< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
Levi koca ah Gershon, Kohath neh Merari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Kohath koca ah Amram, Izhar, Hebron neh Uzziel.
3 Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Amram koca ah Aaron, Moses neh Miriam. Aaron koca ah Nadab, Abihu, Eleazar neh Ithamar.
4 Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Eleazar loh Phinekha a sak tih Phinekha loh Abishua a sak.
5 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,
Abishua loh Bukki a sak tih Bukki loh Uzzi a sak.
6 Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,
Uzzi loh Zerahiah a sak, Zerahiah loh Meraioth a sak.
7 Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Meraioth loh Amariah a sak, Amariah loh Ahitub a sak.
8 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,
Ahitub loh Zadok a sak, Zadok loh Ahimaaz a sak.
9 Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,
Ahimaaz loh Azariah a sak, Azariah loh Johanan a sak.
10 Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
Johanan loh Azariah a sak. Anih te Solomon loh Jerusalem kah a sak im ah khosoih.
11 Azaria akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Azariah loh Amariah a sak tih Amariah loh Ahitub a sak.
12 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,
Ahitub loh Zadok a sak tih Zadok loh Shallum a sak.
13 Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,
Shallum loh Hilkiah a sak tih Hilkiah loh Azariah a sak.
14 Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.
Azariah loh Seraiah a sak tih Seraiah loh Jehozadak a sak.
15 Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
BOEIPA loh Judah neh Jerusalem te Nebukhadnezzar kut ah a poelyoe sak vaengah Jehozadak khaw cet.
16 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
Levi koca ah Gershom, Kohath neh Merari.
17 Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.
Gershom koca rhoek kah ming he tah Libni neh Shimei.
18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Kohath koca rhoek ah Amram, Izhar, Hebron neh Uzziel.
19 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
Merari koca ah Mahli, Mushi tih he rhoek tah Levi koca kah a napa rhoek ni.
20 Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Gershom koca ah Gershom capa Libni, Libni capa Jahath, Jahath capa Zimmah.
21 Zima akamzaa Yoa, Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera, Zera akamzaa Yeatherai.
Zimmah capa Joah, Joah capa Iddo, Iddo capa Zerah, Zerah capa Jeatherai.
22 Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,
Kohath koca ah Kohath capa Amminadab, Amminadab capa Korah, Korah capa Assir.
23 Asiri akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,
Assir capa Elkanah, Elkanah capa Ebiasaph, Ebiasaph capa Assir.
24 Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.
Assir capa Tahath, Tahath capa Uriel, Uriel capa Uzziah, Uzziah capa Saul.
25 Wazao wa Elikana walikuwa: Amasai na Ahimothi,
Elkanah koca ah Amasai neh Ahimoth.
26 Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Ahimoth capa Elkanah, Elkanah koca ah Elkanah capa Zuph, Zuph capa Nahath.
27 Nahathi akamzaa Eliabu, Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Samweli.
Nahath capa Eliab, Eliab capa Jeroham, Jeroham capa Elkanah.
28 Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.
Samuel koca ah a caming pabae tah Abijah.
29 Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Merari koca ah Mahli capa Libni, Libni capa Shimei, Shimei capa Uzzah.
30 Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia, Hagia akamzaa Asaya.
Uzzah capa Shimea, Shimea capa Haggiah, Haggiah capa Asaiah.
31 Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.
Te rhoek te David loh BOEIPA im kah thingkawng ngolbuel hnukah lumlaa dongah a kut a kho la a khueh.
32 Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.
Amih te Solomon loh Jerusalem kah BOEIPA im a sak hil laa neh tingtunnah dap kah dungtlungim hmai ah thotat la om uh tih amamih kah thothuengnah ham a rhimong bangla thotat uh.
33 Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
He tah amih koca lamkah aka thotat rhoek ni. Kohathi koca lamloh Samuel capa Joel kah a ca aka hlai Heman.
34 mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
Elkanah capa Samuel, Jeroham capa Elkanah, Eliel capa Jeroham, Toah capa Eliel.
35 mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
Zuph capa Toa, Elkanah capa Zuph, Mahath capa Elkanah, Amasai capa Mahath.
36 mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
Elkanah capa Amasai, Joel capa Elkanah, Azariah capa Joel, Zephaniah capa Azariah.
37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
Tahath capa Zephaniah, Assir capa Tahath, Ebiasaph capa Assir, Korah capa Ebiasaph.
38 mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
Izhar capa Korah, Kohath capa Izhar, Levi capa Kohath, Israel capa Levi.
39 na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
A manuca Asaph te a bantang ah thotat. Berekiah capa Asaph, Shimea capa Brekiah.
40 mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
Michael capa Shimea, Baaseiah capa Michael, Malkhiah capa Baaseiah.
41 mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
Ethni capa Malkhiah, Zerah capa Ethni, Adaiah capa Zerah.
42 mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
Ethan capa Adaiah, Zimmah capa Ethan, Shimei capa Zimmah.
43 mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
Jahath capa Shimei, Gershom capa Jahath, Levi capa Gershom.
44 Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,
Banvoei kah Merari koca, amih boeinaphung tah, Kishi capa Ethan, Abdi capa Kishi, Mallukh capa Abdi.
45 mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
Hashabiah capa Mallukh, Amaziah capa Hashabiah, Hilkiah capa Amaziah,
46 mwana wa Amsi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri,
Amzi capa Hilkiah, Bani capa Amzi, Shemer capa Amzi.
