< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
son: child Levi Gershon Kohath and Merari
2 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
and son: child Kohath Amram Izhar and Hebron and Uzziel
3 Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
and son: child Amram Aaron and Moses and Miriam and son: child Aaron Nadab and Abihu Eleazar and Ithamar
4 Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Eleazar to beget [obj] Phinehas Phinehas to beget [obj] Abishua
5 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,
and Abishua to beget [obj] Bukki and Bukki to beget [obj] Uzzi
6 Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,
and Uzzi to beget [obj] Zerahiah and Zerahiah to beget [obj] Meraioth
7 Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Meraioth to beget [obj] Amariah and Amariah to beget [obj] Ahitub
8 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,
and Ahitub to beget [obj] Zadok and Zadok to beget [obj] Ahimaaz
9 Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,
and Ahimaaz to beget [obj] Azariah and Azariah to beget [obj] Johanan
10 Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
and Johanan to beget [obj] Azariah he/she/it which to minister in/on/with house: temple which to build Solomon in/on/with Jerusalem
11 Azaria akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
and to beget Azariah [obj] Amariah and Amariah to beget [obj] Ahitub
12 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,
and Ahitub to beget [obj] Zadok and Zadok to beget [obj] Shallum
13 Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,
and Shallum to beget [obj] Hilkiah and Hilkiah to beget [obj] Azariah
14 Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.
and Azariah to beget [obj] Seraiah and Seraiah to beget [obj] Jehozadak
15 Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
and Jehozadak to go: went in/on/with to reveal: remove LORD [obj] Judah and Jerusalem in/on/with hand: power Nebuchadnezzar
16 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
son: child Levi Gershom Kohath and Merari
17 Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.
and these name son: child Gershom Libni and Shimei
18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
and son: child Kohath Amram and Izhar and Hebron and Uzziel
19 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
son: child Merari Mahli and Mushi and these family [the] Levi to/for father their
20 Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
to/for Gershom Libni son: child his Jahath son: child his Zimmah son: child his
21 Zima akamzaa Yoa, Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera, Zera akamzaa Yeatherai.
Joah son: child his Iddo son: child his Zerah son: child his Jeatherai son: child his
22 Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,
son: descendant/people Kohath Izhar son: child his Korah son: child his Assir son: child his
23 Asiri akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,
Elkanah son: child his and Ebiasaph son: child his and Assir son: child his
24 Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.
Tahath son: child his Uriel son: child his Uzziah son: child his and Shaul son: child his
25 Wazao wa Elikana walikuwa: Amasai na Ahimothi,
and son: child Elkanah Amasai and Ahimoth
26 Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Elkanah (son: child *Q(K)*) Elkanah Zuph son: child his and Nahath son: child his
27 Nahathi akamzaa Eliabu, Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Samweli.
Eliab son: child his Jeroham son: child his Elkanah (son: child his and Samuel *X*) son: child his
28 Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.
and son: child Samuel [the] firstborn (Joel *X*) `second` and Abijah
29 Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
son: descendant/people Merari Mahli Libni son: child his Shimei son: child his Uzzah son: child his
30 Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia, Hagia akamzaa Asaya.
Shimea son: child his Haggiah son: child his Asaiah son: child his
31 Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.
and these which to stand: appoint David upon hand: power song house: temple LORD from resting [the] ark
32 Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.
and to be to minister to/for face: before tabernacle tent meeting in/on/with song till to build Solomon [obj] house: temple LORD in/on/with Jerusalem and to stand: appoint like/as justice: custom their upon service: ministry their
33 Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
and these [the] to stand: appoint and son: child their from son: child [the] Kohathite Heman [the] to sing son: child Joel son: child Samuel
34 mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
son: child Elkanah son: child Jeroham son: child Eliel son: child Toah
35 mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
son: child (Zuph *Q(K)*) son: child Elkanah son: child Mahath son: child Amasai
36 mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
son: child Elkanah son: child Joel son: child Azariah son: child Zephaniah
37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
son: child Tahath son: child Assir son: child Ebiasaph son: child Korah
38 mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
son: child Izhar son: child Kohath son: child Levi son: child Israel
39 na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
and brother: male-sibling his Asaph [the] to stand: stand upon right his Asaph son: child Berechiah son: child Shimea
40 mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
son: child Michael son: child Baaseiah son: child Malchijah
41 mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
son: child Ethni son: child Zerah son: child Adaiah
42 mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
son: child Ethan son: child Zimmah son: child Shimei
43 mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
son: child Jahath son: child Gershom son: child Levi
44 Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,
and son: child Merari brother: male-sibling their upon [the] left Ethan son: child Kishi son: child Abdi son: child Malluch
45 mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
son: child Hashabiah son: child Amaziah son: child Hilkiah
46 mwana wa Amsi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri,
son: child Amzi son: child Bani son: child Shemer
47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
son: child Mahli son: child Mushi son: child Merari son: child Levi
48 Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
and brother: male-sibling their [the] Levi to give: put to/for all service: ministry tabernacle house: temple [the] God
49 Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.
and Aaron and son: child his to offer: offer upon altar [the] burnt offering and upon altar [the] incense to/for all work Most Holy Place [the] Most Holy Place and to/for to atone upon Israel like/as all which to command Moses servant/slave [the] God
50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
and these son: descendant/people Aaron Eleazar son: child his Phinehas son: child his Abishua son: child his
51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
Bukki son: child his Uzzi son: child his Zerahiah son: child his
52 Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Meraioth son: child his Amariah son: child his Ahitub son: child his
53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.
