< 1 Nyakati 3 >
1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
Now these were the sons of David that were born to him in Chebron; the first-born Amnon, [born] of Achinaam the Jezraelitess; the second Damniel, of Abigaia the Carmelitess.
2 wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
The third, Abessalom, the son of Mocha the daughter of Tholmai king of Gedsur; the fourth, Adonia the son of Aggith.
3 wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
The fifth, Saphatia, [the son] of Abital; the sixth, Jethraam, [born] of Agla his wife.
4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
Six were born to him in Chebron; and he reigned there seven years and six months: and he reigned thirty-three years in Jerusalem.
5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
And these were born to him in Jerusalem; Samaa, Sobab, Nathan, and Solomon; four [of] Bersabee the daughter of Amiel:
6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
and Ebaar, and Elisa, and Eliphaleth,
and Nagai, and Naphec, and Japhie,
8 Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
and Helisama, and Eliada, and Eliphala, nine.
9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
All [these were] the sons of David, besides the sons of the concubines, and [there was also] Themar their sister.
10 Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
The sons of Solomon; Roboam, Abia his son, Asa his son, Josaphat his son,
11 mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
Joram his son, Ochozias his son, Joas his son,
12 mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
Amasias his son, Azarias his son, Joathan his son,
13 mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
Achaz his son, Ezekias his son, Manasses his son,
14 mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
Amon his son, Josia his son.
15 Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
And the sons of Josia; the first-born Joanan, the second Joakim, the third Sedekias, the fourth Salum.
16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
And the sons of Joakim; Jechonias his son, Sedekias his son.
17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
And the sons of Jechonias; Asir, Salathiel his son,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
Melchiram, and Phadaias, and Sanesar, and Jekimia, and Hosamath, and Nabadias.
19 Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
And the sons of Phadaias; Zorobabel, and Semei: and the sons of Zorobabel; Mosollam, and Anania, and Salomethi [was] their sister.
20 Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
And Asube, and Ool, and Barachia, and Asadia, and Asobed, five.
21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
And the sons of Anania, Phalettia, and Jesias his son, Raphal his son, Orna his son, Abdia his son, Sechenias his son.
22 Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
And the son of Sechenias; Samaia: and the sons of Samaia; Chattus, and Joel, and Berri and Noadia, and Saphath, six.
23 Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
And the sons of Noadia: Elithenan, and Ezekia, and Ezricam, three.
24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.
And the sons of Elithenan; Odolia, and Heliasebon, and Phadaia, and Akub, and Joanan, and Dalaaia, and Anan, seven.