< 1 Nyakati 3 >

1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
Voici les fils de David qui lui naquirent à Hébron: le premier-né fut Amnon, qu’il eut d’Ahinoam, de Jezréel, le deuxième Daniel, qu’il eut d’Abigaïl, de Carmel,
2 wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
le troisième Absalon, fils de Maakha, fille de Talmaï, roi de Ghechour; le quatrième Adonias, fils de Hagghit;
3 wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
le cinquième Chefatia, fils d’Abital; le sixième Yitream, qu’il eut d’Egla, sa femme.
4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
Six lui naquirent donc à Hébron; là, il régna sept ans et six mois, tandis qu’il régna trente-trois ans à Jérusalem.
5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
Voici ceux qui lui naquirent à Jérusalem: Chimea, Chobab, Nathan, Salomon, soit quatre, de Bath-Choua, fille d’Ammiël;
6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
Yibhar, Elichama, Elifélet;
7 Noga, Nefegi, Yafia,
Nogah, Néfeg, Yafia,
8 Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
Elichama, Elyada et Eliféleth, soit neuf.
9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
Tous ceux-là furent fils de David, sans compter les fils des concubines et Tamar leur sœur.
10 Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
Salomon eut pour fils Roboam, celui-ci Abiyya, celui-ci Asa, celui-ci Josaphat,
11 mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
celui-ci Joram, celui-ci Achazia, celui-ci Joas,
12 mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
celui-ci Amacia, celui-ci Azaria, celui-ci Jotham,
13 mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
celui-ci Achaz, celui-ci Ezéchias, celui-ci Manassé,
14 mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
celui-ci Amon, celui-ci Josias.
15 Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
Les fils de Josias furent: Johanan, l’aîné, Joïakim, le deuxième, Sédécias, le troisième, Challoum le quatrième.
16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
Les fils de Joïakim furent: Yekhonia et Sédécias;
17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
les fils de Yekhonia captif: Chealtiêl, son fils,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
Malkiram, Pedaïa, Chénaçar, Yekamia, Hochama et Nedabia.
19 Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
Les fils de Pedaïa: Zorobabel et Chimeï; le s fils de Zorobabel: Mechoullam, Hanania, Chelomit leur sœur,
20 Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
Hachouba, Ohél, Bérékhia, Hassadia, Youchab-Héséd, soit cinq.
21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
Le fils de Hanania fut Pelatia, celui-ci eut pour fils Isaïe; celui-ci Refaïa, celui-ci Arnân, celui-ci Obadia, celui-ci Chekhania,
22 Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
celui-ci Chemaïa. Les fils de Chemaïa furent: Hattouch, Yigal, Bariah, Nearia et Chafat, soit six.
23 Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
Progéniture de Nearia: Elyoènaï, Ezéchias et Azrikam, soit trois.
24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.
Fils de Elyoènaï: Hodaïahou, Elyachib, Pelaïa, Akkoub, Johanan, Delaïa et Anâni, en tout sept.

< 1 Nyakati 3 >