< 1 Nyakati 27 >

1 Hii ndiyo orodha ya Waisraeli: viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lolote lililohusu vikosi vya jeshi vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000.
Pa inge takin mwet Israel su mwet kol ke kais sie sou ac ota, wi mwet pwapa lalos su oru orekma in karingin tokosrai uh. Kitakatelik mwet kol inge nu ke u singoul luo, fal nu ke malem singoul luo in yac se. Pisen mwet ke kais sie u inge pa mwet longoul akosr tausin, na kais sie u ac muta ye koko lun kais sie captain lun un mwet mweun.
2 Msimamizi wa kikosi cha kwanza kwa mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Kulikuwa na watu 24,000 katika kikosi chake.
Jashobeam, wen natul Zabdiel, pa karingin u se ke malem se meet. Oasr mwet longoul akosr tausin in u sac.
3 Yeye alikuwa mzao wa Peresi, na mkuu wa maafisa wote wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
El ma ke fwil in tulik natul Perez, ac el pa sifen mwet kol lun mwet mweun nukewa nu ke malem se meet.
4 Msimamizi wa kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai Mwahohi. Miklothi ndiye alikuwa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
Dodai, sie mwet in fwil natul Ahohi, pa karingin u se ke malem akluo. Oasr pac mwet longoul akosr tausin in u sac. Mikloth pa akluo yal ke u se inge.
5 Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu 24,000.
Benaiah, wen natul Jehoiada mwet tol, pa karingin u se ke malem aktolu. Oasr mwet longoul akosr tausin in u sac.
6 Huyu ndiye yule Benaya aliyekuwa shujaa miongoni mwa wale Thelathini na ndiye alikuwa juu yao hao Thelathini. Mwanawe Amizabadi ndiye alikuwa mkuu katika kikosi chake.
Mwet se inge Benaiah pa tuh kol u se pangpang “Mwet Tolngoul.” Ammizabad wen natul, pa aolul in kol u se inge.
7 Jemadari wa nne kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia ndiye aliingia mahali pake kwenye uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
Asahel wial Joab pa karingin u se ke malem akakosr. Zebadiah, wen natul, pa kol tokol. Oasr mwet longoul akosr tausin in u sac.
8 Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
Shamhuth, sie mwet in fwil natul Izhar, pa karingin u se ke malem aklimekosr. Oasr mwet longoul akosr tausin in u sac.
9 Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
Ira, wen natul Ikkesh mwet Tekoa, pa karingin u se ke malem akonkosr. Oasr mwet longoul akosr tausin in u sac.
10 Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa saba alikuwa Helesi Mpeloni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
Helez, mwet Pelon ke sruf lal Ephraim, pa karingin u se ke malem akitkosr. Oasr mwet longoul akosr tausin in u sac.
11 Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, alikuwa Sibekai Mhushathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
Sibbecai, mwet Hushah, pa karingin u se ke malem akoalkosr. El sie mwet in sou lal Zerah ke sruf lal Judah. Oasr mwet longoul akosr tausin in u sac.
12 Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
Abiezer pa karingin u se ke malem akeu. El sie mwet Anathoth in acn lun sruf lal Benjamin. Oasr mwet longoul akosr tausin in u sac.
13 Jemadari wa kumi kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai Mnetofathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
Maharai, mwet Netophah, pa karingin u se ke malem aksingoul. El sie mwet in sou lal Zerah. Oasr mwet longoul akosr tausin in u sac.
14 Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
Benaiah pa karingin u se ke malem aksingoul sie. El mwet Pirathon in acn lun sruf lal Ephraim. Oasr mwet longoul akosr tausin in u sac.
15 Jemadari wa kumi na mbili kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Mnetofathi kutoka jamaa ya Othnieli. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
Heldai, mwet Netophath, pa karingin u se ke malem aksingoul luo. El pa sie mwet in fwil natul Othniel. Oasr mwet longoul akosr tausin in u sac.
