< 1 Nyakati 4 >

1 Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
Judah koca ah Perez, Khetsron, Karmee, Hur, Shobal.
2 Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.
Shobal capa Reaiah loh Jahath a sak. Jahath loh Ahumai neh Lahad a sak. He rhoek tah Zorathi koca ni.
3 Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi.
Etam pacaphung he Jezreel, Ishma neh Idbash tih a ngannu ming tah Hazzelelponi ni.
4 Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa Husha. Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, na baba yake Bethlehemu.
Gedor napa Penuel neh Hushah napa Ezer. He tah Bethlehem napa Epharath kah caming Hur kah koca ni.
5 Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
Tekoa napa Ashhur he a yuu panit, Helah neh Naarah om.
6 Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
Anih ham te Naarah loh Ahuzzam, Hepher, Temeni, Haahashtari a sak pah. He rhoek he Naarah koca la om.
7 Wana wa Hela walikuwa: Serethi, Sohari, Ethnani,
Helah koca rhoek ah Zereth, Zohar neh Ethan.
8 na Kosi ambaye aliwazaa Anubi, Sobeba na jamaa zote za Aharheli mwana wa Harumu.
Koz loh Anub neh Zobebah a sak tih Harum capa Aharhel koca la om.
9 Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa kwa huzuni.”
Te tla a om vaengah Jabez tah a manuca rhoek lakah a thangpom. A manu long khaw, “Tloh neh ka cun,” a ti dongah a ming te Jabez a sui.
10 Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
Jabez tah Israel Pathen taengah pang tih, “Kai he yoethen la yoe han then sak mai lamtah ka khorhi he han ka sak. Na kut te kai soah om tih yoethae lamloh nan hoep daengah ni ka ko a thae pawt eh?,” a ti nah. Te dongah a bih te Pathen loh a rhoi pah.
11 Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, naye Mehiri akamzaa Eshtoni.
Shuhah manuca Kelub loh Eshton napa Mehir a sak.
12 Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.
Eshton loh Bethrapha, Paseah, Nahash khopuei napa Tehinah a sak. He rhoek he Rekhah hlang rhoek ni.
13 Wana wa Kenazi walikuwa: Othnieli na Seraya. Wana wa Othnieli walikuwa: Hathathi na Meonathai.
Kenaz koca rhoek la Othniel, Seraiah. Othniel koca ah Hathath.
14 Meonathai akamzaa Ofra. Seraya akamzaa Yoabu, baba wa Ge-Harashimu. Liliitwa hivyo kwa sababu watu walioishi humo walikuwa mafundi.
Meonothai loh Ophrah a sak tih Seraiah loh kutthai la aka om Gekharashim napa Joab a sak.
15 Kalebu mwana wa Yefune alikuwa na wana watatu: Iru, Ela na Naamu. Naye mwana wa Ela alikuwa: Kenazi.
Jephunneh capa Kaleb koca la Iru, Elah neh Naam, Elah neh Kenaz koca.
16 Wana wa Yahaleleli walikuwa: Zifu, Zifa, Tiria na Asareli.
Jehallelel koca ah Ziph, Ziphah, Tiria neh Asarel.
17 Wana wa Ezra walikuwa: Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmojawapo wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa.
Ezrah koca ah Jether, Mered, Epher, Jalon tih Miriam loh Shammai neh Eshtmoa napa Ishbah a yom.
18 Meredi alikuwa na mke mwingine Myahudi ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko na Yekuthieli baba wa Zanoa. Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa.
Anih yuu Judean loh Gedor napa Jered, Sokoh napa Heber, Zanoah napa Jekuthiel a sak. Te rhoek tah Mered loh a loh Pharaoh canu Bithiah ca rhoek ni.
19 Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa: baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.
Hodiah yuu koca ah Karmee Keliah napa Naham ngannu neh Maakathi Eshtmoa.
20 Wana wa Shimoni walikuwa: Amnoni, Rina, Ben-Hanani na Tiloni. Wazao wa Ishi walikuwa: Zohethi na Ben-Zohethi.
Shimon koca ah Amnon, Rinnah, Benhanan, Tilon. Ishi koca ah Zoheth neh Benzoheth.
21 Wana wa Shela, mwana wa Yuda, walikuwa: Eri baba yake Leka, Laada baba yake Maresha na jamaa za wafumaji nguo za kitani safi waliokuwa wakiishi huko Beth-Ashbea,
Judah capa Shelah koca ah Lekah napa Er, Mareshah napa Laadah tih Ashbe imkhui ah tah baibok dongkah thohtatnah aka saii imkhui koca la om.