47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
Mahli capa Shemer, Mushi capa Mahli, Merari capa Mushi, Levi capa Merari.
48 Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
Amih boeinaphung Levi rhoek tah Pathen im kah dungtlungim ah thothuengnah cungkuem ham a paek.
49 Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.
Tedae Aaron neh anih koca rhoek tah hmueihhlutnah hmueihtuk so neh, hmueihtuk soah bo-ul aka phum la, hmuencim neh hmuencim koek kah bitat cungkuem ham neh Pathen kah sal Moses taengah a cungkuem neh a uen bangla Israel ham aka dawth pah la om.
50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Aaron koca ah he, Aaron capa Eleazar, Eleazar capa Phinekha, Phinekha capa Abishua.
51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
Abishua capa Bukki, Bukki capa Uzzi, Uzzi capa Zerahiah.
52 Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Zerahiah capa Meraioth, Meraioth capa Amariah, Amariah capa Ahitub.
53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.
Ahitub capa Zadok, Zadok capa Ahimaaz.
54 Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
Amah khorhi khuikah a tolrhum ah a lumim neh aka om ham he, Aaron koca ah Kohathi cako ham hmulung om coeng.
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.
Te dongah amih te Judah khohmuen kah Hebron neh a kaepvai kah a khocaak te a paek uh.
56 Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Tedae khopuei neh a vangca kah losa te tah Jephunneh capa Kaleb taengla a paek uh.
57 Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,
Aaron koca taengah hlipyingnah khopuei ham a paek rhoek tah, Hebron, Libnah neh a khocaak, Jattir, Eshtmoa neh a khocaak.
58 Hileni, Debiri,
Hilen neh a khocaak, Debir neh a khocaak.
59 Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.
Ashan neh a khocaak, Bethshemesh neh a khocaak.
60 Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho. Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.
Benjamin koca lamloh Geba neh a khocaak, Alemeth neh a khocaak, Anathoth neh a khocaak. Amih koca kah a khopuei boeih he khopuei hlai thum lo.
61 Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
Amah koca huiko kah aka coih Kohath ca rhoek te khaw Manasseh hlangvang kah koca rhakthuem taeng lamkah te hmulung bangla khopuei parha a yo.
62 Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.
Gershom koca te khaw amamih cako tarhing ah, Issakhar koca taeng lamkah, Asher koca taeng lamkah, Naphtali koca taeng lamkah neh Manasseh koca taeng lamkah te Bashan ah kho hlai thum a yo.
63 Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
Merari koca te amamih cako tarhing ah Reuben koca lamkah, Gad koca lamkah, Zebulun koca lamkah te hmulung vanbangla kho hlai nit.
64 Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.
Te tlam te Israel ca rhoek loh Levi taengah khopuei neh a khocaak te a paek uh.
65 Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
hmulung bangla Judah capa koca taeng lamkah khaw, Simeon capa koca taeng lamkah khaw, Benjamin capa koca taeng lamkah khaw a paek tih te khopuei rhoek te a ming neh a khue uh.
66 Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
Kohath capa koca lamkah neh Ephraim koca lamkah khopuei khaw amih kah khorhi khui la om.
67 Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,
Amih taengah hlipyingnah khopuei la a paek uh tah, Shekhem neh Ephraim tlang kah a khocaak khaw, Gezer neh a khocaak khaw,
68 Yokmeamu, Beth-Horoni,
Jokmeam neh a khocaak, Bethhoron neh a khocaak.
69 Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Aijalon neh a khocaak, Gathrimmon neh a khocaak.
70 Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Manasseh koca hlangvang lamloh Aner neh a khocaak, Balaam neh a khocaak te Kohath koca kah huiko aka coih taengla a paek.
71 Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
Gershom ca rhoek taengah Manasseh koca hlangvang cako lamloh Bashan kah Golan neh a khocaak, Ashtaroth neh a khocaak.
72 Kutoka kabila la Isakari walipokea Kedeshi, Daberathi,
Issakhar koca lamloh Kedesh neh a khocaak rhoek, Daberath neh a khocaak,
73 Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Ramoth neh a khocaak, Anem neh a khocaak.
74 Kutoka kabila la Asheri walipokea Mashali, Abdoni,
Asher koca lamloh Mashal neh a khocaak, Abdon neh a khocaak.
75 Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Hukkuk neh a khocaak, Rehob neh a khocaak.
76 Kutoka kabila la Naftali walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Naphtali koca lamloh Galilee kah Kedesh neh a khocaak, Hammon neh a khocaak, Kiriathaim neh a khocaak.
77 Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo: kutoka kabila la Zabuloni walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.
Merari koca aka coih te Zebulun koca lamloh Rimmon neh a khocaak, Tabor neh a khocaak.
78 Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,
Jordan khocuk ah Jerikho kah Jordan rhalvangan, Reuben koca lamloh khosoek kah Bezer neh a khocaak, Jahzah neh a khocaak.
79 Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
Kedemoth neh a khocaak, Mephaath neh a khocaak.
80 Na kutoka kabila la Gadi walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,
Gad koca lamloh Gilead kah Ramoth neh a khocaak, Mahanaim neh a khocaak.
81 Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Heshbon neh a khocaak, Jazer neh a khocaak te a paek.

< 1 Nyakati 6 >