< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
Synowie Lewiego: Gerszom, Kehat i Merari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
A synowie Kehata: Amram, Ishar, Chebron i Uzziel.
3 Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
A dzieci Amrama: Aaron, Mojżesz i Miriam. Synowie Aarona: Nadab, Abihu, Eleazar i Itamar.
4 Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Eleazar spłodził Pinchasa, a Pinchas spłodził Abiszuę.
5 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,
Abiszua spłodził Bukkiego, a Bukki spłodził Uzziego.
6 Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,
Uzzi spłodził Zerachiasza, a Zerachiasz spłodził Merajota.
7 Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Merajot spłodził Amariasza, a Amariasz spłodził Achituba.
8 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,
Achitub spłodził Sadoka, a Sadok spłodził Achimaasa.
9 Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,
Achimaas spłodził Azariasza, a Azariasz spłodził Jochanana.
10 Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
Jochanan spłodził Azariasza. On to sprawował urząd kapłański w świątyni, którą Salomon zbudował w Jerozolimie.
11 Azaria akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Azariasz spłodził Amariasza, a Amariasz spłodził Achituba.
12 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,
Achitub spłodził Sadoka, a Sadok spłodził Szalluma.
13 Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,
Szallum spłodził Chilkiasza, a Chilkiasz spłodził Azariasza.
14 Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.
Azariasz spłodził Serajasza, a Serajasz spłodził Jehocadaka.
15 Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
A Jehocadak trafił [do niewoli], gdy PAN uprowadził Judę i Jerozolimę przez Nabuchodonozora.
16 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
Synowie Lewiego: Gerszom, Kehat i Merari.
17 Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.
A to [są] imiona synów Gerszoma: Libni i Szimei.
18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
A synowie Kehata: Amram, Ishar, Chebron i Uzziel.
19 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
Synowie Merariego: Machli i Muszi. A to są rody Lewitów według ich ojców.
20 Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Od Gerszoma: jego syn Libni, jego syn Jachat, jego syn Zimma;
21 Zima akamzaa Yoa, Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera, Zera akamzaa Yeatherai.
Jego syn Joach, jego syn Iddo, jego syn Zerach, jego syn Jeatraj.
22 Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,
Synowie Kehata: jego syn Amminadab, jego syn Korach, jego syn Assir;
23 Asiri akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,
Jego syn Elkana, jego syn Ebiasaf, jego syn Assir;
24 Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.
Jego syn Tachat, jego syn Uriel, jego syn Uzjasz, jego syn Saul.
25 Wazao wa Elikana walikuwa: Amasai na Ahimothi,
Synowie Elkany: Amasaj, Achimot i Elkana.
26 Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Synowie Elkany: jego syn Sofaj, jego syn Nachat;
27 Nahathi akamzaa Eliabu, Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Samweli.
Jego syn Eliab, jego syn Jerocham, jego syn Elkana.
28 Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.
Synowie Samuela: pierworodny Waszni i Abiasz.
29 Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Synowie Merariego: Machli, jego syn Libni, jego syn Szimei, jego syn Uzza;
30 Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia, Hagia akamzaa Asaya.
Jego syn Szimea, jego syn Chaggiasz, jego syn Asajasz.
31 Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.
To są ci, których Dawid ustanowił do prowadzenia śpiewu w domu PANA, odkąd spoczęła [tam] arka.
32 Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.
I posługiwali śpiewem przed przybytkiem, [czyli] Namiotem Zgromadzenia, aż Salomon zbudował dom PANA w Jerozolimie. Stawali do swojej służby według swego porządku.
33 Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
A oto ci, którzy stawali wraz ze swoimi synami: spośród synów Kehata – śpiewak Heman, syn Joela, syna Samuela;
34 mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
Syna Elkany, syna Jerochama, syna Eliela, syna Toacha;
35 mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
Syna Sufa, syna Elkany, syna Machata, syna Amasaja;
36 mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
Syna Elkany, syna Joela, syna Azariasza, syna Sofoniasza;
37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
Syna Tachata, syna Assira, syna Ebiasafa, syna Koracha;
38 mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
Syna Ishara, syna Kehata, syna Lewiego, syna Izraela.
39 na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
Oraz jego brat Asaf, który stawał po jego prawicy. Asaf, syn Berechiasza, syna Szimei;
40 mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
Syna Mikaela, syna Baasejasza, syna Malkiasza;
41 mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
Syna Etniego, syna Zeracha, syna Adajasza;
42 mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
Syna Etana, syna Zimmy, syna Szimejego;
43 mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
Syna Jachata, syna Gerszoma, syna Lewiego.
44 Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,
A ich bracia, synowie Merariego, [stawali] po lewej stronie: Etan, syn Kisziego, syna Abdiego, syna Malluka;
45 mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
Syna Chaszabiasza, syna Amaziasza, syna Chilkiasza.
46 mwana wa Amsi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri,
Syna Amsjego, syna Baniego, syna Szamera;
47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
Syna Mochliego, syna Musziego, syna Merariego, syna Lewiego.