22 Yokimu, watu walioishi Kozeba, Yoashi na Sarafi waliotawala huko Moabu na Yashubi-Lehemu. (Taarifa hizi ni za zamani sana.)
Te phoeiah Jokim neh Kozeba hlang neh Joash, Moab ah yuu aka lo rhoek Saraph neh Jashubilehem. He khaw tampo ol ni.
23 Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.
Amih tah Netaim neh Gederah kah khosa ambop la om uh tih a bitat dongah manghai taengah pahoi kho a sak uh.
24 Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.
Simeon koca ah Nemuel, Jamin, Jarib, Zerah, Saul.
25 Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.
Saul capa Shallum, Shallum capa Mibsam, Mibsam capa Mishma.
26 Wazao wa Mishma walikuwa: Hamueli aliyemzaa Zakuri, Zakuri akamzaa Shimei.
Mishma koca la, Mishma capa Hammuel, Hammuel capa Zakkuur, Zakkuur capa Shimei.
27 Shimei alikuwa na wana kumi na sita, na binti sita, lakini ndugu zake hawakuwa na watoto wengi, hivyo ukoo wao wote haukuwa na watu wengi kama ukoo wa Yuda.
Shimei te capa hlai rhuk neh canu parhuk om dae a manuca rhoek tah camoe ping uh pawh. Te dongah amih koca boeih te Judah koca tluk la ping uh pawh.
28 Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,
Beersheba, Moladah, Hazarshual ah,
29 Bilha, Esemu, Toladi,
Bilhah ah, Ezem ah, Tolad ah,
30 Bethueli, Horma, Siklagi,
Bethuel ah, Hormah ah, Ziklag ah,
31 Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi.
Bethmarkaboth ah, Hazarsusim ah, Bethbiri ah, Shaaraim ah kho a sak uh. He rhoek he David a manghai hil amih kah khopuei la om.
32 Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:
Amih kah vangca la Etam, Ayin, Rimmon, Tokhen, Ashan neh kho nga lo.
33 pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.
Amih kah vangca boeih he tah khopuei taengvai ah Baal duela om. He tah amih kah tolrhum la om tih amih ham a khuui la om coeng.
34 Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,
Meshobab, Jamlekh neh Amaziah capa Joshah.
35 Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli.
Joel neh Asiel koca Seraiah kah a ca, Joshibiah capa Jehu.
36 Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya, Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya,
Elioenai, Jaakobah, Jeshohaiah, Asaiah, Adiel, Jesimiel neh Benaiah.
37 Ziza mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya, mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya.
Shiphi capa Ziza, Allon capa Shiphi, Jedaiah capa Allon, Shimri capa Jedaiah, Shemaiah capa Shimri.
38 Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,
He tlam ni amih koca kah khoboei rhoek ming neh ana tueng tih a napa imkhui khaw a yet la pungtai uh.
39 wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao.
Te dongah a boiva kah luemnah tlap ham te kolrhawk khocuk kah Gedor khuirhai duela cet uh.
40 Huko walipata malisho mengi mazuri, nayo nchi ilikuwa na nafasi kubwa, yenye amani na utulivu. Baadhi ya Wahamu waliishi huko zamani.
Te vaengah luemnah then pulpulh a hmuh uh tih khohmuen khaw khocaeh loh dangka. Tedae Ham lamloh lamhma la kho ana sak coeng dongah thayoeituipan neh mong mai.
41 Watu walioorodheshwa majina walikuja katika nchi hiyo wakati wa Hezekia mfalme wa Yuda. Akawashambulia Wahamu katika makao yao pamoja na Wameuni ambao walikuwako huko nao wakawaangamiza kabisa, kama ilivyo dhahiri hadi leo. Kisha wakafanya makazi yao huko kwa sababu kulikuwa na malisho mazuri kwa ajili ya mifugo yao.
He tah Judah manghai Hezekiah tue vaengah a ming neh a daek rhoek ni aka tueng. Te vaengah amih kah dap neh Mehunim te a ngawn uh. Tekah a hmuh Mehunim khaw a thup uh dongah tahae khohnin hil amih yueng la kho a sak uh tih a boiva ham luemnah la pahoi om.
42 Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri.
Amih lamkah khaw Simeon koca khui lamkah hlang ya nga tah Seir tlang la luei uh. Te vaengah Ishi ca rhoek Pelatiah, Neariah, Rephaiah neh Uzziel te a lu la omuh.
43 Wakawaua Waamaleki waliobaki, waliokuwa wamenusurika, nao wanaishi huko hadi leo.
Amalek kah rhalyong kah a meet te khaw a ngawn uh tih tahae khohnin hil pahoi kho a sak thiluh.

< 1 Nyakati 4 >