< 1 Nyakati 7 >

1 Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
Forsothe the sones of Isachar weren foure; Thola, and Phua, Jasub, and Sameron.
2 Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
The sones of Thola weren Ozi, and Raphaia, and Jerihel, and Jemay, and Jepsen, and Samuel, princis bi the housis of her kynredis. Of the generacioun of Thola, weren noumbrid strongeste men in the daies of Dauid, two and twenti thousynde and sixe hundrid.
3 Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
The sones of Ozi weren Jezraie; of whom weren borun Mychael, and Obadia, and Johel, and Jezray, fyue, alle princes.
4 Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
And with hem weren bi her meynees and puplis, sixe and thretti thousynde strongeste men gird to batel; for thei hadden many wyues and sones.
5 Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
And her britheren by alle the kynredis of Isachar `moost stronge to fiyte weren noumbrid foure scoore and seuene thousynde.
6 Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
The sones of Beniamyn weren Bale, and Bothor, and Adiel, thre.
7 Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
The sones of Bale weren Esbon, and Ozi, and Oziel, and Jerymoth, and Vray, fyue, princes of meynees, mooste stronge to fiyte; for the noumbre of hem was two and twenti thousynde and foure and thretti.
8 Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
Forsothe the sones of Bochor weren Samara, and Joas, and Eliezer, and Elioenai, and Zamri, and Jerimoth, and Abia, and Anathoth, and Almachan; alle these weren the sones of Bochor.
9 Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
Sotheli the princes of kynredis weren noumbrid bi her meynees twenti thousynde and two hundrid moost stronge men to batels.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
Forsothe the sones of Ledihel weren Balan; sotheli the sones of Balan weren Jheus, and Beniamyn, and Aoth, and Camana, and Jothan, and Tharsis, and Thasaar.
11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
Alle these the sones of Ledihel weren princes of her meynees, seuentene thousynde and two hundrid, strongeste men goynge forth to batel.
12 Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
Also Saphan and Apham weren the sones of Hir; and Basym was the sone of Aser.
13 Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
Forsothe the sones of Neptalym weren Jasiel, and Guny, and Aser, and Sellum; the sones of Bale.
14 Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
Sotheli the sone of Manasses was Esriel; and Sira his secundarie wijf childide Machir, the fadir of Galaad.
15 Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
And Machir took wyues to hise sones Huphyn and Suphyn; and he hadde a sister Maacha bi name; and the name of the secounde sone was Salphaath, and douytris weren borun to Salphaath.
16 Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
And Maacha, the wijf of Machir, childide a sone, and clepide his name Phares; forsothe the name of his brothir was Sares; and hise sones weren Vlam and Recem.
17 Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
Sotheli the sone of Vlam was Baldan. These weren the sones of Galaad, sone of Machir, sone of Manasses;
18 Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
forsothe Regma his sistir childide a feir man, Abiezer, and Mola.
19 Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
Forsothe the sones of Semyda weren Abym, and Sichem, and Liey, and Amany.
20 Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
Sotheli the sones of Effraym weren Suchaba; Bareth, his sone; Caath, his sone; Elda, his sone; and Thaath, his sone; and Zadaba, his sone;
21 Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
and Suthala, his sone; and Ezer, and Elad, his sones. Forsothe men of Geth borun in the lond killiden hem, for thei yeden doun to assaile her possessiouns.
22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
Therfor Effraym, the fadir of hem, weilide bi many daies; and hise britheren camen to coumforte hym.
23 Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
And he entride to his wijf, which conseyuede, and childide a sone; and he clepide his name Beria, for he was borun in the yuelis of his hows.
24 Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
Sotheli his douytir was Sara; that bildide Betheron, the lowere and the hiyere, and Ozen, and Sara.
25 Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
Forsothe his sone was Rapha, and Reseph, and Thale;
26 Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
of whom was borun Thaan, that gendride Laodon; and Amyud, the sone of hym, gendride Elysama;
27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
of whom was borun Nun; that hadde a sone Josue.
28 Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
Sotheli the possessioun and `dwellyng place of hem was Bethil with hise villagis, and ayens the eest, Noram; at the west coost, Gazer, and hise villagis, also Sichem with hise villagis, and Aza with hise villagis.
29 Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
Also bisidis the sones of Manasses, Bethsan, and hise townes, Thanach and hise townes, Maggeddo, and hise townes, Dor, and hise townes; the sones of Joseph sone of Israel dwelliden in these townes.
30 Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
The sones of Aser weren Sona, and Jesua, and Isuy, and Baria; and Sara was the sister of hem.
31 Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Sotheli the sones of Baria weren Heber, and Melchiel; he is the fadir of Barsath.
32 Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
Sotheli Heber gendride Ephiath, and Soomer, and Otham, and Sua, the sister of hem.
33 Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
Forsothe the sones of Jephiath weren Phosech, and Camaal, and Jasoph; these weren the sones of Jephiath.
34 Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
Sotheli the sones of Soomer weren Achi, and Roaga, and Jaba, and Aram.
35 Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Sotheli the sones of Helem, his brother, weren Supha, and Jema, and Selles, and Amal.
36 Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
The sones of Supha weren Sue, Arnapheth, and Sual, and Bery,
37 Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
and Jamra, and Bosor, and Ador, and Sama, and Salusa, and Jethram, and Beram.
38 Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
The sones of Ether weren Jephone, and Phaspha, and Ara.
39 Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
Sotheli the sones of Ollaa weren Areth, and Aniel, and Resia.
40 Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.
Alle these weren the sones of Aser, princes of kynredis, chosun men and strongeste duykis of duykis; forsothe the noumbre, of the age of hem that weren abel to batel, was sixe and twenti thousynde.

< 1 Nyakati 7 >