< 1 Nyakati 27 >
1 Hii ndiyo orodha ya Waisraeli: viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lolote lililohusu vikosi vya jeshi vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000.
Isala: ili fi ilia fifi asi bisilua dunu, amola ilia eagene ouligisu dunu amo da Isala: ili soge ouligisu, ilia dio da hagudu dedei. Ode huluane, oubi afae afae amoga, gilisisu afae afae da Isala: ili soge ouligisu. Gilisisu afae afae amo ganodini, dunu 24,000 agoane ba: i. Amola gilisisu afae afae ouligisu, ilia da oubi afae afaega ouligisu dunu ilegei. Ilia da dadi gagui wa: i hou huluane ouligisu.
2 Msimamizi wa kikosi cha kwanza kwa mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Kulikuwa na watu 24,000 katika kikosi chake.
Oubiga gilisisu ouligisu dunu ilia dio da: - Oubi Age - Yasioubia: me. E da Sa: badiele egefe amola Bilese sosogo fi dunu. Bilese sosogo fi da Yuda fi ganodini galu. Oubi Ageyadu - Doudai. E da Ahouhaide egaga fi dunu. Ea bisibagia dunu da Migilode. Oubi Osoda - Bina: ia (gobele salasu dunu Yihoiada egefe) E da gilisisu “Gasa Bagade Dunu 30” amoga bisilua galu. E bagia, egefe Amisaba: de da gilisisu “Gasa Bagade Dunu 30” bisilua hamoi. Oubi Biyadu - A: sahele (Youa: be ea eya). Egefe Sebadaia da e bagia ea gilisisu ouligi. Oubi Bi - Sia: mahade (Isala egaga fi dunu). Oubi Gafe - A: ila (Igesie egefe. E da Degoa moilaiga misi.) Oubi Fesu - Hilese (e da Ifala: ime fi dunu. E da Belounaide dunu.) Oubi Godo - Sibigai (e da Sela sosogo fi dunu. Sela sosogo da Yuda fi amo ganodini galu. Oubi Sesege - A: ibisa (e da A: nadode moilaiga misi. A: nadode da Bediamini fi ilia soge ganodini dialu.) Oubi Nabu - Mahala: iai (e da Nidoufa moilaiga misi. E da Sela sosogo fi dunu.) Oubi Gida - Bina: ia (e da Biladone moilaiga misi. Biladone da Ifala: ime f ilia ganodini dialu Oubi Fago - Heledai (e da Nidoufa moilaiga misi. E da Odeniele egaga fi dunu.) Isala: ili Fi Dunu Ilia Gamane Ouligisu Hou
3 Yeye alikuwa mzao wa Peresi, na mkuu wa maafisa wote wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
4 Msimamizi wa kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai Mwahohi. Miklothi ndiye alikuwa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
5 Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu 24,000.
6 Huyu ndiye yule Benaya aliyekuwa shujaa miongoni mwa wale Thelathini na ndiye alikuwa juu yao hao Thelathini. Mwanawe Amizabadi ndiye alikuwa mkuu katika kikosi chake.
7 Jemadari wa nne kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia ndiye aliingia mahali pake kwenye uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
8 Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
9 Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
10 Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa saba alikuwa Helesi Mpeloni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
11 Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, alikuwa Sibekai Mhushathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
12 Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
13 Jemadari wa kumi kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai Mnetofathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
14 Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
15 Jemadari wa kumi na mbili kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Mnetofathi kutoka jamaa ya Othnieli. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.
16 Maafisa waliokuwa wanaoongoza makabila ya Israeli walikuwa: Kwa Wareubeni: Eliezeri mwana wa Zikri; kwa Wasimeoni: Shefatia mwana wa Maaka;
Gamane eagene dunu amo da Isala: ili fi ouligisu, ilia dio da hagudu dedei. FiEagene Ouligisu Dunu Liubene Elia: isa (Sigalai egefe) Simione Siefada: ia (Ma: iaga egefe) Lifai Ha: siabaia (Gemiuele egefe) Elane Sa: idoge Yuda Ilaihiu (hina bagade Da: ibidi eaola afae) Isaga Omeli (Maigele egefe) Sebiulane Isiama: ia (Oubadaia egefe) Na: fadalai Yelimode (A: saliele egefe) Ifala: ime Housia (A: isasaia egefe) Guma: dini Ma: na: se Youele (Bida: iya egefe) Gusudili Ma: na: se Idou (Segalaia egefe) Bediamini Ya: isiele (A: bena egefe) Da: ne Asa: iliele (Yilouha: me egefe)
17 kwa Walawi: Hashabia mwana wa Kemueli; kwa Aroni: Sadoki;
18 kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi; kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;
19 kwa Wazabuloni: Ishmaya mwana wa Obadia; kwa Wanaftali: Yeremothi mwana wa Azrieli;
20 kwa Waefraimu: Hoshea mwana wa Azazia; kwa nusu ya kabila la Manase: Yoeli mwana wa Pedaya;
21 kwa nusu nyingine ya kabila la Manase huko Gileadi: Ido mwana wa Zekaria; kwa Wabenyamini: Yaasieli mwana wa Abneri;
22 kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio waliokuwa maafisa wa makabila ya Israeli.
