< 1 Nyakati 3 >
1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
Now, these, were the sons of David, who were born to him in Hebron, —the firstborn, Amnon, by Ahinoam the Jezreelitess, the second, Daniel, by Abigail the Carmelitess;
2 wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
the third, Absalom, son of Maacah, daughter of Talmai, king of Geshur, —the fourth, Adonijah, son of Haggith;
3 wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
the fifth, Shephatiah, by Abital, —the sixth, Ithream, by Eglah his wife:
4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
six born to him in Hebron, and he reigned there, seven years and six months. And, thirty and three years, reigned he, in Jerusalem.
5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
And, these, were born to him in Jerusalem, Shimea, and Shobab, and Nathan, and Solomon—four, by Bathshua, daughter of Ammiel;
6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
and Ibhar, and Elishama, and Eliphelet,
and Nogah, and Nepheg, and Japhia,
8 Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
and Elishama, and Eliada, and Eliphelet—nine.
9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
All, sons of David, —besides sons of concubines, and, Tamar, their sister.
10 Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
And, the son of Solomon, was Rehoboam, —Abijah his son, Asa his son, Jehoshaphat his son;
11 mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
Joram his son, Ahaziah his son, Joash his son;
12 mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
Amaziah his son, Azariah his son, Jotham his son;
13 mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
Ahaz his son, Hezekiah his son, Manasseh his son;
14 mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
Amon his son, Josiah his son.
15 Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
And, the sons of Josiah, the firstborn, Johanan, the second, Jehoiakim, —the third, Zedekiah, the fourth, Shallum.
16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
And, the sons of Jehoiakim, —Jeconiah his son, Zedekiah his son.
17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
And, the sons of Jeconiah the captive, Shealtiel his son;
18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
and Malchiram, and Pedaiah, and Shenazzar, —Jekamiah, Hoshama, and Nedabiah.
19 Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
And, the sons of Pedaiah, Zerubbabel, and Shimei, —and, the sons of Zerubbabel, Meshullam, and Hananiah, and, Shelomith, was their sister;
20 Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
and Hashubah, and Ohel, and Berechiah, and Hasadiah, Jushab-hesed—five.
21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
And, the sons of Hananiah, Pelatiah, and Jeshaiah, —the sons of Rephaiah, the sons of Arnan, the sons of Obadiah, the sons of Shecaniah;
22 Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
and, the sons of Shecaniah, Shemaiah, —and, the sons of Shemaiah, Hattush, and Igal, and Bariah, and Neariah, and Shaphat—six;
23 Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
and, the son of Neariah, Elioenai, and Hizkiah, and Azrikam—three;
24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.
and, the sons of Elioenai, Hodaviah, and Eliashib, and Pelaiah, and Akkub, and Johanan, and Delaiah, and Anani—seven.