< 1 Nyakati 4 >

1 Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
Libota ya Yuda: Peretsi, Etsironi, Karimi, Wuri mpe Shobali.
2 Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.
Reaya, mwana mobali ya Shobali, azalaki tata ya Yaati, mpe Yaati azalaki tata ya Awumayi mpe ya Laadi. Bango nde bazalaki bakoko ya bituka ya bato ya Tsorea.
3 Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi.
Tala bana mibali ya Etami: Jizireyeli, Yishima mpe Yidibashi. Kombo ya ndeko na bango ya mwasi ezalaki Atseleliponi.
4 Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa Husha. Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, na baba yake Bethlehemu.
Penueli azalaki tata ya Gedori, mpe Ezeri azalaki tata ya Usha. Bango nde bazalaki bakitani ya Wuri, mwana liboso ya Efrata, tata ya Beteleemi.
5 Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
Ashiwuri, tata ya Tekoa, azalaki na basi mibale: Eleya mpe Nara.
6 Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
Nara abotelaki ye bana mibali oyo: Awuzami, Eferi, Temeni mpe Ahashitari.
7 Wana wa Hela walikuwa: Serethi, Sohari, Ethnani,
Eleya abotelaki ye bana mibali oyo: Tsereti, Tsoari mpe Etinani.
8 na Kosi ambaye aliwazaa Anubi, Sobeba na jamaa zote za Aharheli mwana wa Harumu.
Kotsi azalaki tata ya Anubi mpe Atsobeba, mpe koko ya mabota ya Aareyeli, mwana mobali ya Arumi.
9 Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa kwa huzuni.”
Yaebetsi azalaki na lokumu mingi koleka bandeko na ye ya mibali. Mama na ye apesaki ye kombo « Yaebetsi » mpo na koloba: « Nabotaki yo na pasi. »
10 Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
Yaebetsi abelelaki Yawe, Nzambe ya Isalaele; alobaki: « Oh Yawe! Soki okoki kopambola ngai mpe koyeisa mabele na ngai monene! Tika ete loboko na Yo ezala likolo na ngai! Bomba ngai mosika ya mabe mpo ete namona pasi te. » Mpe Nzambe ayanolaki libondeli na ye.
11 Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, naye Mehiri akamzaa Eshtoni.
Kelubi, ndeko mobali ya Shuwa, azalaki tata ya Meyiri oyo azalaki tata ya Eshitoni.
12 Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.
Eshitoni azalaki tata ya Beti-Rafa, Paseya mpe Teyina oyo atongaki engumba Naashi. Bango nde bazalaki kovanda na engumba Reka.
13 Wana wa Kenazi walikuwa: Othnieli na Seraya. Wana wa Othnieli walikuwa: Hathathi na Meonathai.
Bana mibali ya Kenazi: Otinieli mpe Seraya. Bana mibali ya Otinieli: Atati mpe Meonotayi.
14 Meonathai akamzaa Ofra. Seraya akamzaa Yoabu, baba wa Ge-Harashimu. Liliitwa hivyo kwa sababu watu walioishi humo walikuwa mafundi.
Meonotayi abotaki Ofira. Seraya abotaki Joabi, tata ya Ge-Arashimi. Bazalaki kobenga ye bongo, pamba te bato na ye bazalaki kosala misala ya maboko, ya kotula bibende na moto.
15 Kalebu mwana wa Yefune alikuwa na wana watatu: Iru, Ela na Naamu. Naye mwana wa Ela alikuwa: Kenazi.
Bana mibali ya Kalebi, mwana mobali ya Yefune: Iru, Ela mpe Naame. Mwana mobali ya Ela: Kenazi.
16 Wana wa Yahaleleli walikuwa: Zifu, Zifa, Tiria na Asareli.
Mwana mobali ya Yealeyeli: Zifi, Zifa, Tiria mpe Asareli.
17 Wana wa Ezra walikuwa: Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmojawapo wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa.
Bana mibali ya Esidrasi: Yeteri, Meredi, Eferi mpe Yaloni. Moko kati na basi ya Meredi abotaki Miriami, Shamayi mpe Yishiba, tata ya Eshitemoa.
18 Meredi alikuwa na mke mwingine Myahudi ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko na Yekuthieli baba wa Zanoa. Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa.
Mwasi na ye, moto ya Yuda, abotaki Yeredi, tata ya Gedori; Eberi, tata ya Soko mpe Yekutieli, tata ya Zanoa. Bango nde bazalaki bana mibali ya Bitiya, mwana mwasi ya Faraon, oyo Meredi abalaki.
19 Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa: baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.
Bana mibali ya mwasi ya Odia, ndeko mwasi ya Naami: tata ya Keila, moto ya Garima; mpe Eshitemoa, moto ya mboka Maakati.
20 Wana wa Shimoni walikuwa: Amnoni, Rina, Ben-Hanani na Tiloni. Wazao wa Ishi walikuwa: Zohethi na Ben-Zohethi.
Bana mibali ya Simona: Aminoni, Rina, Beni-Anani mpe Tiloni. Bana mibali ya Yisheyi: Zoeti mpe Beni-Zoeti.
21 Wana wa Shela, mwana wa Yuda, walikuwa: Eri baba yake Leka, Laada baba yake Maresha na jamaa za wafumaji nguo za kitani safi waliokuwa wakiishi huko Beth-Ashbea,
Bana mibali ya Shela, mwana mobali ya Yuda: Eri, tata ya Leka; Laeda, tata ya Maresha; mpe mabota ya basali bilamba ya lino, na Beti-Asheba.
