< 1 Nyakati 5 >

1 Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli (yeye alikuwa mzaliwa wa kwanza, lakini kwa kuwa alikinajisi kitanda cha baba yake, haki zake za mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yosefu mwana wa Israeli. Hivyo hakuorodheshwa kwenye orodha ya ukoo wao kulingana na haki yake ya kuzaliwa.
Pa inge fil natul Reuben, wen se emeet natul Jacob. (Ke sripen oasr tafongla lal Reuben yurin sie sin mutan kulansap kien papa tumal ah, oru itukla wal lun wounse se lukel ac itukyang nu sel Joseph.
2 Na ingawa Yuda alikuwa na nguvu zaidi ya ndugu zake wote, na mtawala alitoka kwake, haki za mzaliwa wa kwanza zilikuwa za Yosefu.)
Tusruktu tok, sruf lal Judah tuh ku liki nukewa, ac sie leum fin sruf nukewa tuh sikyak in sruf lal uh.)
3 Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli walikuwa: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.
Oasr wen akosr natul Reuben, wen se ma matu natul Jacob: elos pa Hanoch, Pallu, Hezron, ac Carmi.
4 Wazao wa Yoeli walikuwa: Shemaya mwanawe, Gogu mwanawe; Shimei mwanawe,
Pa inge inen mwet in fwil natul Joel ke kais sie fwil: Shemaiah, Gog, Shimei,
5 Mika mwanawe, Reaya mwanawe, Baali mwanawe,
Micah, Reaiah, Baal,
6 na Beera mwanawe, ambaye Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru alimchukua kwenda uhamishoni. Beera alikuwa kiongozi wa Wareubeni.
ac Beerah. Tokosra Fulat Tiglath Pileser lun Assyria el sruokilya Beerah, su sie mwet kol in sruf sac, ac el supwalla nu in sruoh.
7 Jamaa zao kulingana na koo zao, walioorodheshwa kwa kufuata koo zao kama ifuatavyo: Yeieli aliyekuwa mkuu wao, Zekaria,
Pa inge takin mwet kol in sou se inge ke sruf lal Reuben: Jeiel, Zechariah,
8 Bela mwana wa Azazi, mwana wa Shema, mwana wa Yoeli. Hao waliishi katika eneo kuanzia Aroeri mpaka Nebo na Baal-Meoni.
ac Bela wen natul Azaz, su ma natul Shema, in sruf lal Joel. Sruf se inge muta Aroer oayapa in facl ma oan epang lac nwe Nebo ac Baal Meon.
9 Kwa upande wa mashariki walienea hadi pembeni mwa jangwa linaloenea mpaka kwenye Mto Frati, kwa sababu mifugo yao ilikuwa imeongezeka huko Gileadi.
Arulana pus un sheep natulos in acn Gilead, oru yohk acn elos sruokya lalos fahla nu ke yen mwesis se ma sun acn e sisken Infacl Euphrates nu kutulap.
10 Wakati wa utawala wa Mfalme Sauli, walipigana vita dhidi ya Wahagari, wakaanguka kwa mikono yao, kisha wakaishi katika mahema ya Wahagari katika eneo lote la mashariki ya Gileadi.
In pacl lal Tokosra Saul, sruf lal Reuben inge elos mweun lain mwet Hagar, ac onelosi ke mweun, ac sruokya acn inge su oan kutulap in acn Gilead, ac muta we.
11 Wagadi waliishi jirani nao katika nchi ya Bashani, mpaka Saleka.
Sruf lal Gad muta layen nu epang in sruf lal Reuben, in acn Bashan fahla nwe sun acn Salecah nu kutulap.
12 Yoeli ndiye alikuwa mkuu wao, Shafamu wa pili, na wakafuata Yanai na Shafati, huko Bashani.
Joel pa sifen sou se ma yohk emeet, ac Shapham pa sifen sou se akluo. Janai ac Shaphat pa sifen sou saya in acn Bashan.
13 Ndugu zao kulingana na koo zao walikuwa saba: Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, Zia na Eberi.
Mwet nukewa saya in sruf se inge elos ma ke sou lulap inge: Michael, Meshullam, Sheba, Jorai, Jacan, Zia, ac Eber.
14 Hawa walikuwa ndio wana wa Abihaili mwana wa Huri, mwana wa Yaroa, mwana wa Gileadi, mwana wa Mikaeli, mwana wa Yeshishai, mwana wa Yahdo, mwana wa Buzi.
Mwet ingan elos fwilin tulik natul Abihail, wen natul Huri, wen natul Jaroah, wen natul Gilead, wen natul Michael, wen natul Jeshishai, wen natul Jahdo, wen natul Buz.
15 Ahi mwana wa Abdieli, mwana wa Guni, alikuwa ndiye kiongozi wa jamaa yao.
Ahi, wen natul Abdiel su wen natul Guni, pa sifen sou lulap ingan.
