< 1 Nyakati 7 >
1 Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
The sons of Issachar: Tola, Puah, Jashub and Shimron—a total of four.
2 Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
The sons of Tola: Uzzi, Rephaiah, Jeriel, Jahmai, Ibsam, and Samuel—leaders of their families. In the time of David, the descendants of Tola listed in their genealogy a total of 22,600 warriors.
3 Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
The son of Uzzi: Izrahiah. The sons of Izrahiah: Michael, Obadiah, Joel, and Isshiah. All five were family heads.
4 Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
They had many wives and sons and so in their genealogy they list 36,000 battle-ready fighting men.
5 Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
The relatives who were warriors belonging to all the families of Issachar, according to their genealogy, were 87,000 in total.
6 Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
Three sons of Benjamin: Bela, Beker, and Jediael.
7 Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
The sons of Bela: Ezbon, Uzzi, Uzziel, Jerimoth, and Iri, leaders of their families—a total of five. They had 22,034 fighting men according to their genealogy.
8 Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
The sons of Beker: Zemirah, Joash, Eliezer, Elioenai, Omri, Jeremoth, Abijah, Anathoth, and Alemeth. These were all the sons of Beker.
9 Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
Their genealogy included the family heads and 20,200 fighting men.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
The son of Jediael: Bilhan. The sons of Bilhan: Jeush, Benjamin, Ehud, Kenaanah, Zethan, Tarshish, and Ahishahar.
11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
All these sons of Jediael were family heads. They had 17,200 battle-ready warriors.
12 Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
Shuppim and Huppim were sons of Ir, and Hushim was the son of Aher.
13 Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
The sons of Naphtali: Jahziel, Guni, Jezer, and Shallum—the descendants of Bilhah.
14 Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
The sons of Manasseh: Asriel whose mother was his Aramean concubine. She was also the mother of Makir, the father of Gilead.
15 Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
Makir found a wife for Huppim and a wife for Shuppim. His sister's name was Maacah. The second was called Zelophehad. She only had daughters.
16 Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
Maacah, Makir's wife, had a son and called him Peresh. His brother was called Sheresh, and his sons were Ulam and Rakem.
17 Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
The son of Ulam: Bedan. These were all the sons of Gilead, son of Makir, son of Manasseh.
18 Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
His sister Hammoleketh was the mother of Ishhod, Abiezer, and Mahlah.
19 Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
The sons of Shemida were: Ahian, Shechem, Likhi, and Aniam.
20 Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
The descendants of Ephraim: Shuthelah, Bered his son, Tahath his son, Eleadah his son, Tahath his son,
21 Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
Zabad his son, and Shuthelah his son. Ezer and Elead were killed by the men who were living in Gath when they went there to try and steal their livestock.
22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
Their father Ephraim mourned for them a long time, and his relatives came to comfort him.
23 Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
Then he slept with his wife again. She became pregnant and gave birth to a son, whom he named him Beriah because of this family tragedy.
24 Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
Sheerah, his daughter, founded Lower and Upper Beth Horon together with Uzzen Sheerah.
25 Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
Rephah was his son, Resheph his son, Telah his son, Tahan his son,
26 Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
Ladan his son, Ammihud his son, Elishama his son,
27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
Nun his son and Joshua his son.
28 Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
The land they owned and the places they lived included Bethel and nearby towns, from Naaran to the east to Gezer and its towns to the west, and Shechem and its towns up to Ayyah and its towns.
29 Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
On the border with Manasseh were Beth Shan, Taanach, Megiddo, and Dor, along with their towns. These were the towns where the descendants of Joseph son of Israel lived.
30 Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
The sons of Asher: Imnah, Ishvah, Ishvi, and Beriah. Their sister was Serah.
31 Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
The sons of Beriah: Heber and Malkiel, the father of Birzaith.
32 Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
Heber was the father of Japhlet, Shomer, and Hotham, and of their sister Shua.
33 Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
The sons of Japhlet: Pasach, Bimhal, and Ashvath. These were all the sons of Japhlet.
34 Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
The sons of Shomer: Ahi, Rohgah, Hubbah, and Aram.
35 Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
The sons of his brother Helem: Zophah, Imna, Shelesh, and Amal.
36 Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
The sons of Zophah: Suah, Harnepher, Shual, Beri, Imrah,
37 Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
Bezer, Hod, Shamma, Shilshah, Ithran, and Beera.
38 Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
The sons of Jether: Jephunneh, Pispah, and Ara.
39 Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
The sons of Ulla: Arah, Hanniel, and Rizia.
40 Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.
These were all descendants of Asher—family heads, proven men, strong warriors, and great leaders. According to their genealogy, they had 26,000 battle-ready warriors.