< 1 Nyakati 4 >

1 Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
Os filhos de Judá: Perez, Hezron, Carmi, Hur, e Shobal.
2 Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.
Reaiah, o filho de Shobal, tornou-se o pai de Jahath; e Jahath tornou-se o pai de Ahumai e Lahad. Estas são as famílias dos zoratitas.
3 Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi.
Estes foram os filhos do pai de Etam: Jezreel, Ishma, e Idbash. O nome de sua irmã era Hazzelelponi.
4 Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa Husha. Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, na baba yake Bethlehemu.
Penuel era o pai de Gedor e Ezer o pai de Hushah. Estes são os filhos de Hur, o primogênito de Ephrathah, o pai de Belém.
5 Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
Ashhur, o pai de Tekoa, teve duas esposas, Helah e Naarah.
6 Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
Naarah lhe deu à luz Ahuzzam, Hepher, Temeni, e Haahashtari. Estes eram os filhos de Naarah.
7 Wana wa Hela walikuwa: Serethi, Sohari, Ethnani,
Os filhos de Helá eram Zereth, Izhar e Ethnan.
8 na Kosi ambaye aliwazaa Anubi, Sobeba na jamaa zote za Aharheli mwana wa Harumu.
Hakkoz tornou-se o pai de Anub, Zobebah, e as famílias de Aharhel, o filho de Harum.
9 Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa kwa huzuni.”
Jabez foi mais honrado do que seus irmãos. Sua mãe lhe deu o nome de Jabez, dizendo: “Porque eu o aborreci com tristeza”.
10 Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
Jabez invocou o Deus de Israel, dizendo: “Oh, que vocês realmente me abençoem, e aumentem minha fronteira! Que tua mão esteja comigo, e que tu me protejas do mal, para que eu não cause dor”! Deus lhe concedeu o que Ele pediu.
11 Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, naye Mehiri akamzaa Eshtoni.
Chelub, irmão de Shuhah, tornou-se o pai de Mehir, que foi o pai de Eshton.
12 Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.
Eshton tornou-se o pai de Beth Rapha, Paseah, e Tehinnah o pai de Ir Nahash. Estes são os homens de Recah.
13 Wana wa Kenazi walikuwa: Othnieli na Seraya. Wana wa Othnieli walikuwa: Hathathi na Meonathai.
Os filhos de Kenaz: Othniel e Seraías. Os filhos de Othniel: Hath.
14 Meonathai akamzaa Ofra. Seraya akamzaa Yoabu, baba wa Ge-Harashimu. Liliitwa hivyo kwa sababu watu walioishi humo walikuwa mafundi.
Meonothai tornou-se o pai de Ophrah: e Seraías tornou-se o pai de Joab o pai de Ge Harashim, pois eles eram artesãos.
15 Kalebu mwana wa Yefune alikuwa na wana watatu: Iru, Ela na Naamu. Naye mwana wa Ela alikuwa: Kenazi.
Os filhos de Calebe, o filho de Jefoné: Iru, Elah, e Naam. O filho de Elá: Kenaz.
16 Wana wa Yahaleleli walikuwa: Zifu, Zifa, Tiria na Asareli.
Os filhos de Jehallelel: Ziph, Ziphah, Tiria, e Asarel.
17 Wana wa Ezra walikuwa: Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmojawapo wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa.
Os filhos de Ezrah: Jether, Mered, Epher e Jalon; e a esposa de Mered deu à luz Miriam, Shammai e Ishbah, o pai de Eshtemoa.
18 Meredi alikuwa na mke mwingine Myahudi ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko na Yekuthieli baba wa Zanoa. Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa.
Sua esposa a judia deu à luz Jered o pai de Gedor, Heber o pai de Soco, e Jekuthiel o pai de Zanoah. Estes são os filhos de Bithiah, filha do faraó, que Merede levou.
19 Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa: baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.
Os filhos da esposa de Hodias, irmã de Naham, foram os pais de Keilah o Garmite e Eshtemoa o Maacatita.
20 Wana wa Shimoni walikuwa: Amnoni, Rina, Ben-Hanani na Tiloni. Wazao wa Ishi walikuwa: Zohethi na Ben-Zohethi.
Os filhos de Shimon: Amnon, Rinnah, Ben Hanan, e Tilon. Os filhos de Ishi: Zoheth, e Ben Zoheth.
