< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
Oasr wen tolu natul Levi: elos pa Gershon, Kohath, ac Merari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Oasr wen akosr natul Kohath: elos pa Amram, Izhar, Hebron, ac Uzziel.
3 Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Oasr wen luo natul Amram: elos pa Aaron ac Moses, ac acn se wialtal pa Miriam. Oasr wen akosr natul Aaron: elos pa Nadab, Abihu, Eleazar, ac Ithamar.
4 Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Pa inge inen wen natul Eleazar, su takla fwil nu ke fwil: Phinehas, Abishua,
5 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,
Bukki, Uzzi,
6 Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,
Zerahiah, Meraioth,
7 Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Amariah, Ahitub,
8 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,
Zadok, Ahimaaz,
9 Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,
Azariah, Johanan,
10 Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
Azariah (mwet se inge pa kulansap in Tempul se Tokosra Solomon el musaela in acn Jerusalem),
11 Azaria akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Amariah, Ahitub,
12 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,
Zadok, Shallum,
13 Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,
Hilkiah, Azariah,
14 Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.
Seraiah, Jehozadak.
15 Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
Tokosra Nebuchadnezzar el supwalla pac Jehozadak yurin mwet Judah ac mwet Jerusalem su LEUM GOD El luselosla nu ke sruoh.
16 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
Oasr wen tolu natul Levi: elos pa Gershon, Kohath, ac Merari.
17 Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.
Kais sie selos oasr pac wen natulos. Gershon pa papa tumal Libni ac Shimei.
18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Kohath pa papa tumal Amram, Izhar, Hebron, ac Uzziel.
19 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
Merari pa papa tumal Mahli ac Mushi.
20 Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Pa inge inen mwet in fwil natul Gershon, su takla fwil nu ke fwil: Libni, Jahath, Zimmah,
21 Zima akamzaa Yoa, Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera, Zera akamzaa Yeatherai.
Joah, Iddo, Zerah, Jeatherai.
22 Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,
Pa inge inen mwet in fwil natul Kohath, su takla fwil nu ke fwil: Amminadab, Korah, Assir,
23 Asiri akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,
Elkanah, Ebiasaph, Assir,
24 Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.
Tahath, Uriel, Uzziah, Shaul.
25 Wazao wa Elikana walikuwa: Amasai na Ahimothi,
Oasr wen luo natul Elkanah: elos pa Amasai ac Ahimoth.
26 Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Pa inge inen mwet in fwil natul Ahimoth, su takla fwil nu ke fwil: Elkanah, Zophai, Nahath,
27 Nahathi akamzaa Eliabu, Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Samweli.
Eliab, Jeroham, Elkanah.
28 Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.
Oasr wen luo natul Samuel: Joel pa matu, ac Abijah pa fusr uh.
29 Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Pa inge inen mwet in fwil natul Merari, su takla fwil nu ke fwil: Mahli, Libni, Shimei, Uzzah,
30 Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia, Hagia akamzaa Asaya.
Shimea, Haggiah, Asaiah.
31 Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.
Pa inge inen mwet su Tokosra David el oakiya tuh elos in taran on ke nien alu lalos in acn Jerusalem tukun pacl se utukyak Tuptup In Wuleang nu we.
32 Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.
Oasr pacl lalos kais sie in on ke Lohm Nuknuk Mutal sin LEUM GOD in pulan pacl se meet liki Tokosra Solomon el musaela Tempul ah.
33 Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
Takla lun sou ma itukyang kunokon se inge nu selos pa inge: Ke sou lulap lal Kohath: Heman wen natul Joel, pa mwet kol un mwet on se meet. Takin sou lal an pa inge: Heman, wen natul Joel, wen natul Samuel,
34 mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
wen natul Elkanah, wen natul Jeroham, wen natul Eliel, wen natul Toah,
35 mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
wen natul Zuph, wen natul Elkanah, wen natul Mahath, wen natul Amasai,
36 mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
wen natul Elkanah, wen natul Joel, wen natul Azariah, wen natul Zephaniah,
37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
wen natul Tahath, wen natul Assir, wen natul Ebiasaph, wen natul Korah,
38 mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
wen natul Izhar, wen natul Kohath, wen natul Levi, wen natul Jacob.
39 na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
Asaph pa mwet kol un mwet on se akluo uh. Takin sou lal an pa inge: Asaph, wen natul Berechiah, wen natul Shimea,
40 mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
wen natul Michael, wen natul Baaseiah, wen natul Malchijah,
41 mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
wen natul Ethni, wen natul Zerah, wen natul Adaiah,
42 mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
wen natul Ethan, wen natul Zimmah, wen natul Shimei,
43 mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
wen natul Jahath, wen natul Gershon, wen natul Levi.
44 Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,
Ethan, su ma ke sruf lal Merari, pa mwet kol un mwet on se aktolu uh. Takin sou lal uh pa inge: Ethan, wen natul Kishi, wen natul Abdi, wen natul Malluch,
45 mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
wen natul Hashabiah, wen natul Amaziah, wen natul Hilkiah,
46 mwana wa Amsi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri,
wen natul Amzi, wen natul Bani, wen natul Shemer,
47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
wen natul Mahli, wen natul Mushi, wen natul Merari, wen natul Levi.
