< 1 Nyakati 27 >

1 Hii ndiyo orodha ya Waisraeli: viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lolote lililohusu vikosi vya jeshi vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000.
A O na mamo a Iseraela ma ko lakou heluia'na, o na makua 'lii, na lunatausani, na lunahaneri, a o ko lakou poe ilamuku i hookauwa na ke alii i kekahi mea o na papa, na poe i hele mai iloko a puka aku iwaho ma ka malama, i na malama a pau o ka makahiki; no kela papa keia papa a pau he iwakaluakumamaha tausani lakou.
2 Msimamizi wa kikosi cha kwanza kwa mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Kulikuwa na watu 24,000 katika kikosi chake.
Maluna o ka papa mua no ka malama mua, o Iasobeama ke keiki a Zabediela: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
3 Yeye alikuwa mzao wa Peresi, na mkuu wa maafisa wote wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
No na mamo a Pereza ka luna o na luna koa a pau o ko kaua, no ka malama mua.
4 Msimamizi wa kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai Mwahohi. Miklothi ndiye alikuwa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
Maluna o ka papa no ka lua o ka malama o Dodai ka Ahohi, a maluna hoi o kona papa o Mikelota kekahi luna: a ma kona papa hoi he iwakaluakumamaha tausani.
5 Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu 24,000.
O ke kolu o ka lunakaua no ke kolu o ka malama o Benaia ke keiki a Iehoida, he kahuna nui; a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
6 Huyu ndiye yule Benaya aliyekuwa shujaa miongoni mwa wale Thelathini na ndiye alikuwa juu yao hao Thelathini. Mwanawe Amizabadi ndiye alikuwa mkuu katika kikosi chake.
O ua Benaia la ka mea ikaika iwaena o ka poe kanakolu, a ua oi maluna o ke kanakolu: a ma kona papa o Amizabada kana keiki.
7 Jemadari wa nne kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia ndiye aliingia mahali pake kwenye uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
O ka ha, no ka ha o ka malama, oia o Asahela ko kaikaina o Ioaba, a o Zebadia kana keiki mahope ona: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
8 Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
O ka luna alima no ka lima o ka malama, oia o Samuta ka Izera: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
9 Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
O ke ono, no ke ono o ka malama, oia o Ira ke keiki a Ikesa no Tekoa: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
10 Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa saba alikuwa Helesi Mpeloni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
O ka hiku. no ka hiku o ka malama, oia o Heleza ka Pelo, no na mamo a Eperaima; a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
11 Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, alikuwa Sibekai Mhushathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
O ka walu, no ka walu o ka malama, oia o Sibekai ka Husata, no ka Zara: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
12 Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
O ka iwa, no ka iwa o ka malama, oia o Abiezera no Anetota o ka Beniamina: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
13 Jemadari wa kumi kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai Mnetofathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
O ka umi, no ka umi o ka malama, oia o Maharai no Netopata, no ka Zara: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
14 Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
O ka umikumamakahi, no ka umikumamakahi o ka malama, oia o Benaia no Piratona, no na mamo a Eperaima: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
15 Jemadari wa kumi na mbili kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Mnetofathi kutoka jamaa ya Othnieli. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
O ka umikumamalua, no ka umikumamalua o ka malama, oia o Heledai no Netopata, na Oteniela: a ma kona papa he iwakaluakumamaha tausani.
16 Maafisa waliokuwa wanaoongoza makabila ya Israeli walikuwa: Kwa Wareubeni: Eliezeri mwana wa Zikri; kwa Wasimeoni: Shefatia mwana wa Maaka;
Eia hoi kekahi, no na luna o na ohana a Iseraela: o ka luna o ka Reubena, oia o Eliezera ke keiki a Zikeri: o ka Simeona, o Sepatia ke keiki a Maaka.
