< 1 Nyakati 3 >
1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
A ovo su sinovi Davidovi koji mu se rodiše u Hevronu: prvenac Amnon od Ahinoame Jezraeljanke, drugi Danilo od Avigeje Karmilke,
2 wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
Treæi Avesalom, sin Mahe kæeri Talmaja cara Gesurskoga, èetvrti Adonija, sin Agitin,
3 wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
Peti Sefatija od Avitale, šesti Itram od Egle žene njegove.
4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
Šest mu se rodi u Hevronu, gdje carova sedam godina i šest mjeseca, a trideset i tri carova u Jerusalimu.
5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
A ovi mu se rodiše u Jerusalimu: Samaja i Sovav i Natan i Solomun, èetiri, od Vitsaveje kæeri Amilove.
6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
I Jevar i Elisama i Elifalet,
8 Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
I Elisama i Elijada i Elifelet, devet,
9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
Sve sinovi Davidovi osim sinova inoèa njegovijeh i osim Tamare sestre njihove.
10 Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
A sin Solomunov bijaše Rovoam, a njegov sin Avija, a njegov sin Asa, a njegov sin Josafat,
11 mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
A njegov sin Joram, a njegov sin Ohozija, a njegov sin Joas,
12 mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
A njegov sin Amasija, a njegov sin Azarija, a njegov sin Jotam,
13 mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
A njegov sin Ahaz, a njegov sin Jezekija, a njegov sin Manasija,
14 mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
A njegov sin Amon, a njegov sin Josija.
15 Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
A sinovi Josijini: prvenac Joanan, drugi Joakim, treæi Sedekija, èetvrti Salum.
16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
A sinovi Joakimovi: Jehonija sin mu, i njegov sin Sedekija.
17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
A sinovi Jehonije sužnja: Salatilo sin mu.
18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
A njegovi sinovi Malhiram i Fedaja i Senasar, Jekamija, Osama i Nedavija.
19 Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
A sinovi Fedajini: Zorovavelj i Simej; a sinovi Zorovaveljevi: Mesulam i Ananija i sestra im Selometa.
20 Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
A sinovi Mesulamovi: Asuva i Oilo i Varahija i Asadija i Jusavesed, pet.
21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
A sinovi Ananijini: Felatija i Jesaja, sinovi Refajini, sinovi Arnanovi, sinovi Ovadijini, sinovi Sehanijini.
22 Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
A sinovi Sehanijini: Semaja, i sinovi Semajini: Hatus i Igeal i Varija i Nearija i Safat, šest.
23 Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
A sinovi Nearijini: Elioinaj i Jezekija i Azrikam, tri.
24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.
A sinovi Elioinajevi: Odaja i Eliasiv i Felaja i Akuv i Joanan i Dalaja i Anan, sedam.