< 1 Nyakati 3 >
1 Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli; wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;
Hetnaw heh Devit casaknaw lah ao awh. Ahni hanlah Hebron vah Jezreel Ahinoam ni a camin Amnon a sak pouh. Apâhni lah Karmel Abigail ni Daniel a sak pouh.
2 wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;
Apâthum nah siangpahrang Geshur Talmai canu Maakah capa Absalom, apali nah Haggith capa Adonijah.
3 wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali; wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.
Apanga nah Abital capa Shephatiah, ataruk nah a yu Eglah capa Ithream,
4 Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita. Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,
Hebron vah hete capa taruk touh heh a sak toe. Hawvah, kum sari touh hoi thapa yung taruk touh a uk teh, Jerusalem vah kum 33 touh a uk.
5 nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua, Shobabu, Nathani na Solomoni.
Jerusalem vah a sak e naw teh: Shimea, Shobab, Nathan, Solomon naw doeh. Ammiel canu Bathshua hoi pali touh a sak.
6 Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,
Hathnukkhu, Ibhar, Elishama hoi Eliphelet,
Nogah, Nepheg hoi Japhia.
8 Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.
Elishama, Eliada hoi Eliphelet, tako touh a pha awh.
9 Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.
Hetnaw pueng teh Devit casaknaw doeh, adonaw e casaknaw hai ao rah. Hahoi Tamar teh ahnimae tawncanu doeh.
10 Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu, mwanawe huyo alikuwa Abiya, mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati, mwanawe huyo alikuwa Asa,
Solomon casaknaw teh: Rehoboam, Rehoboam capa Abijah, Abijah capa Asa, Asa capa Jehoshaphat.
11 mwanawe huyo alikuwa Yehoramu, mwanawe huyo alikuwa Ahazia, mwanawe huyo alikuwa Yoashi,
Jehoshaphat capa Joram, Joram capa Ahaziah, Ahaziah capa Joash,
12 mwanawe huyo alikuwa Amazia, mwanawe huyo alikuwa Azaria, mwanawe huyo alikuwa Yothamu,
Ahaziah capa Amaziah, Amaziah capa Azariah, Azariah capa Jotham.
13 mwanawe huyo alikuwa Ahazi, mwanawe huyo alikuwa Hezekia, mwanawe huyo alikuwa Manase,
Jotham capa Ahaz, Ahaz capa Hezekiah, Hezekiah capa Manasseh.
14 mwanawe huyo alikuwa Amoni na mwanawe huyo alikuwa Yosia.
Manasseh capa Amon, Amon capa Josiah.
15 Wana wa Yosia walikuwa: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza, Yehoyakimu mwanawe wa pili, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
Josiah casak teh a camin he Johanan, apâhni lah Jehoiakim, apâthum lah Zedekiah, apali lah Shallum.
16 Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni: Yekonia mwanawe, na Sedekia.
Jehoiakim casaknaw dawk, Jehoiakim capa Jekoniah, Jekoniah capa Zedekiah.
17 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka: Shealtieli mwanawe,
San lah kaawm e Jekoniah casak dawk, Jekoniah capa Shealtiel.
18 Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.
Malkiram, Pedaiah, Shenazzar, Jekamiah, Hoshama hoi Nedabiah.
19 Wana wa Pedaya walikuwa: Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa: Meshulamu na Hanania. Shelomithi alikuwa dada yao.
Pedaiah casak teh Zerubbabel hoi Shimei, Zerubbabel casak teh Meshullam hoi Hananiah hoi a tawncanu Shelomith.
20 Pia walikuwepo wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.
Hashubah hoi Ohel, Berekhiah hoi Hasadiah, Jushabhesed hoi panga touh a pha awh.
21 Wazao wa Hanania walikuwa: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
Hananiah casak teh Pelatiah hoi Isaiah, Rephaiah casak, Arnon casak, Obadiah casak, Shekaniah casak.
22 Wazao wa Shekania: Shemaya na wanawe: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.
Shekaniah casak teh Shemaiah, Shemaiah casak teh Hattush, Igal, Bariah, Neariah, Shaphat hoi taruk touh a pha awh.
23 Wana wa Nearia walikuwa: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.
Neariah casak teh Elioenai, Hezekiah, Azrikam hoi kathum touh a pha awh.
24 Wana wa Elioenai walikuwa: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.
Apâthum e Elioenai casak koehoi Hodaviah, Eliashib, Pelaiah, Akkub, Johanan, Delaiah, Anani hoi sari touh a pha awh.