16 Wagadi waliishi Gileadi, huko Bashani pamoja na vijiji vilivyoizunguka, pia katika nchi yote ya malisho ya Sharoni kote walikoenea.
Mwet ingan elos muta in acn Bashan ac acn Gilead. Elos muta in siti uh, ac oayapa in acn tupasrpasr nukewa in acn Sharon.
17 Yote haya yaliwekwa katika kumbukumbu za ukoo wao wakati wa utawala wa Yothamu, mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
(Ma inge simla ac oakwuki in pacl lal Tokosra Jotham lun Judah, ac Tokosra Jeroboam Akluo lun Israel.)
18 Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase walikuwa na watu mashujaa 44,760 waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya vita: watu wenye nguvu, hodari wa kutumia ngao na upanga, mashujaa wa kutumia upinde, waliokuwa tayari kwa ajili ya kazi hiyo.
In sruf lal Reuben, sruf lal Gad, ac sruf lal Manasseh Kutulap, oasr mwet mweun angngaul akosr tausin itfoko onngoul. Mwet inge elos fas ke orekmakinyen mwe loeyuk, cutlass, ac mwe pisr.
19 Walipigana vita dhidi ya Wahagari, Yeturi, Nafishi na Nodabu.
Elos som mweuni sruf tolu lun mwet Hagar pangpang Jetur, Naphish, ac Nodab.
20 Walisaidiwa katika kupigana nao, Mungu akawatia Wahagari pamoja na wote walioungana nao mikononi mwao, kwa sababu walimlilia Mungu wakati wa vita. Alijibu maombi yao, kwa sababu walimtegemea.
Elos lulalfongi God ac pre nu sel tuh Elan kasrelos, ac God El topuk pre lalos ac sang kutangla nu selos fin mwet Hagar ac mwet nukemwa su welulos mweun.
21 Walitwaa mifugo ya Wahagari: ngamia 50,000, kondoo 250,000, punda 2,000. Pia wakateka watu 100,000,
Ma elos sruokya sin mwet lokoalok lalos inge pa camel lumngaul tausin, sheep luofoko lumngaul tausin, donkey luo tausin, oayapa mwet sruoh siofok tausin.
22 na wengine wengi waliuawa kwa sababu vita vilikuwa ni vya Mungu. Nao waliendelea kuikalia nchi hiyo mpaka wakati wa uhamisho.
Elos uniya mwet lokoaok puspis, mweyen elos mweun fal nu ke ma lungse lun God. Ac elos oakwuki in acn ingo nwe ke sun pacl in sruoh ah.
23 Idadi ya nusu ya kabila la Manase walikuwa wengi sana, Wakakaa kuanzia Bashani hadi Baal-Hermoni, yaani mpaka Seniri na mlima Hermoni.
Mwet in sruf Tafun Manasseh Kutulap elos oakwuki in acn Bashan fahla nu epang nwe Baal Hermon, Senir, ac Fineol Hermon. Mwet inge kapkapak ac arulana puseni.
24 Hawa ndio waliokuwa viongozi wa jamaa za kabila hilo: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia na Yahdieli. Walikuwa askari shujaa watu maarufu, viongozi wa jamaa zao.
Pa inge inen mwet su sifen sou lulap lalos: Epher, Ishi, Eliel, Azriel, Jeremiah, Hodaviah, ac Jahdiel. Mwet kol inge kewa elos mwet mweun na pwengpeng, ac akilenyuk in sou lalos.
25 Lakini hawakuwa waaminifu kwa Mungu wa baba zao, nao wakafanya ukahaba kwa miungu ya mataifa, ambayo Mungu alikuwa ameyaangamiza mbele yao.
Tusruktu insien mwet uh tia pwaye nu sin God lun papa tumalos, ac elos forla lukel in alu nu sin god lun mutunfacl su God El tuh luselosla liki facl sac.
26 Kwa hiyo Mungu wa Israeli akaiamsha roho ya Pulu, mfalme wa Ashuru (ambaye pia alijulikana kama Tiglath-Pileseri), ambaye aliwachukua Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase kwenda uhamishoni. Akawapeleka huko Hala, Habori, Hara na mto Gozani, ambako wamekaa mpaka leo.
Ouinge God El sang tuh Tokosra Fulat Pul lun Assyria (sie pac inel pa Tiglath Pileser) elan utyak nu in facl selos in mweunelos. Tokosra se inge el lusak mwet in sruf lal Reuben, ac sruf lal Gad, ac sruf lal Manasseh Kutulap, ac usalosla ac oakelosi in acn Halah, Habor, ac Hara, oayapa sisken Infacl Gozan.

< 1 Nyakati 5 >