< 1 Nyakati 4 >

1 Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
Synowie Judy: Peres, Chesron, Karmi, Chur i Szobal.
2 Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.
A Reajasz, syn Szobala, spłodził Jachata, a Jachat spłodził Achumaja i Lahada. To są rody Soreatytów.
3 Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi.
A ci pochodzą od ojca Etama: Jizreel, Jiszma i Jidbasz, a ich siostra miała na imię Haselelponi.
4 Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa Husha. Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, na baba yake Bethlehemu.
Penuel [był] ojcem Gedora, a Ezer – ojcem Chuszy. To są synowie Chura, pierworodnego Efraty, ojca Betlejema.
5 Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
A Aszur, ojciec Tekoa, miał dwie żony: Chelę i Naarę.
6 Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
I Naara urodziła mu Achuzama, Chefera, Temniego i Achasztariego. Ci [byli] synami Naary.
7 Wana wa Hela walikuwa: Serethi, Sohari, Ethnani,
Synowie Cheli: Seret, Jesochar i Etnan.
8 na Kosi ambaye aliwazaa Anubi, Sobeba na jamaa zote za Aharheli mwana wa Harumu.
A Koz spłodził Anuba, Zobeba i rody Acharchela, syna Haruma.
9 Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa kwa huzuni.”
A Jabes był bardziej poważany niż jego bracia. Jego matka dała mu na imię Jabes, mówiąc: Ponieważ urodziłam go w bólu.
10 Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
I Jabes wzywał Boga Izraela, mówiąc: Obyś mi naprawdę błogosławił i rozszerzył moje granice, oby twoja ręka była ze mną, obyś zachował [mnie] od zła, abym nie był utrapiony. I Bóg spełnił to, o co go prosił.
11 Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, naye Mehiri akamzaa Eshtoni.
A Kelub, brat Szuchy, spłodził Mechira, który był ojcem Esztona.
12 Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.
A Eszton spłodził Betrafę, Paseacha i Techinnę, ojca Irnachasza. To [są] mężczyźni z Rechy.
13 Wana wa Kenazi walikuwa: Othnieli na Seraya. Wana wa Othnieli walikuwa: Hathathi na Meonathai.
Synowie Kenaza: Otniel i Serajasz, a synowie Otniela: Chatat [i Meonotaj].
14 Meonathai akamzaa Ofra. Seraya akamzaa Yoabu, baba wa Ge-Harashimu. Liliitwa hivyo kwa sababu watu walioishi humo walikuwa mafundi.
Meonotaj spłodził Ofrę. Serajasz zaś spłodził Joaba, ojca Charaszimów mieszkających w dolinie – byli bowiem rzemieślnikami.
15 Kalebu mwana wa Yefune alikuwa na wana watatu: Iru, Ela na Naamu. Naye mwana wa Ela alikuwa: Kenazi.
Synowie Kaleba, syna Jefunnego: Iru, Ela i Naam. A synem Eli był Kenaz.
16 Wana wa Yahaleleli walikuwa: Zifu, Zifa, Tiria na Asareli.
Synowie Jehalleleela: Zif, Zifa, Tiria i Asareel.
17 Wana wa Ezra walikuwa: Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmojawapo wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa.
Synowie Ezry: Jeter, Mered, Efer i Jalon. [A żona Mereda] urodziła Miriama, Szammaja i Iszbacha, ojca Esztemoi.
18 Meredi alikuwa na mke mwingine Myahudi ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko na Yekuthieli baba wa Zanoa. Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa.
Jego żona Jehudaja urodziła Jereda, ojca Gedora, Chebera, ojca Soko, i Jekutiela, ojca Zanoacha. To [są] synowie Bitii, córki faraona, którą pojął za żonę Mered.
19 Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa: baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.
Synowie jego żony Hodijji, siostry Nahama, ojca Keili: Garmity i Esztemoa, Maakatyta.
20 Wana wa Shimoni walikuwa: Amnoni, Rina, Ben-Hanani na Tiloni. Wazao wa Ishi walikuwa: Zohethi na Ben-Zohethi.
Synowie Szimona: Amnon, Rinna, Benchanan i Tilon. A synowie Jisziego: Zochet i Benzochet.
