< 1 Nyakati 3 >
1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
ESTOS son los hijos de David, que le nacieron en Hebrón: Amnón el primogénito, de Achînoam Jezreelita; el segundo, Daniel, de Abigail de Carmelo;
2 wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
El tercero, Absalom, hijo de Maachâ hija de Talmai rey de Gesur; el cuarto, Adonías hijo de Aggith;
3 wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
El quinto, Sephatías, de Abithal; el sexto, Itream, de Egla su mujer.
4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
Estos seis le nacieron en Hebrón, donde reinó siete años y seis meses: y en Jerusalem reinó treinta y tres años.
5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
Estos cuatro le nacieron en Jerusalem: Simma, Sobab, Nathán, y Salomón, de Beth-sua hija de Ammiel.
6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
Y [otros] nueve: Ibaar, Elisama, y Eliphelet,
8 Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
Elisama, Eliada, y Eliphelet.
9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
Todos estos fueron los hijos de David, sin los hijos de las concubinas. Y Thamar fué hermana de ellos.
10 Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
Hijo de Salomón fué Roboam, cuyo hijo [fué] Abía, del cual [fué] hijo Asa, cuyo hijo [fué] Josaphat;
11 mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
De quien [fué] hijo Joram, cuyo hijo [fué] Ochôzías, hijo del cual [fué] Joas;
12 mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
Del cual [fué] hijo Amasías, cuyo hijo [fué] Azarías, é hijo de éste Jotham;
13 mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
E hijo del cual [fué] Achâz, del que [fué] hijo Ezechîas, cuyo hijo [fué] Manasés;
14 mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
Del cual [fué] hijo Amón, cuyo hijo [fué] Josías.
15 Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
Y los hijos de Josías: Johanán su primogénito, el segundo Joacim, el tercero Sedecías, el cuarto Sallum.
16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
Los hijos de Joacim: Jechônías su hijo, hijo del cual [fué] Sedecías.
17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
Y los hijos de Jechônías: Asir, Salathiel,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
Mechiram, Pedaía, Seneaser, y Jecamía, Hosama, y Nedabía.
19 Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
Y los hijos de Pedaía: Zorobabel, y Simi. Y los hijos de Zorobabel: Mesullam, Hananías, y Selomith su hermana.
20 Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
Y [de Mesullam]: Hasuba, Ohel, y Berechîas, Hasadía, y Jusabhesed; cinco [en todos].
21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
Los hijos de Hananías: Pelatías, y Jesaías, hijo de Rephaías, hijo de Arnán, hijo de Obdías, hijo de Sechânías.
22 Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
Hijo de Sechânías [fué] Semaías; y los hijos de Semaías: Hattus, Igheal, Barias, Nearías, y Saphat; seis.
23 Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
Los hijos de Nearías [fueron] estos tres: Elioenai, Ezechîas, y Azricam.
24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.
Los hijos de Elioenai [fueron] estos siete: Odavias, Eliasib, Palaías, Accub, Johanán, Dalaías, y Anani.