17 kwa Walawi: Hashabia mwana wa Kemueli; kwa Aroni: Sadoki;
O ka Levi, o Hasabia ke keiki a Kemuela: o ka Aarona, o Zadoka:
18 kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi; kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;
O ka Iuda, o Elihu no na kaikuaana o Davida: o ka Isakara, o Omeri ke keiki a Mikaela:
19 kwa Wazabuloni: Ishmaya mwana wa Obadia; kwa Wanaftali: Yeremothi mwana wa Azrieli;
O ka Zebuluna, o Isemaia ke keiki a Obadia: o ka Napetali, o Ierimota ke keiki a Azeriela:
20 kwa Waefraimu: Hoshea mwana wa Azazia; kwa nusu ya kabila la Manase: Yoeli mwana wa Pedaya;
O na mamo a Eperaima, o Hosea ke keiki a Azazia: o ka ohana hapa a Manase, o Ioela ke keiki a Pedaia:
21 kwa nusu nyingine ya kabila la Manase huko Gileadi: Ido mwana wa Zekaria; kwa Wabenyamini: Yaasieli mwana wa Abneri;
O ka ohana hapa a Manase i Gileada, o Ido ke keiki a Zekaria: o ka Beniamina, o Iasiela ke koiki a Abenera:
22 kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio waliokuwa maafisa wa makabila ya Israeli.
O ka Dana, o Azareela ke keiki a Ierohama. O lakou no na luna ohana o ka Iseraela.
23 Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu Bwana alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani.
Aole no i helu o Davida ia lakou i ka poe o ka makahiki iwakalua a malalo iho: no ka mea, ua olelo mai o Iehova, e hoonui ana oia i ka Iseraela e like me na hoku o ka lani.
24 Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli, nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.
Hoomaka iho la o Ioaba ke keiki a Zeruia e helu, aka, aole ia i hoopau, no ka mea, nolaila i haule mai ai ka inaina i ka Iseraela: aole hoi i kakauia ka huina ma ka buke o ka mooolelo no Davida ke alii
25 Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme. Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.
A maluna o ke ahuwaiwai o ke alii, o Azemaveta ke keiki a Adiela: a maluna o na halepapaa ma na mahinaai, ma na kulanakauhale, a ma na kauhale, a ma na pakaua, o Iehonatana ke keiki a Uzia.
26 Ezri mwana wa Kelubu alikuwa msimamizi wa wafanyakazi waliolima katika mashamba.
A maluna o ka poe i hana i ka hana ma ka mahinaai, e mahiai i ka aina, o Ezeri ke keiki a Keluba.
27 Shimei Mramathi alikuwa msimamizi wa mashamba ya mizabibu. Zabdi Mshifmi alikuwa msimamizi wa zabibu, utengenezaji na uhifadhi wa divai katika mapipa makubwa.
A maluna o na pawaina o Simei no Ramata: maluna o ka hua o na pawaina no na haleahuwaina o Zabedi no Sipa.
28 Baal-Hanani Mgederi ndiye alikuwa mwangalizi wa mashamba ya mfalme ya mizeituni na mikuyu katika tambarare za vilima vya magharibi. Yoashi alikuwa msimamizi wa ghala za mafuta ya zeituni.
Maluna noi o na laau oliva, a o na laau sukamora ma na awawa papu, o Baalahana no Gedera: a o Ioasa maluna o na haleahuaila.
29 Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ngʼombe waliojilisha huko Sharoni. Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa yale makundi ya ngʼombe yaliyokuwa makondeni.
A maluna o na pua bipi i hanaiia ma Sarona, o Siterai no Sarona: a maluna o na pua bipi ma na awawa, o Sapata ke keiki a Adelai:
30 Obili Mwishmaeli alikuwa msimamizi wa ngamia. Yedeya Mmeronothi alikuwa msimamizi wa punda.
Maluna hoi o na kamelo, o Obila ka Isemaela: a maluna o na hoki o Iedeia no Meronota:
31 Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi. Hawa wote ndio waliokuwa maafisa wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme Daudi.
Maluna hoi o na ohana hipa, o Iaziza ka Hagara. O lakou a pau na luna o ka waiwai o Davida ke alii.
32 Yonathani mjomba wa Daudi alikuwa mshauri, mtu mwenye ufahamu mkubwa na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakmoni alikuwa akiwahudumia wana wa mfalme.
A o Ionatana hoi kekahi makuakane o Davida, he kuhina oia, he kanaka naauao, a he kakaaolelo: a o Iehiela ke keiki a Hakemoni, aia no ia me na keikikane a ke alii.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme. Hushai Mwariki alikuwa rafiki wa mfalme.
A o Ahitopela ke kakaolelo o ke alii: a o Husai no Areka ka hoapili o ke alii.
34 Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari. Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme.
A mahope o Ahitopela o Iehoiada ke keiki a Benaia, a me Abiatara: a o Ioaba ka lunakoa o ko ke alii poe kaua.

< 1 Nyakati 27 >