< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
’Ya’yan Lawi maza su ne, Gershon, Kohat da Merari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
’Ya’yan Kohat maza su ne, Amram, Izhar, Hebron da Uzziyel.
3 Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Yaran Amram su ne, Haruna, Musa da Miriyam.’Ya’yan Haruna maza su ne, Nadab, Abihu, Eleyazar da Itamar.
4 Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Eleyazar shi ne mahaifin Finehas, Finehas mahaifin Abishuwa,
5 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,
Abishuwa mahaifin Bukki, Bukki mahaifin Uzzi,
6 Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,
Uzzi mahaifin Zerahiya, Zerahiya mahaifin Merahiyot,
7 Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Merahiyot mahaifin Amariya, Amariya mahaifin Ahitub,
8 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,
Ahitub mahaifin Zadok, Zadok mahaifin Ahimawaz,
9 Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,
Ahimawaz mahaifin Azariya, Azariya mahaifin Yohanan,
10 Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
Yohanan mahaifin Azariya (shi ne ya yi hidima a matsayin firist a haikalin da Solomon ya gina a Urushalima),
11 Azaria akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Azariya mahaifin Amariya, Amariya mahaifin Ahitub,
12 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,
Ahitub mahaifin Zadok, Zadok mahaifin Shallum,
13 Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,
Shallum mahaifin Hilkiya, Hilkiya mahaifin Azariya,
14 Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.
Azariya mahaifin Serahiya, Serahiya kuwa mahaifin Yehozadak.
15 Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
Yehozadak ne aka ɗauka sa’ad da Ubangiji ya tura Yahuda da Urushalima zuwa zaman bauta ta hannun Nebukadnezzar.
16 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
’Ya’yan Lawi maza su ne, Gershom, Kohat da Merari.
17 Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.
Waɗannan su ne sunayen’ya’yan Gershom. Libni da Shimeyi.
18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
’Ya’yan Kohat maza su ne, Amram, Izhar, Hebron da Uzziyel.
19 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
’Ya’yan Merari maza su ne, Mali da Mushi. Waɗannan suke gidajen Lawiyawan da aka jera bisa ga kakanninsu.
20 Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Na Gershom su ne, Libni, Yahat, Zimma,
21 Zima akamzaa Yoa, Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera, Zera akamzaa Yeatherai.
Yowa, Iddo, Zera da Yeyaterai.
22 Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,
Zuriyar Kohat su ne, Amminadab, Kora, Assir,
23 Asiri akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,
Elkana, Ebiyasaf, Assir,
24 Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.
Tahat, Uriyel, Uzziya da Shawulu.
25 Wazao wa Elikana walikuwa: Amasai na Ahimothi,
Zuriyar Elkana su ne, Amasai, Ahimot,
26 Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Elkana, Zofai, Nahat,
27 Nahathi akamzaa Eliabu, Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Samweli.
Eliyab Yeroham, Elkana da Sama’ila.
28 Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.
’Ya’yan Sama’ila maza su ne, Yowel ɗan fari da Abiya ɗa na biyu.
29 Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Zuriyar Merari su ne, Mali, Libni, Shimeyi, Uzza,
30 Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia, Hagia akamzaa Asaya.
Shimeya, Haggiya da Asahiya.
31 Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.
Waɗannan su ne mutanen da Dawuda ya sa su lura da waƙa a cikin gidan Ubangiji bayan da aka kawo akwatin alkawari yă huta a can.
32 Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.
Suka yi hidima da waƙa a gaban tabanakul, Tentin Sujada, sai da Solomon ya gina haikalin Ubangiji a Urushalima. Suka yi ayyukansu bisa ga ƙa’idodin da aka shimfiɗa musu.
33 Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
Ga mutanen da suka yi hidimar, tare da’ya’yansu maza. Daga mutanen Kohat akwai, Heman, mawaƙi ɗan Yowel, ɗan Sama’ila,
34 mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
ɗan Elkana, ɗan Yeroham, ɗan Eliyel, ɗan Towa,
35 mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
ɗan Zuf, ɗan Elkana, ɗan Mahat, ɗan Amasai,
36 mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
ɗan Elkana, ɗan Yowel, ɗan Azariya, ɗan Zefaniya
37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
ɗan Tahat, ɗan Assir, ɗan Ebiyasaf, ɗan Kora,
38 mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
ɗan Izhar, ɗan Kohat, ɗan Lawi, ɗan Isra’ila;
39 na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
da kuma Asaf’yan’uwan Heman, waɗanda suka yi hidima a hannun damansa. Asaf ɗan Berekiya, ɗan Shimeya,
40 mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
ɗan Mika’ilu, ɗan Ba’asehiya, ɗan Malkiya,
41 mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
ɗan Etni, ɗan Zera, ɗan Adahiya
42 mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
ɗan Etan, ɗan Zimma, ɗan Shimeyi,
43 mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
ɗan Yahat, ɗan Gershom, ɗan Lawi;
44 Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,
da kuma daga’yan’uwansu, mutanen Merari, a hannun hagunsa. Etan ɗan Kishi, ɗan Abdi, ɗan Malluk,
45 mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
ɗan Hashabiya, ɗan Amaziya, ɗan Hilkiya,
46 mwana wa Amsi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri,
ɗan Amzi, ɗan Bani, ɗan Shemer,
47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
ɗan Mali, ɗan Mushi, ɗan Merari, ɗan Lawi.
