< 1 Nyakati 3 >
1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
Pa inge wen natul David su isusla ke el muta in acn Hebron: Amnon, el pa matu ac nina kial pa Ahinoam, sie mutan Jezreel. Akluo pa Daniel, nina kial pa Abigail, sie mutan Carmel.
2 wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
Aktolu pa Absalom, nina kial pa Maacah, acn natul Tokosra Talmai mwet Geshur. Akakosr pa Adonijah, nina kial pa Haggith.
3 wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
Aklimekosr pa Shephatiah, nina kial pa Abital. Akonkosr pa Ithream, nina kial pa Eglah.
4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
Tulik onkosr inge kewa isusla in acn Hebron ke lusen yac itkosr tafu ma David el leum in acn we. David el tuh leum in acn Jerusalem ke lusen yac tolngoul tolu,
5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
ac pus pac wen isusla nu sel in acn we. Bathsheba, mutan kial David su ma natul Ammiel, el oswela wen akosr natul David: elos pa Shimea, Shobab, Nathan, ac Solomon.
6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
Oasr pac wen eu natul David: elos pa Ibhar, Elishua, Elpelet,
8 Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
Elishama, Eliada, ac Eliphelet.
9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
Sayen wen natul David inge, oasr pac wen natul sin mutan kulansap kial. Oasr pac sie acn natul David, el pa Tamar.
10 Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
Pa inge takin wen natul Tokosra Solomon, fwil nu ke fwil: Solomon, Rehoboam, Abijah, Asa, Jehoshaphat,
11 mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
Jehoram, Ahaziah, Joash,
12 mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
Amaziah, Uzziah, Jotham,
13 mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
Ahaz, Hezekiah, Manasseh,
14 mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
Amon, ac Josiah.
15 Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
Oasr wen akosr natul Josiah: elos pa Johanan, Jehoiakim, Zedekiah, ac Joahaz.
16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
Oasr wen luo natul Jehoiakim: elos pa Jehoiachin ac Zedekiah.
17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
Pa inge fwil natul Tokosra Jehoiachin, su tuh sruhu sin mwet Babylonia. Oasr wen itkosr natul Jehoiachin: elos pa Shealtiel,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
Malchiram, Pedaiah, Shenazzar, Jekamiah, Hoshama, ac Nedabiah.
19 Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
Oasr wen luo natul Pedaiah: elos pa Zerubbabel ac Shimei. Oasr pac wen luo natul Zerubbabel: elos pa Meshullam ac Hananiah, oayapa acn se, el pa Shelomith.
20 Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
Oasr pac wen limekosr natul Zerubbabel saya: elos pa Hashubah, Ohel, Berechiah, Hasadiah, ac Jushab Hesed.
21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
Oasr wen luo natul Hananiah: elos pa Pelatiah ac Jeshaiah. Jeshaiah pa papa tumal Rephaiah, su papa tumal Arnan, su papa tumal Obadiah, su papa tumal Shecaniah.
22 Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
Oasr wen se natul Shecaniah ac el pa Shemaiah, na oasr wen limekosr natul Shemaiah: elos pa Hattush, Igal, Bariah, Neariah, ac Shaphat.
23 Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
Oasr wen tolu natul Neariah: elos pa Elioenai, Hizkiah, ac Azrikam.
24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.
Oasr wen itkosr natul Elioenai: elos pa Hodaviah, Eliashib, Pelaiah, Akkub, Johanan, Delaiah, ac Anani.