21 Wana wa Shela, mwana wa Yuda, walikuwa: Eri baba yake Leka, Laada baba yake Maresha na jamaa za wafumaji nguo za kitani safi waliokuwa wakiishi huko Beth-Ashbea,
Os filhos de Selá, o filho de Judá: Er o pai de Lecah, Laadah o pai de Mareshah, e as famílias da casa dos que trabalhavam linho fino, da casa de Ashbea;
22 Yokimu, watu walioishi Kozeba, Yoashi na Sarafi waliotawala huko Moabu na Yashubi-Lehemu. (Taarifa hizi ni za zamani sana.)
e Jokim, e os homens de Cozeba, e Joash, e Sarafe, que tinham domínio em Moab, e Jashubilehem. Estes registros são antigos.
23 Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.
Estes eram os oleiros, e os habitantes de Netaim e Gederah; eles viveram lá com o rei para seu trabalho.
24 Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.
Os filhos de Simeon: Nemuel, Jamin, Jarib, Zerah, Shaul;
25 Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.
Shallum, seu filho, Mibsam, seu filho, e Mishma, seu filho.
26 Wazao wa Mishma walikuwa: Hamueli aliyemzaa Zakuri, Zakuri akamzaa Shimei.
Os filhos de Mishma: Hammuel, seu filho, Zaccur, seu filho, Shimei, seu filho.
27 Shimei alikuwa na wana kumi na sita, na binti sita, lakini ndugu zake hawakuwa na watoto wengi, hivyo ukoo wao wote haukuwa na watu wengi kama ukoo wa Yuda.
Shimei teve dezesseis filhos e seis filhas; mas seus irmãos não tiveram muitos filhos, e toda sua família não se multiplicou como os filhos de Judá.
28 Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,
They viveu em Beersheba, Moladah, Hazarshual,
29 Bilha, Esemu, Toladi,
at Bilhah, em Ezem, em Tolad,
30 Bethueli, Horma, Siklagi,
at Bethuel, em Hormah, em Ziklag,
31 Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi.
em Beth Marcaboth, Hazar Susim, em Beth Biri, e em Shaaraim. Estas foram suas cidades até o reinado de David.
32 Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:
Their aldeias eram Etam, Ain, Rimmon, Tochen e Ashan, cinco cidades;
33 pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.
e todas as suas aldeias que estavam ao redor das mesmas cidades, até Baal. Estes eram seus assentamentos, e mantiveram sua genealogia.
34 Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,
Meshobab, Jamlech, Joshah filho de Amazonas,
35 Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli.
Joel, Jehu filho de Joshibiah, filho de Seraías, filho de Asiel,
36 Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya, Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya,
Elioenai, Jaakobah, Jeshohaiah, Asaiah, Adiel, Jesimiel, Benaiah,
37 Ziza mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya, mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya.
e Ziza o filho de Shiphi, o filho de Allon, o filho de Jedaiah, o filho de Shimri, o filho de Shemaiah-
38 Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,
estes mencionados pelo nome eram príncipes em suas famílias. As casas de seus pais aumentaram muito.
39 wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao.
Eles foram para a entrada de Gedor, mesmo ao lado leste do vale, em busca de pasto para seus rebanhos.
40 Huko walipata malisho mengi mazuri, nayo nchi ilikuwa na nafasi kubwa, yenye amani na utulivu. Baadhi ya Wahamu waliishi huko zamani.
Eles encontraram pastagens ricas e boas, e a terra era larga, tranqüila e tranqüila para aqueles que moravam lá antes eram descendentes de Presunto.
41 Watu walioorodheshwa majina walikuja katika nchi hiyo wakati wa Hezekia mfalme wa Yuda. Akawashambulia Wahamu katika makao yao pamoja na Wameuni ambao walikuwako huko nao wakawaangamiza kabisa, kama ilivyo dhahiri hadi leo. Kisha wakafanya makazi yao huko kwa sababu kulikuwa na malisho mazuri kwa ajili ya mifugo yao.
Estes escritos pelo nome vieram nos dias de Ezequias, rei de Judá, e atingiram suas tendas e os Meunim que ali foram encontrados; e os destruíram completamente até hoje, e viveram em seu lugar, porque ali havia pasto para seus rebanhos.
42 Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri.
Alguns deles, mesmo dos filhos de Simeão, quinhentos homens, foram para o Monte Seir, tendo para seus capitães Pelatiah, Neariah, Rephaiah e Uzziel, os filhos de Ishi.
43 Wakawaua Waamaleki waliobaki, waliokuwa wamenusurika, nao wanaishi huko hadi leo.
Eles atacaram o remanescente dos amalequitas que escaparam, e viveram lá até hoje.

< 1 Nyakati 4 >