ni Aser. Isuda dagiti nangrugian dagiti puli, dagiti mangidadaulo kadagiti familiada, mabigbigbig a lallaki, lallaki a mannakigubat ken kangangatoan kadagiti mangidadaulo. Adda nailista a 26, 000 a lallaki a mabalin nga agserbi iti militar, sigun iti nailista a bilangda.

< 1 Nyakati 7 >