48 Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
A ich bracia, Lewici, [byli] ustanowieni do wszelkiej posługi w przybytku domu Boga.
49 Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.
Aaron zaś i jego synowie palili kadzidło na ołtarzu całopalenia i na ołtarzu kadzenia, [byli odpowiedzialni] za wszelką posługę w Miejscu Najświętszym i za dokonywanie przebłagania za Izraela według wszystkiego, co nakazał Mojżesz, sługa Boży.
50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
A oto synowie Aarona: jego syn Eleazar, jego syn Pinchas;
51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
Jego syn Abiszua, jego syn Bukki, jego syn Uzzi, jego syn Zerachiasz;
52 Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Jego syn Merajot, jego syn Amariasz, jego syn Achitub;
53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.
Jego syn Sadok, jego syn Achimaas.
54 Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
A to są ich mieszkania według ich wieży w ich obszarze, [to jest] synów Aarona, według rodu Kehatytów. Był [to] bowiem ich los.
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.
Oddano im Hebron w ziemi Judy wraz z pastwiskami dokoła niego;
56 Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Lecz pola miasta i jego wsie dano Kalebowi, synowi Jefunnego.
57 Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,
Synom Aarona zaś dano spośród miast Judy [miasta] schronienia: Hebron, Libnę z jego pastwiskami, Jattir i Esztemoę wraz z ich pastwiskami;
58 Hileni, Debiri,
I Chilen z jego pastwiskami, Debir z jego pastwiskami;
59 Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.
Aszan z jego pastwiskami i Bet-Szemesz z jego pastwiskami.
60 Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho. Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.
A od pokolenia Beniamina: Geba z jego pastwiskami, Alemet z jego pastwiskami i Anatot z jego pastwiskami. Wszystkich ich miast było trzynaście według ich rodzin.
61 Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
A pozostałym synom Kehata, spośród rodziny tego pokolenia, przypadło losem dziesięć miast od połowy pokolenia Manassesa.
62 Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.
A synom Gerszoma według ich rodzin przypadło od pokolenia Issachara, od pokolenia Aszera, od pokolenia Neftalego i od pokolenia Manassesa w Baszanie – trzynaście miast.
63 Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
Synom Merariego według ich rodzin przypadło losem od pokolenia Rubena, od pokolenia Gada i od pokolenia Zebulona – dwanaście miast.
64 Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.
Synowie Izraela dali Lewitom te miasta wraz z ich pastwiskami.
65 Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
A dali przez los od pokolenia synów Judy, od pokolenia synów Symeona i od pokolenia synów Beniamina te miasta, którym nadali ich imiona.
66 Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
A ci, którzy pochodzili z rodu synów Kehata, mieli miasta w granicach pokolenia Efraima.
67 Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,
Dano im z miast schronienia: Sychem z jego pastwiskami na górze Efraim i Gezer z jego pastwiskami;
68 Yokmeamu, Beth-Horoni,
Jokmeam z jego pastwiskami, Bet-Choron z jego pastwiskami;
69 Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Ajjalon z jego pastwiskami i Gat-Rimmon z jego pastwiskami.
70 Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Od połowy pokolenia Manassesa: Aner z jego pastwiskami, Bileam z jego pastwiskami. [Dano to] rodzinie pozostałych synów Kehata.
71 Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
Synom Gerszoma [dano] od połowy pokolenia Manassesa Golan w Baszanie z jego pastwiskami i Asztarot z jego pastwiskami;
72 Kutoka kabila la Isakari walipokea Kedeshi, Daberathi,
Od pokolenia Issachara – Kedesz z jego pastwiskami, Daberat z jego pastwiskami;
73 Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Ramot z jego pastwiskami i Anem z jego pastwiskami.
74 Kutoka kabila la Asheri walipokea Mashali, Abdoni,
Od pokolenia Aszera: Maszal z jego pastwiskami, Abdon z jego pastwiskami;
75 Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Chukok z jego pastwiskami i Rechob z jego pastwiskami.
76 Kutoka kabila la Naftali walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Od pokolenia Neftalego: Kedesz w Galilei z jego pastwiskami, Chammon z jego pastwiskami i Kiriataim z jego pastwiskami.
77 Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo: kutoka kabila la Zabuloni walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.
Pozostałym synom Merariego [dano] od pokolenia Zebulona Rimmon z jego pastwiskami i Tabor z jego pastwiskami.
78 Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,
A po drugiej stronie Jordanu koło Jerycha, na wschód od Jordanu, [dano] od pokolenia Rubena: Beser na pustyni z jego pastwiskami, Jahazę z jej pastwiskami;
79 Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
Kedemot z jego pastwiskami i Mefaat z jego pastwiskami.
80 Na kutoka kabila la Gadi walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,
Od pokolenia Gada: Ramot w Gileadzie z jego pastwiskami, Machanaim z jego pastwiskami;
81 Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Cheszbon z jego pastwiskami i Jazer z jego pastwiskami.

< 1 Nyakati 6 >