48 Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
Mwet Levi saya elos kuneyuki nu ke orekma nukewa saya ke nien alu uh.
49 Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.
Aaron ac fwil natul pa orekma ke mwe kisa keng, ac kisakin mwe kisa firir fin mwe loang uh. Elos pa karingin ma nukewa ke pacl in alu in Acn Mutal Na Mutal in Tempul uh, ac in orek kisa nu sin God tuh Elan nunak munas ke ma koluk lun mwet Israel. Elos oru ma inge fal nu ke oakwuk lal Moses, mwet kulansap lun God.
50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Pa inge inen mwet in fwil natul Aaron: Eleazar, wen natul Phinehas, wen natul Abishua,
51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
wen natul Bukki, wen natul Uzzi, wen natul Zerahiah,
52 Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
wen natul Meraioth, wen natul Amariah, wen natul Ahitub,
53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.
wen natul Zadok, wen natul Ahimaaz.
54 Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
Pa inge acn se itukyang nu sin mwet in fwil natul Aaron ke sruf lal Kohath. Elos pa eis ipin acn lalos emeet ke acn ma itukyang lun mwet Levi.
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.
Sie ipin acn inge pa Hebron in facl Judah, oayapa acn tupasrpasr nien mongo lun kosro ma raunela.
56 Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Tusruktu ima ac siti srisrik su ma lun Hebron tuh itukyang lal Caleb, wen natul Jephunneh.
57 Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,
Siti in molela takla inge tuh itukyang nu sin fwil natul Aaron: Hebron, Libnah wi acn tupasrpasr ma raunela, Jattir, Eshtemoa wi acn tupasrpasr ma raunela,
58 Hileni, Debiri,
Hilen wi acn tupasrpasr ma raunela, Debir wi acn tupasrpasr ma raunela,
59 Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.
Ashan wi acn tupasrpasr ma raunela, ac Beth Shemesh wi acn tupasrpasr ma raunela.
60 Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho. Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.
Pa inge inen siti srisrik in acn lun Benjamin, wi acn tupasrpasr nien mongo lun kosro ma raunela, su itukyang pac nu sin fwil natul Aaron: Geba, Alemeth, ac Anathoth. Pisen siti srisrik itukyang tuh elos in muta we pa singoul tolu nufon.
61 Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
Oasr siti srisrik singoul in acn lun Tafun Manasseh Roto itukyang nu sin sou nukewa lula lal Kohath, ac kais sie sou elos eis acn selos ke susfa.
62 Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.
Itukyang siti srisrik singoul nu sin kais sie sou ke sou lulap lal Gershon, in acn lal Issachar, Asher, Naphtali, ac Tafun Manasseh Kutulap in acn Bashan.
63 Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
In lumah se pacna inge, oasr siti srisrik singoul luo in acn lal Reuben, Gad, ac Zebulun itukyang nu sin kais sie sou in sou lulap lal Merari.
64 Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.
Ouinge mwet Israel elos sang acn sin mwet Levi tuh elos in muta we, wi acn tupasrpasr nien mongo lun kosro ma raunela acn ingan.
65 Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
(Siti srisrik in acn lal Judah, Simeon, ac Benjamin ma fwack tari lucng itukyang pac ke susfa.)
66 Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
Inen siti srisrik in acn lal Ephraim ma itukyang nu sin kutu sou in sou lulap lal Kohath wi acn tupasrpasr nien mongo lun kosro pa inge:
67 Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,
Shechem, su siti in molela in acn fineol uh in Ephraim, oayapa Gezer,
68 Yokmeamu, Beth-Horoni,
Jokmeam, Beth Horon,
69 Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Aijalon, ac Gath Rimmon.
70 Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
In acn lun Tafun Manasseh Roto, itukyang nu selos siti srisrik luo inge, Aner ac Bileam, wi acn tupasrpasr nien mongo lun kosro ma raunela acn ingan.
71 Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
Itukyang nu sin sou in sou lulap lal Gershon siti srisrik inge wi acn tupasrpasr ma raunela: Ke acn lun Tafun Manasseh Kutulap: Golan in Bashan, ac Ashtaroth.
72 Kutoka kabila la Isakari walipokea Kedeshi, Daberathi,
Liki acn lun Issachar: Kedesh, Daberath,
73 Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Ramoth, ac Anem.
74 Kutoka kabila la Asheri walipokea Mashali, Abdoni,
Liki acn lun Asher: Mashal, Abdon,
75 Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Hukok, ac Rehob.
76 Kutoka kabila la Naftali walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Liki acn lun Naphtali: Kedesh in Galilee, Hammon, ac Kiriathaim.
77 Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo: kutoka kabila la Zabuloni walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.
Ac nu sin sou lula in sou lulap lal Merari, pa inge siti srisrik ac acn tupasrpasr nien mongo lun kosro ma itukyang nu selos: Liki acn lal Zebulun: Rimmono ac Tabor.
78 Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,
Liki acn lal Reuben, kutulap in Infacl Jordan sasla acn Jericho: Bezer, su oan acn fulat ma tupasrpasr fac, oayapa Jahzah,
79 Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
Kedemoth, ac Mephaath.
80 Na kutoka kabila la Gadi walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,
Liki acn lal Gad: Ramoth in Gilead, Mahanaim,
81 Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Heshbon, ac Jazer.

< 1 Nyakati 6 >