16 Maafisa waliokuwa wanaoongoza makabila ya Israeli walikuwa: Kwa Wareubeni: Eliezeri mwana wa Zikri; kwa Wasimeoni: Shefatia mwana wa Maaka;
Pa inge mwet kol fin kais sie sruf lun Israel: Sruf Mwet Kol Reuben Eliezer wen natul Zichri Simeon Shephatiah wen natul Maacah
17 kwa Walawi: Hashabia mwana wa Kemueli; kwa Aroni: Sadoki;
Levi Hashabiah wen natul Kemuel Aaron Zadok
18 kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi; kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;
Judah Elihu, su sie sin tamulel lal David Issachar Omri wen natul Michael
19 kwa Wazabuloni: Ishmaya mwana wa Obadia; kwa Wanaftali: Yeremothi mwana wa Azrieli;
Zebulun Ishmaiah wen natul Obadiah Naphtali Jerimoth wen natul Azriel
20 kwa Waefraimu: Hoshea mwana wa Azazia; kwa nusu ya kabila la Manase: Yoeli mwana wa Pedaya;
Ephraim Hoshea wen natul Azaziah Tafun Manasseh Joel wen natul Roto Pedaiah
21 kwa nusu nyingine ya kabila la Manase huko Gileadi: Ido mwana wa Zekaria; kwa Wabenyamini: Yaasieli mwana wa Abneri;
Tafun Manasseh Iddo wen natul Kutulap Zechariah Benjamin Jaasiel wen natul Abner
22 kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio waliokuwa maafisa wa makabila ya Israeli.
Dan Azarel wen natul Jeroham Pa ingan mwet kol fin sruf lun Israel.
23 Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu Bwana alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani.
Tokosra David el tia oakla pisen mwet ma fusr liki yac longoul, mweyen LEUM GOD El tuh wulela mu El ac fah oru tuh mwet Israel in pus oana itu in kusrao.
24 Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli, nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.
Joab, su nina kial pa Zeruiah, el mutawauk in simis pisen mwet uh, tusruktu el tiana aksafyela. God El akkeokye mwet Israel ke sripen oaoa se inge. Ke ma inge, pisa lulap ke oaoa se inge tuh tiana simla ke book in sramsram lal Tokosra David.
25 Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme. Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.
Pa inge mwet kol su karingin ma nukewa lun tokosra: Iwen fil ma saok lun tokosra: Azmaveth wen natul Adiel Iwen fil ma nukewa saya ma oan in siti lulap ac siti srisrik ac tower: Jonathan wen natul Uzziah
26 Ezri mwana wa Kelubu alikuwa msimamizi wa wafanyakazi waliolima katika mashamba.
Mwet orekma ke imae: Ezri wen natul Chelub
27 Shimei Mramathi alikuwa msimamizi wa mashamba ya mizabibu. Zabdi Mshifmi alikuwa msimamizi wa zabibu, utengenezaji na uhifadhi wa divai katika mapipa makubwa.
Mwet orekma ke grape: Shimei, sie mwet Ramah Nien fil wain: Zabdi, mwet Shepham
28 Baal-Hanani Mgederi ndiye alikuwa mwangalizi wa mashamba ya mfalme ya mizeituni na mikuyu katika tambarare za vilima vya magharibi. Yoashi alikuwa msimamizi wa ghala za mafuta ya zeituni.
Sak olive ac sak sycamore pe eol Shephelah: Baal Hanan, mwet Geder Nien fil oil in olive: Joash
29 Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ngʼombe waliojilisha huko Sharoni. Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa yale makundi ya ngʼombe yaliyokuwa makondeni.
Cow ke acn tupasrpasr Sharon: Shitrai, mwet Sharon Cow ke infahlfal uh: Shaphat, wen natul Adlai
30 Obili Mwishmaeli alikuwa msimamizi wa ngamia. Yedeya Mmeronothi alikuwa msimamizi wa punda.
Un camel: Obil, mwet Ishmael Un donkey: Jehdeiah, mwet Meronoth Un sheep ac nani: Jaziz, mwet Hagar
31 Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi. Hawa wote ndio waliokuwa maafisa wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme Daudi.
Mwet inge nukewa elos mwet karingin ma nukewa lal Tokosra David.
32 Yonathani mjomba wa Daudi alikuwa mshauri, mtu mwenye ufahamu mkubwa na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakmoni alikuwa akiwahudumia wana wa mfalme.
Jonathan, tamulel lun papa tumal Tokosra David, el sie mwet yohk etu la ac pah in sang kas in kasru. El, ac Jehiel wen natul Hachmoni, pa luti wen natul tokosra.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme. Hushai Mwariki alikuwa rafiki wa mfalme.
Ahithophel el mwet pwapa lal tokosra, ac Hushai mwet Arch el kawuk se lal tokosra, ac el mwet pwapa se pac lal.
34 Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari. Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme.
Tukun Ahithophel el misa, na Abiathar ac Jehoiada wen natul Benaiah eltal aolulla in mwet pwapa fulat lun tokosra. Joab pa captain lun un mwet mweun lun tokosra.

< 1 Nyakati 27 >