< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
Lifai egefelali da Gesione, Gouha: de amola Milalai.
2 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Gouha: de egefelali da A: mala: me, Aisiha, Hibalone amola Asaiele.
3 Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
A: mala: me manoni da Elane, Mousese amola Milia: me. Elane egefelali da Na: ida: be, Abaihiu, Elia: isa amola Idama.
4 Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Elia: isa egaga fifi misi dunu da Finia: se, Abisiua, Bugai, Asai, Selahaia, Mila: iode, A:malaia, Ahaidabe, Sa: idoge, Ahima: ia: se, A:salaia, Youha: ina: ne, A:salaia (e da Yelusaleme moilai bai bagadega Soloumane ea Debolo Diasu gagui amoga gobele salasu hawa: hamosu), A:malaia, Ahaidabe, Sa: idoge, Sia: la: me, Hiligaia, A:salaia, Sila: ia amola Yihosada: ge.
5 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,
6 Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,
7 Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
8 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,
9 Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,
10 Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
11 Azaria akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
12 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,
13 Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,
14 Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.
15 Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
Hina Gode da logo doasiba: le, hina bagade Nebiuga: denese da Yihosada: ge amola eno Yuda soge fi dunu amola Yelusaleme fi dunu amo mugululi asi.
16 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
Lifai egefelali da Gesione, Gouha: de amola Milalai.
17 Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.
Gesione egefela da Libini amola Simiai.
18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Gouha: de egefelali da A: mala: me, Aisiha, Hibalone amola Asaiele.
19 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
Milalai egefela da Malai amola Miusiai.
20 Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Gesione egaga fifi misi da Libini, Yaha: de, Sima, Youa, Idou, Sela amola Yia: delai.
21 Zima akamzaa Yoa, Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera, Zera akamzaa Yeatherai.
22 Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,
Gouha: de egaga fifi misi da Aminada: be, Goula, A:se, Da: iha: de, Iuele, Asaia amola Sia: iale.
23 Asiri akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,
24 Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.
25 Wazao wa Elikana walikuwa: Amasai na Ahimothi,
Elega: ina egefela da Amasa: iai amola Ahimode.
26 Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Ahimode egaga fifi misi da Elega: ina, Soufai, Na: iha: de, Ilaia: be, Yilouha: me amola Elega: ina.
27 Nahathi akamzaa Eliabu, Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Samweli.
28 Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.
Sa: miuele da dunu mano aduna galu. Elea dio da Youele (magobo) amola Abaidia (ufi).
29 Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Milalai egaga fifi misi da Malai, Libini, Simiai, Asa, Simiai, Ha: gaia amola Asa: ia.
30 Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia, Hagia akamzaa Asaya.
31 Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.
Ilia da Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amo Yelusaleme nodone sia: ne gadosu abula diasu amoga gaguli misini, hina bagade Da: ibidi da gesami hea: su dusu liligi ouligima: ne, ouligisu dunu ilegei.
32 Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.
Ilia da Gode Ea Abula Diasu amoga hawa: hamonanu amogainini Soloumane da Debolo Diasudafa gagui.
33 Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
Amo hawa: hamosu dunu ilia sosogo fi dio da Gouha: de. Gouha: de ea sosogo fi da: - Hima: ne (Youele egefe) da bisili gesami hea: la mabe amo ouligisu. Youele ea eda da Sa: miuele amola amo sosogo fi da Ya: igobe emadini amane fifi misi. Ya: igobe (Gode da ea dio afadenene, Isala: ili asuli), Lifai, Gouha: de, Aisiha, Goula, Ibaiasa: fe, A:sie, Da: iha: de, Sefanaia, A:salaia, Youele, Elega: ina, Ama: sa: iai, Ma: iha: de, Elega: ina, Safe, Doua, Ila: iele, Yilouha: me, Elega: ina, Sa: miuele, Youele amola Hima: ne.
34 mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
35 mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
36 mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
38 mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
39 na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
A: isafe da amo bagia gesami hea: la mabe ouligisu. Ea sosogo da Lifai ema amogainini fifi misi. Lifai egefe da Gesione, amalu Ya: iha: de, Simiai, Sima, Ida: ne, Ada: iya, Sela, Edenai, Ma: legaia, Basiya, Maiga: le, Simiai, Belegaia, A:isa: fe amola Hima: ne.
40 mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
41 mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
42 mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
43 mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
44 Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,
Ida: ne da amo bagia gesami hea: la mabe eno ouligisu. Ea sosogo fi da Milalai. Milalai sosogo fi da Lifaima amogainini fifi misi agoane, Lifai, Milalai, Miusiai, Malai, Sime, Ba: ini, A:masai, Hiligaia, A:malu, Ha: sia: baia, Ma: lage, A:badai, Gisi amola Ida: ne.
45 mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
46 mwana wa Amsi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri,
47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
48 Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
Ilia da eno Lifai sosogo fi dunu amo Godema nodone sia: ne gadosu abula diasuga, eno hawa: hamoma: ne ilegei.
49 Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.
Elane amola egaga fifi misi dunu ilia da gabusiga: manoma liligi amola Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu gobele salasu hou huluane ouligisu. Ilia da nodone sia: ne gadosu hou Hadigi Momei Sesei ganodini amola Isala: ili fi ilia wadela: i hou gogolema: ne olofosu gobele salasu hou, amo huluane ouligisu. Ilia da Gode Ea hawa: hamosu dunu Mousese ea musa: olelei, amo defele hamosu.