22 Yokimu, watu walioishi Kozeba, Yoashi na Sarafi waliotawala huko Moabu na Yashubi-Lehemu. (Taarifa hizi ni za zamani sana.)
Yokimi, bato ya Kozeba, Joasi mpe Sarafi oyo bazalaki bakambi kati na Moabi mpe engumba Yashubi-Leemi. Nyonso oyo ezali makambo ya kala.
23 Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.
Bazalaki basali mbeki oyo bazalaki kovanda na Netayimi mpe na Gedera; batikalaki kuna mpo na kosalela mokonzi.
24 Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.
Bana mibali ya Simeoni: Nemueli, Yamini, Yaribi, Zera; Saulo, tata ya Shalumi;
25 Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.
Shalumi, tata ya Mibisami; Mibisami, tata ya Mishima.
26 Wazao wa Mishma walikuwa: Hamueli aliyemzaa Zakuri, Zakuri akamzaa Shimei.
Bana mibali ya Mishima: Amueli, Zakuri mpe Shimei.
27 Shimei alikuwa na wana kumi na sita, na binti sita, lakini ndugu zake hawakuwa na watoto wengi, hivyo ukoo wao wote haukuwa na watu wengi kama ukoo wa Yuda.
Shimei azalaki na bana mibali zomi na motoba mpe bana basi motoba; kasi bandeko na ye ya mibali babotaki bana mingi te, yango wana etuka na bango ezalaki na bato ebele te lokola libota ya Yuda.
28 Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,
Bazalaki kovanda na Beri-Sheba, na Molada, na Atsari-Shuwali,
29 Bilha, Esemu, Toladi,
na Bila, na Etsemi, na Toladi,
30 Bethueli, Horma, Siklagi,
na Betweli, na Orima, na Tsikilagi,
31 Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi.
na Beti-Marikaboti, na Atsari-Suzimi, na Beti-Birei mpe na Shaarayimi: nyonso oyo ezalaki bingumba na bango kino na tango ya bokonzi ya Davidi.
32 Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:
Tala bingumba mitano mike oyo ezalaki zingazinga na yango: Etami, Ayini, Rimoni, Tokeni mpe Ashani;
33 pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.
bakisa bamboka mike mosusu oyo ezingelaki bingumba yango kino na Baalati. Oyo nde ezalaki bisika na bango ya kovanda mpe molongo ya mbotama ya bakoko na bango.
34 Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,
Meshobabi; Yamileki; Yosha, mwana mobali ya Amatsia;
35 Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli.
Joeli; Jewu, mwana mobali ya Yoshibia, mwana mobali ya Seraya, mwana mobali ya Asieli;
36 Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya, Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya,
Eliowenayi; Yakoba; Yeshoaya; Asaya; Adieli; Yesimieli; Benaya;
37 Ziza mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya, mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya.
Ziza, mwana mobali ya Shifeyi, mwana mobali ya Aloni, mwana mobali ya Yedaya, mwana mobali ya Shimiri, mwana mobali ya Shemaya.
38 Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,
Bato oyo batangamaki na bakombo bazalaki bakambi ya bituka na bango. Mabota na bango ekomaki minene
39 wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao.
mpe bakendeki na zingazinga ya Gedori, na ngambo ya este ya lubwaku, mpo na koluka matiti ya koleisa bibwele na bango.
40 Huko walipata malisho mengi mazuri, nayo nchi ilikuwa na nafasi kubwa, yenye amani na utulivu. Baadhi ya Wahamu waliishi huko zamani.
Bakutaki kuna: matiti kitoko mpo na koleisa bibwele, mokili moko ya monene, ya kimia mpe ezanga mobulu. Bato oyo bazalaki kovanda kuna na tango ya kala, bazalaki bakitani ya Cham.
41 Watu walioorodheshwa majina walikuja katika nchi hiyo wakati wa Hezekia mfalme wa Yuda. Akawashambulia Wahamu katika makao yao pamoja na Wameuni ambao walikuwako huko nao wakawaangamiza kabisa, kama ilivyo dhahiri hadi leo. Kisha wakafanya makazi yao huko kwa sababu kulikuwa na malisho mazuri kwa ajili ya mifugo yao.
Na tango Ezekiasi azalaki mokonzi ya Yuda, bato oyo bakombo na bango ekomami, bakomaki na mokili yango. Babundisaki bakitani ya Cham mpe babebisaki bandako na bango; mpe lisusu, basilisaki koboma bato ya Mewuni oyo bazalaki kovanda kuna, ndenge yango ezali komonana lelo. Na sima, bavandaki na bisika na bango, mpo ete mokili yango ezalaki na matiti mpo na koleisa bibwele na bango.
42 Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri.
Bato ya Simeoni nkama mitano oyo bakambamaki na Pelatia, na Nearia, na Refaya mpe na Uzieli, bana mibali ya Yisheyi, babotolaki na makasi mokili ya bangomba Seiri,
43 Wakawaua Waamaleki waliobaki, waliokuwa wamenusurika, nao wanaishi huko hadi leo.
babomaki ndambo ya bato ya Amaleki oyo batikalaki mpe bavandaki kuna kino lelo.

< 1 Nyakati 4 >