23 Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu Bwana alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani.
Hina bagade Da: ibidi da dunu amo lalelegele ode 20 amoga hame doaga: i, ilia dio idimusa: hame dedei. Bai Hina Gode da Isala: ili fi dunu ilia idi da gasumuni muagado lesula ili defele hamoma: ne ilegele sia: i dagoi.
24 Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli, nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.
Youa: be (ea eme da Seluaia) e da Isala: ili fi ilia dio dedemusa: mui, be hame dedene dagoi. Amo dio dedesu hou hamobeba: le, Gode da Isala: ili fi ilima se iasu i. Amaiba: le, amo dio bisili idi da hina bagade Da: ibidi ea dedesu buga amo ganodini hame dedene legei ba: i.
25 Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme. Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.
Dunu amo da hina bagade ea liligi ouligi, ilia dio da hagudu dedei. Hina bagade ea LiligiOuligisu Dunu Hina bagade ea liligi legesu sesei...A: sama: ifede (A: idele egefe) Dunudafa ilia liligi legesu sesei...Yihonada: ne (Asaia egefe) Ifabi hawa: hamosu dunu...Eselai (Gilabe egefe) Waini efe sagai...Simiai (e da La: ima moilaiga misi) Waini hano legesu sesei...Sa: badai (e da Sifa: me moilaiga misi) Olife amola ‘sigamo’ ifa (guma: dini agolo sogega dialu) ...Ba: ile Ha: ina: ne (e da Gida moilaiga misi) Olife susuligi legesu diasu...Youa: sie Bulamagau Fofoi amo da Sia: lane umiga lesulu...Sidili (e da Sia: lane moilaiga misi) Bulamagau Fofoi amo da fagoga lesulu...Sia: fa: de (A: dala: iai egefe) Ga: mele...Oubili (Isama: ielaide dunu) Dougi...Yediya (Milonodaide dunu) Sibi amola Goudi...Ya: isisi (Ha: gelaide dunu)
26 Ezri mwana wa Kelubu alikuwa msimamizi wa wafanyakazi waliolima katika mashamba.
27 Shimei Mramathi alikuwa msimamizi wa mashamba ya mizabibu. Zabdi Mshifmi alikuwa msimamizi wa zabibu, utengenezaji na uhifadhi wa divai katika mapipa makubwa.
28 Baal-Hanani Mgederi ndiye alikuwa mwangalizi wa mashamba ya mfalme ya mizeituni na mikuyu katika tambarare za vilima vya magharibi. Yoashi alikuwa msimamizi wa ghala za mafuta ya zeituni.
29 Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ngʼombe waliojilisha huko Sharoni. Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa yale makundi ya ngʼombe yaliyokuwa makondeni.
30 Obili Mwishmaeli alikuwa msimamizi wa ngamia. Yedeya Mmeronothi alikuwa msimamizi wa punda.
31 Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi. Hawa wote ndio waliokuwa maafisa wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme Daudi.
32 Yonathani mjomba wa Daudi alikuwa mshauri, mtu mwenye ufahamu mkubwa na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakmoni alikuwa akiwahudumia wana wa mfalme.
Da: ibidi aeyama Yonada: ne da medenegi fada: i sia: ne iasu dunu esalu. E amola Yihaiele (Ha: gamounai egefe) da hina bagade egefelali ilia adoba: su hou ouligisu.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme. Hushai Mwariki alikuwa rafiki wa mfalme.
Ahidoubele da Da: ibidima fada: i sia: ne iasu dunu esalu. Amola Hiusiai (Agaide dunu) da Da: ibidi ea na: iyado dunu amola ema fada: i sia: ne iasu dunu.
34 Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari. Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme.
Ahidoubele da bogoloba, amogalu Abaia: da amola Yihoiada (Bina: ia egefe) da Da: ibidima fada: i sia: ne iasu dunu hamoi. Youa: be da hina bagade ea dadi gagui wa: i ouligisu dunu esalu.