50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Elane egaga fifi misi da Elia: isa, Finia: se, Abisiua, Bugai, Asai, Selahaia, Mila: iode, A:malaia, Ahaidabe, Sa: idoge amola Ahima: ia: se.
51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
52 Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.
54 Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
Elane egaga fifi misi dunu (ilima Lifai dio asuli) da Ga: ina: ne soge ganodini, ilila: sogedafa lai. Isala: ili fi da Gouha: de sosogo fi ilima soge bisili amoga na: iyado ilegelalu ilima i.
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.
Amo soge ganodini, Yuda soge moilai bai bagade amo Hibalone amola Hibalone sisiga: i ohe fi ha: i nasu soge ba: i.
56 Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Be ifabi soge amola Hibalone sisiga: i moilai fonobahadi huluane, ilia da Yifane egefe Ga: ilebe ema i.
57 Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,
Moilai amo ilia da Elane egaga fi ilima ilegelalu i, da Hibalone (Dabe Fasa: besa: le gaga: su Moilai bai bagade), Libina, Ya: da, Esiedimoua, Hailene, Dibe, A:isa: ne amola Bedesimese. Amola ilia da Bediamini fi ilima moilai Gibione, Giba, A:lemede amola A: nadode amo samogele, Elane egaga fi ilima i. Amola moilai sisiga: i ohe fofoi fi ilia ha: i nasu soge lai. Amo moilai huluane ilia da Gouha: de sosogo fi amolalima i. Huluane gilisili da galolisi.
58 Hileni, Debiri,
59 Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.
60 Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho. Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.
61 Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
Gouha: de egaga fi dunu eno amolalima ilia da moilai nabuane (amo ilia da Ma: na: se fi dogoa mogi ilima lai) amo ilima i.
62 Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.
Ilia da Gesione egaga fi, moilai galolisi amolalima i. Ilia da amo moilai Isaga fi, A:sie fi, Na: fadalai fi amola Ma: na: se fi dunu mogili Ba: isia: ne soge ganodini esalu, ilima lai.
63 Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
Ilia da Liubene fi, Ga: de fi amo Siebulane fi amolalima moilai fagoyale gala lale, Milalai egaga fi afae afae amolalima i.
64 Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.
Isala: ili dunu da amo moilai huluane amola ilia ohe fofoi fi ha: i nasu soge amo Lifai sosogo fi amolalima i.
65 Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
Ilia da musa: dedei moilai huluane, amo Yuda fi, Simiane fi amola Bediamini fi, amolalima lale, Lifai fi amolalima i.
66 Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
Ilia da Gouha: de sosogo mogili, moilai amo ilia da Ifala: ime fi amolali lai, amo Gouha: dema i.
67 Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,
Ilia da Ifala: ime goumi soge moilai bai bagade amo Siegeme (Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade), Gise, Yogomia: ime, Bede Houlene, A:idalone amola Ga: de Limane, amo moilai bai bagade amola ilia ohe fofoi ha: i nasu soge ilima i.
68 Yokmeamu, Beth-Horoni,
69 Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
70 Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Amola Isala: ili dunu da Ma: na: se dogoa mogi fi ilima A: ne amola Bilia: me moilai bai bagade amola ilia ohe fofoi ilia ha: i nasu soge, amo lale, Gouha: de sosogo fi mogili amolalima i.
71 Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
Gesione sosogo fi ilia soge ilegei da; Ma: na: se dogoa mogi fi amoga ilia da Goula: ne (Ba: isia: ne soge moilai amola A: siedalode amo ilia ohe fofoi fi ha: i nasu soge), amo ilegei.
72 Kutoka kabila la Isakari walipokea Kedeshi, Daberathi,
Isaga fi amoga ilia da Gidese, Dabela: de, La: imode amola A: ineme moilai bai bagade ilia ohe fofoi fi ha: i nasu soge, amo ilegei.
73 Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
74 Kutoka kabila la Asheri walipokea Mashali, Abdoni,
A: sie fi amoga ilia da Ma: isia: le, A:badone, Hiugoge amola Lihoube, amola ilia ohe fofoi fi ha: i nasu soge, amo ilegei.
75 Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
76 Kutoka kabila la Naftali walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
Na: fadalai fi amoga ilia da Gidese (Ga: lili soge moilai bai bagade), Ha: mone amola Giliada: ime, amola ilia ohe fofoi fi ha: i nasu soge, amo ilegei.
77 Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo: kutoka kabila la Zabuloni walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.
Milalai sosogo fi (Lifai fi la: di momogili fi dialu dunu) ilia soge ilegei da; Sebiulane fi amoga ilia da Yogonia: me, Gada, Limone amola Daba amola ilia ohe fofoi fi ha: i nasu soge, amo ilegei.
78 Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,
Liubene fi (ilia da Yodane Hano bega: , Yeligou moilai bai bagadega gusudili esalu) amoga ilia da Bise (hafoga: i sogega dialu), Yasa, Gedimode amola Mefa: ia: de amola ilia ohe fofoi fi ha: i nasu soge, amo ilegei.
79 Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
80 Na kutoka kabila la Gadi walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,
Ga: de fi amoga ilia da La: imode (Gilia: de soge ganodini dialu), Ma: ihana: ime, Hesiabone amola Ya: isa amola ilia ohe fofoi fi ha: i nasu soge, amo ilegei.
81 Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.

< 1 Nyakati 6 >