< 1 Nyakati 3 >

1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
Dessa voro de söner som föddes åt David i Hebron: Amnon, den förstfödde, av Ahinoam från Jisreel; Daniel, den andre, av Abigail från Karmel;
2 wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
Absalom, den tredje, son till Maaka, som var dotter till Talmai, konungen i Gesur; Adonia, den fjärde, Haggits son;
3 wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
Sefatja, den femte, av Abital; Jitream, den sjätte, av hans hustru Egla.
4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
Dessa sex föddes åt honom i Hebron, där han regerade i sju år och sex månader. I Jerusalem åter regerade han i trettiotre år.
5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
Och dessa söner föddes åt honom i Jerusalem: Simea, Sobab, Natan och Salomo, tillsammans fyra, av Bat-Sua, Ammiels dotter;
6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
vidare Jibhar, Elisama, Elifelet,
7 Noga, Nefegi, Yafia,
Noga, Nefeg, Jafia,
8 Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
Elisama, Eljada och Elifelet, tillsammans nio.
9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
Detta var alla Davids söner, förutom sönerna med bihustrurna; och Tamar var deras syster.
10 Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
Salomos son var Rehabeam. Hans son var Abia; hans son var Asa; hans son var Josafat.
11 mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
Hans son var Joram; hans son var Ahasja; hans son var Joas.
12 mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
Hans son var Amasja; hans son var Asarja; hans son var Jotam.
13 mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
Hans son var Ahas; hans son var Hiskia; hans son var Manasse.
14 mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
Hans son var Amon; hans son var Josia.
15 Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
Josias söner voro Johanan den förstfödde, Jojakim, den andre, Sidkia, den tredje, Sallum, den fjärde.
16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
Jojakims söner voro hans son Jekonja och dennes son Sidkia.
17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
Jekonjas söner voro Assir och dennes son Sealtiel,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
vidare Malkiram, Pedaja, Senassar, Jekamja, Hosama och Nedabja.
19 Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
Pedajas söner voro Serubbabel och Simei. Serubbabels söner voro Mesullam och Hananja, och deras syster var Selomit,
20 Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
vidare Hasuba, Ohel, Berekja, Hasadja och Jusab-Hesed, tillsammans fem.
21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
Hananjas söner voro Pelatja och Jesaja, vidare Refajas söner, Arnans söner, Obadjas söner och Sekanjas söner.
22 Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
Sekanjas söner voro Semaja, Semajas söner voro Hattus, Jigeal, Baria, Nearja och Safat, tillsammans sex.
23 Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
Nearjas söner voro Eljoenai, Hiskia och Asrikam, tillsammans tre.
24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.
Eljoenais söner voro Hodauja, Eljasib, Pelaja, Ackub, Johanan, Delaja och Anani, tillsammans sju.

< 1 Nyakati 3 >