48 Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
Aka ba’yan’uwansu Lawiyawa dukan sauran ayyukan tabanakul, gidan Allah.
49 Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.
Amma Haruna da zuriyarsa su ne waɗanda suke miƙa hadayu a kan bagaden hadaya ta ƙonawa da kuma a kan bagaden turare haɗe da dukan abin da ake yi a Wuri Mafi Tsarki, suna yin kafara domin Isra’ila, bisa ga dukan abin da Musa bawan Allah ya umarta.
50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Waɗannan su ne zuriyar Haruna, Eleyazar, Finehas, Abishuwa,
51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
Bukki, Uzzi, Zerahiya,
52 Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Merahiyot, Amariya, Ahitub,
53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.
Zadok da Ahimawaz.
54 Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
Waɗannan su ne wuraren zamansu da aka ba su rabo su zama yankunansu (aka ba wa zuriyar Haruna waɗanda suke daga gidan Kohat, domin rabo na fari nasu ne):
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.
Aka ba su Hebron a Yahuda tare da wuraren kiwon da suke kewayenta.
56 Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Amma filaye da ƙauyukan da suke kewayen birnin aka ba wa Kaleb ɗan Yefunne.
57 Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,
Saboda haka aka ba wa zuriyar Haruna Hebron (birnin mafaka), da Libna, Yattir Eshtemowa,
58 Hileni, Debiri,
Hilen, Debir,
59 Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.
Ashan, Yutta da Bet-Shemesh, tare da wuraren kiwonsu.
60 Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho. Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.
Daga kabilar Benyamin kuma aka ba su Gibeyon, Geba, Alemet da Anatot, tare da wuraren kiwonsu. Waɗannan garuruwa waɗanda aka raba a tsakanin mutanen gidan Kohat, goma sha uku ne duka.
61 Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
Aka ba sauran zuriyar Kohat rabon garuruwa goma daga gidajen rabin kabilar Manasse.
62 Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.
Aka ba zuriyar Gershom, gida-gida, rabon garuruwa goma sha uku daga kabilan Issakar, Asher da Naftali, da kuma daga sashen rabi kabilar Manasse da yake a Bashan.
63 Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
Aka ba zuriyar Merari, gida-gida, rabon garuruwa goma sha biyu daga kabilan Ruben, Gad da Zebulun.
64 Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.
Saboda haka Isra’ilawa suka ba Lawiyawa waɗannan garuruwa da wuraren kiwonsu.
65 Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
Daga kabilan Yahuda, Simeyon da Benyamin suka ba su rabon sunayen garuruwan da aka ambata.
66 Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
Aka ba wa waɗansu na mutanen gidan Kohat yankin garuruwansu daga kabilar Efraim.
67 Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,
A ƙasar tudun Efraim aka ba su Shekem (birnin mafaka), da Gezer,
68 Yokmeamu, Beth-Horoni,
Yokmeyam, Bet-Horon,
69 Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Aiyalon da Gat-Rimmon, tare da wuraren kiwonsu.
70 Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Daga rabin kabilar Manasse kuwa, Isra’ilawa suka ba da Aner da Bileyam, tare da wuraren kiwonsu, ga sauran gidajen mutanen Kohat.
71 Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
Mutanen Gershom suka sami waɗannan. Daga gidan rabin kabilar Manasse, sun sami Golan a Bashan da kuma Ashtarot, tare da wuraren kiwonsu;
72 Kutoka kabila la Isakari walipokea Kedeshi, Daberathi,
daga kabilar Issakar suka sami Kedesh, Daberat,
73 Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Ramot da Anem, tare da wuraren kiwonsu;
74 Kutoka kabila la Asheri walipokea Mashali, Abdoni,
daga kabilar Asher suka sami Mashal, Abdon,
75 Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Hukok da Rehob, tare da wuraren kiwonsu;
76 Kutoka kabila la Naftali walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
daga kabilar Naftali kuwa suka sami Kedesh a Galili, Hammon da Kiriyatayim, tare da wuraren kiwonsu.
77 Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo: kutoka kabila la Zabuloni walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.
Mutanen Merari (sauran Lawiyawan) suka sami waɗannan. Daga kabilar Zebulun suka sami Yokneyam, Karta, Rimmon da Tabor, tare da wuraren kiwonsu;
78 Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,
daga kabilar Ruben a hayin Urdun a gabashi Yeriko suka sami Bezer a hamada, Yahza,
79 Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
Kedemot da Mefa’at, tare da wuraren kiwonsu;
80 Na kutoka kabila la Gadi walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,
daga kabilar Gad kuwa suka sami Ramot a Gileyad, Mahanayim,
81 Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Heshbon da Yazer, tare da wuraren kiwonsu.

< 1 Nyakati 6 >