Zadok son: child his Ahimaaz son: child his
54 Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
and these seat their to/for encampment their in/on/with border: boundary their to/for son: child Aaron to/for family [the] Kohathite for to/for them to be [the] allotted
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.
and to give: give to/for them [obj] Hebron in/on/with land: country/planet Judah and [obj] pasture her around her
56 Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
and [obj] land: country [the] city and [obj] village her to give: give to/for Caleb son: child Jephunneh
57 Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,
and to/for son: child Aaron to give: give [obj] city [the] refuge [obj] Hebron and [obj] Libnah and [obj] pasture her and [obj] Jattir and [obj] Eshtemoa and [obj] pasture her
58 Hileni, Debiri,
and [obj] Hilen and [obj] pasture her [obj] Debir and [obj] pasture her
59 Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.
and [obj] Ashan and [obj] pasture her (and [obj] Juttah and [obj] pasture her *X*) and [obj] Beth-shemesh Beth-shemesh and [obj] pasture her
60 Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho. Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.
and from tribe Benjamin ([obj] Gibeon and [obj] pasture her *X*) [obj] Geba and [obj] pasture her and [obj] Alemeth and [obj] pasture her and [obj] Anathoth and [obj] pasture her all city their three ten city in/on/with family their
61 Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
and to/for son: descendant/people Kohath [the] to remain from family [the] tribe from half tribe half Manasseh in/on/with allotted city ten
62 Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.
and to/for son: descendant/people Gershom to/for family their from tribe Issachar and from tribe Asher and from tribe Naphtali and from tribe Manasseh in/on/with Bashan city three ten
63 Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
to/for son: descendant/people Merari to/for family their from tribe Reuben and from tribe Gad and from tribe Zebulun in/on/with allotted city two ten
64 Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.
and to give: give son: descendant/people Israel to/for Levi [obj] [the] city and [obj] pasture their
65 Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
and to give: give in/on/with allotted from tribe son: descendant/people Judah and from tribe son: descendant/people Simeon and from tribe son: descendant/people Benjamin [obj] [the] city [the] these which to call: call by [obj] them in/on/with name
66 Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
and from family son: child Kohath and to be city border: area their from tribe Ephraim
67 Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,
and to give: give to/for them [obj] city [the] refuge [obj] Shechem and [obj] pasture her in/on/with mountain: mount Ephraim and [obj] Gezer and [obj] pasture her
68 Yokmeamu, Beth-Horoni,
and [obj] Jokmeam and [obj] pasture her and [obj] Beth-horon Beth-horon and [obj] pasture her
69 Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
and [obj] Aijalon and [obj] pasture her and [obj] Gath-rimmon Gath-rimmon and [obj] pasture her
70 Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
and from half tribe Manasseh [obj] Aner and [obj] pasture her and [obj] Bileam and [obj] pasture her to/for family to/for son: descendant/people Kohath [the] to remain
71 Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
to/for son: descendant/people Gershom from family half tribe Manasseh [obj] Golan in/on/with Bashan and [obj] pasture her and [obj] Ashtaroth and [obj] pasture her
72 Kutoka kabila la Isakari walipokea Kedeshi, Daberathi,
and from tribe Issachar [obj] Kedesh and [obj] pasture her [obj] Daberath and [obj] pasture her
73 Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
and [obj] Ramoth and [obj] pasture her and [obj] Anem and [obj] pasture her
74 Kutoka kabila la Asheri walipokea Mashali, Abdoni,
and from tribe Asher [obj] Mashal and [obj] pasture her and [obj] Abdon and [obj] pasture her
75 Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
and [obj] Hukok and [obj] pasture her and [obj] Rehob and [obj] pasture her
76 Kutoka kabila la Naftali walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
and from tribe Naphtali [obj] Kedesh in/on/with Galilee and [obj] pasture her and [obj] Hammon and [obj] pasture her and [obj] Kiriathaim and [obj] pasture her
77 Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo: kutoka kabila la Zabuloni walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.
to/for son: descendant/people Merari [the] to remain from tribe Zebulun ([obj] Jokneam and [obj] pasture her [obj] Kartah and [obj] pasture her *X*) [obj] Rimmon and [obj] pasture her [obj] Tabor and [obj] pasture her
78 Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,
and from side: beyond to/for Jordan Jericho to/for east [the] Jordan from tribe Reuben [obj] Bezer in/on/with wilderness and [obj] pasture her and [obj] Jahaz [to] and [obj] pasture her
79 Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
and [obj] Kedemoth and [obj] pasture her and [obj] Mephaath and [obj] pasture her
80 Na kutoka kabila la Gadi walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,
and from tribe Gad [obj] Ramoth in/on/with Gilead and [obj] pasture her and [obj] Mahanaim and [obj] pasture her
81 Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.
and [obj] Heshbon and [obj] pasture her and [obj] Jazer and [obj] pasture her

< 1 Nyakati 6 >