< 1 Nyakati 3 >

1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
Voici les fils de David qui lui naquirent à Hébron: le premier-né, Amnon, d'Achinoam de Jezraël; le second, Daniel, d'Abigaïl de Carmel;
2 wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
le troisième, Absalom, fils de Maacha, fille de Tholmaï, roi de Gessur; le quatrième, Adonias, fils de Haggith;
3 wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
le cinquième, Saphatias, d'Abital; le sixième, Jéthraham, d'Egla, sa femme.
4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
Ces six lui naquirent à Hébron, où il régna sept ans et six mois; puis il régna trente-trois ans à Jérusalem.
5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
Et ceux-ci lui naquirent à Jérusalem: Simmaa, Sobab, Nathan, Salomon, quatre, de Bethsué, fille d'Ammiel;
6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
Jébaar, Elisama, Eliphaleth,
7 Noga, Nefegi, Yafia,
Nogé, Népheg, Japhia,
8 Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
Elisama, Eliada, Eliphéleth, neuf.
9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
Ce sont là tous les fils de David, sans compter les fils des concubines. Thamar était leur sœur.
10 Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
Fils de Salomon: Roboam; Abias, son fils; Asa, son fils; Josaphat, son fils;
11 mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
Joram, son fils; Ochozias, son fils; Joas, son fils;
12 mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
Amazias, son fils; Azarias, son fils; Joatham, son fils;
13 mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
Achaz, son fils; Ezéchias, son fils; Manassé, son fils;
14 mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
Amon, son fils; Josias, son fils.
15 Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
Fils de Josias: le premier-né Johanan; le deuxième, Joakim; le troisième, Sédécias; le quatrième, Sellum. —
16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
Fils de Joakim: Jéchonias, son fils; Sédécias, son fils. —
17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
Fils de Jéchonias: Asir, Salathiel, son fils,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
Melchiram, Phadaïa, Sennéser, Jécémias, Sama et Nadabias. —
19 Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
Fils de Phadaïas: Zorobabel et Séméï. — Fils de Zorobabel: Mosollam, Hananias et Salomith, leur sœur;
20 Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
et Hasaban, Ohol, Barachias, Hasadias, Josabhésed, cinq. —
21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
Fils de Hananias: Phaltias et Jéséïas, les fils de Raphaïa, les fils d'Arnan, les fils d'Obdia, les fils de Séchénias. —
22 Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
Fils de Séchénias: Séméïa. — Fils de Séméïa: Hattus, Jégaal, Baria, Naaria, Saphat, six. —
23 Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
Fils de Naaria: Elioénaï, Ezéchias et Ezricam: trois. —
24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.
Fils d'Elioénaï: Oduïa, Eliasub, Phéléïa, Accub, Johanan, Dalaïa et Anani: sept.

< 1 Nyakati 3 >