21 Wana wa Shela, mwana wa Yuda, walikuwa: Eri baba yake Leka, Laada baba yake Maresha na jamaa za wafumaji nguo za kitani safi waliokuwa wakiishi huko Beth-Ashbea,
Synowie Szeli, syna Judy: Er, ojciec Leki, Laada, ojciec Mareszy i tych rodów, które wytwarzały bisior w domu Aszbea;
22 Yokimu, watu walioishi Kozeba, Yoashi na Sarafi waliotawala huko Moabu na Yashubi-Lehemu. (Taarifa hizi ni za zamani sana.)
Jokim i mężczyźni Kozeby oraz Joasz i Saraf, którzy panowali w Moabie, a także Jaszubilechem. To [są] dawne wydarzenia.
23 Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.
Byli oni garncarzami i mieszkali w sadach i między płotami. Mieszkali tam przy królu i pracowali dla niego.
24 Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.
Synowie Symeona: Nemuel, Jamin, Jarib, Zerach i Saul.
25 Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.
Jego syn Szallum, jego syn Mibsam, jego syn Miszma.
26 Wazao wa Mishma walikuwa: Hamueli aliyemzaa Zakuri, Zakuri akamzaa Shimei.
A synowie Miszmy: jego syn Chamuel, jego syn Zakkur, jego syn Szimei.
27 Shimei alikuwa na wana kumi na sita, na binti sita, lakini ndugu zake hawakuwa na watoto wengi, hivyo ukoo wao wote haukuwa na watu wengi kama ukoo wa Yuda.
Szimei miał szesnastu synów i sześć córek, lecz jego bracia nie mieli wielu synów i wszystkie ich rody nie były tak liczne jak [rody] synów Judy.
28 Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,
Mieszkali oni w Beer-Szebie, Molada i w Chasar-Szual;
29 Bilha, Esemu, Toladi,
W Bilha, Esem i Tolad;
30 Bethueli, Horma, Siklagi,
W Betuel, Chorma i Siklag;
31 Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi.
W Bet-Markabot, Chasar-Susim, Bet-Birei i Szaaraim. To były ich miasta aż do panowania Dawida.
32 Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:
A ich wioskami [były]: Etam, Ain, Rimmon, Token i Aszan, pięć miast;
33 pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.
Oraz wszystkie ich wioski [położone] dokoła tych miast aż do Baal. To były ich miejsca zamieszkania i spisy ich rodów.
34 Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,
Meszobab, Jamlek i Josza, syn Amazjasza;
35 Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli.
Joel i Jehu, syn Joszibiasza, syna Serajasza, syna Asiela;
36 Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya, Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya,
I Elioenaj, Jaakoba, Jeszochajasz, Asajasz, Adiel, Jesimiel i Benajasz;
37 Ziza mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya, mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya.
Ziza, syn Szifiego, syna Allona, syna Jedajasza, syna Szimriego, syna Semajasza.
38 Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,
Ci wymienieni imiennie byli naczelnikami w swoich rodach, a rodziny ich ojców bardzo się rozrosły.
39 wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao.
I dotarli aż do wejścia do Gedor, aż na wschodnią stronę doliny, szukając pastwiska dla swych trzód.
40 Huko walipata malisho mengi mazuri, nayo nchi ilikuwa na nafasi kubwa, yenye amani na utulivu. Baadhi ya Wahamu waliishi huko zamani.
I znaleźli obfite i dobre pastwiska oraz ziemię obszerną, spokojną i bezpieczną. Tam bowiem mieszkali przedtem Chamici.
41 Watu walioorodheshwa majina walikuja katika nchi hiyo wakati wa Hezekia mfalme wa Yuda. Akawashambulia Wahamu katika makao yao pamoja na Wameuni ambao walikuwako huko nao wakawaangamiza kabisa, kama ilivyo dhahiri hadi leo. Kisha wakafanya makazi yao huko kwa sababu kulikuwa na malisho mazuri kwa ajili ya mifugo yao.
Zapisani [tu] imiennie przyszli za czasów Ezechiasza, króla Judy, zniszczyli ich namioty i przybytki, które się tam znajdowały, doszczętnie wygubili ich i osiedlili się na ich miejscu. Tam bowiem były pastwiska dla ich trzód.
42 Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri.
[Niektórzy] z nich, pięciuset mężczyzn spośród synów Symeona, udali się na górę Seir, a ich przywódcami byli: Pelatiasz, Neariasz, Refajasz i Uzziel, synowie Jisziego.
43 Wakawaua Waamaleki waliobaki, waliokuwa wamenusurika, nao wanaishi huko hadi leo.
I pobili resztę ocalałych Amalekitów, i zamieszkali tam do dziś.

< 1 Nyakati 4 >