< 1 Nyakati 7 >
1 Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
Isaga egefelali da Doula, Biua, Ya: isiabe amola Similone. Gilisili da biyaduyale galu.
2 Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
Doula egefelali da Asai, Lifa: iya, Yiliele, Yama: iai, Yibisame amola Sa: miuele. Ilia huluane da ilia sosogo fima fada: i dunu. Da: ibidi ea ouligisu esoga, Doula egaga fi dadi gagui dunu dedene legei ilia idi da 22,600 agoane ba: i.
3 Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
Asai egefe da Isalahaia. Isalahaia egefelali da Maiga: le, Oubadaia, Youele amola Isalahaia. Ili huluane da fada: i dunu esafulu.
4 Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
Isalahaia. egaga fi dadi gagui dunu gegemusa: momagei, dedene legei ilia idi da 36,000 agoane ba: i. Bai ilia uda amola mano bagohame galu.
5 Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
Isaga sosogo fi huluane ilia dadi gagui dunu huluane dedene legei, ilia idi da 87,000 agoane ba: i.
6 Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
Bediamini egefe udiana da Bila, Biga amola Yidia: le.
7 Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
Bila egefelali da Esebone, Asai, Asaiele, Yelimode amola Ailai. Huluane da biyale galu amola ili da ilia sosogo fi amolalia fada: i dunu esafulu. Ilia dadi gagui dunu dedene legei da 22,034 agoane
8 Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
Biga egefelali da Simaila, Youa: sie, Elia: isa, Eliounai, Omeli, Yelimode, Abaidia, A:nadode amola A: lemede. Ilia fi meloa dedene legei amo ganodini, ilia fi fada: i dunu esafulu amola ilia dadi gagui wa: i idi 20,200 huluane dedene legei ba: i.
9 Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
Yedaia: le egefe da Biliha: ne. Biliha: ne egefelali da Yeuse, Bediamini, Ihade, Ginana, Sida: ne, Dasisi amola Ahisiaha. Ilia huluane ilia sosogo fi amolalia fada: i dunu esafulu. Ilia dadi gagui dunu gegemusa: momagei, amo ilia idi da 17,200 agoane.
11 Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
12 Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
Siubaide sosogo amola Habaide sosogo amolawane ilia da Bediamini egaga fifi misi dunu. Da: ne egefe afae fawane da Hiusimi.
13 Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
Na: fadalai egefelali da Yahasiele, Giunai, Yise amola Sia: lame. Ilia da Ya: igobe ea gidisedagi uda Biliha egaga fifi misi.
14 Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
Ma: na: se egaga fifi misi da agoane galu. Ma: na: se ea A: lamia: ne sogega misi gidisedagi uda da A: saliele amola Ma: igie amo lalelegei. Ma: igie da Gilia: de ea eda.
15 Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
Ma: igie da Habimi amola Siubimi elea fi amoga uda lai. Ea dalusi dio da Ma: iaga. Ma: na: se egaga fi dunu eno da Siloufiha: de. E da uda manomusu galu.
16 Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
Ma: igie idua Ma: iaga da dunu mano aduna lalelegele, elama Bilese amola Silese dio asuli. Bilese egefela da Iula: me amola La: igeme.
17 Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
Iula: me egefe da Bida: ne. Amo huluane da Gilia: de egaga fifi misi. Gilia: de eda da Ma: igie amola ea aowa da Ma: na: se.
18 Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
Gilia: de ea dalusi Ha: moligede egefelali udiana da Aisiode, A:ibisa amola Mala.
19 Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
Siemaida egefelali da Ahaia: ne, Siegeme, Ligai amola Anaia: me.
20 Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
Ifala: ime egaga fifi misi da Siudila, Bilede, Da: iha: de, Eliada, Da: iha: de,
21 Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
Sa: iba: de amola Siudila. Ifala: ime egefelali da Siudila, Isa amola Elia: de. Be Isa amola Elia: de, ela da Ga: de fi ilia ohe fofoi wamolamusa: amananoba, medole legei dagoi ba: i.
22 Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
Elea ada Ifala: ime da eso bagohame elaha dinanu. Ea fi dunu da ema dogo denesima: ne ba: la masu.
23 Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
Amalalu, Ifala: ime da ea uda amola gilisili diabeba: le, ea uda da abula agui, dunu mano lalelegei. Ilia da ema Bilaia dio asuli. Bai bidi hamosu da ilia sosogoma misi dagoi.
24 Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
Ifala: ime ea uda mano da Sila. E da Gado amola Gudu Bede-Houlone amola Asene-Siala amo moilai gagui.
25 Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
Ifala: ime egefe eno da Lifa. Lifa egaga fifi misi da Lisiefe, Dila, Da: iha: me, La: iada: ne, Amihade, Ilisiama, Nane amola Yosiua.
26 Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
27 Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
28 Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
Soge amo ilia da samogele fi da Bedele amo moilaiga sisiga: i amola soge da gusudili asili, Na: ila: nega alaloi amola guma: dini asili, Gida moilaiga alaloi. Amola ilia da Siegeme amola Aiya moilai bai bagade amola elama sisiga: i moilai huluane lai.
29 Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
Ma: na: se egaga fifi misi dunu da Bede Sia: ne, Da: iana: ge, Megidou amola Do, amo moilai bai bagade amola ilima sisigai moilai fonobahadi huluane ouligisu. Yousefe (Ya: igobe egefe) amo egaga fifi misi, ilia da amo soge huluane amoga fifi lai dialu.
30 Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
A: sie egaga fifi misi da agoane. Egefelali da Imina, Isifa, Isifi amola Bilaia. Ea uda mano da Sila.
31 Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
Bilaia egefe da Hibe amola Ma: lagiele. (Ma: lagiele da Besa: ide moilai bai bagade gagui)
32 Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
Hibe egefe udiana da Ya: felede, Siouma amola Houda: me. Amola ea uda mano da Siua.
33 Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
Ya: falede amola da egefe udiana. Ilia da Ba: isa: ge, Himiha: le amola A: siefa: de.
34 Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
Siouma egefelali da A: ihai, Louga, Haba amola A: ila: me.
35 Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Eya Hileme egefelali da Soufa, Imina, Silesia amola A: ima: le
36 Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
Soufa egaga fifi misi da Siua, Hanefa, Siuale, Bilai, Imala, Bisa, Hode, Sia: ma, Silesia, Idala: me amola Bila.
37 Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
38 Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
Yidaha egaga fifi misi da Yifane, Bisiba amola A: ila
39 Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
Ala egaga fifi misi da A: ila, Ha: niele amola Lisaia.
40 Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.
Amo huluane da A: sie egaga fifi misi galu. Ilia da ilia sosogo fi ilima fada: i dunu amola gasa bagade gegesu amola ouligisu dunu esafulu. A: sie egaga fifi misi amo ganodini da dadi gagui gegemusa: momagei dunu 26,000 agoane ba: i.