< 1 Nyakati 26 >

1 Hii ndiyo migawanyo ya mabawabu: Kutoka kwa wana wa Kora alikuwa: Meshelemia mwana wa Kore, mmoja wa wana wa Asafu.
Kastoy ti pannakabingay dagiti agbanbantay kadagiti ruangan: Manipud kadagiti puli ni Kora, ni Meselemias a putot a lalaki ni Kore, a kaputotan ni Asaf.
2 Meshelemia alikuwa na wana wafuatao: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,
Addaan ni Meselumias iti pito a putot a lallaki: Ni Zacarias ti inauna, ni Jadiael ti maikadua, ni Zebadias ti maikatlo, ni Jatniel ti maikapat,
3 Elamu wa tano Yehohanani wa sita na Eliehoenai wa saba.
ni Elam ti maikalima, ni Jehohanan ti maika-innem, ni Eliehoenai ti maikapito.
4 Obed-Edomu naye alikuwa na wana wafuatao: Shemaya mzaliwa wa kwanza, Yehozabadi wa pili, Yoa wa tatu, Sakari wa nne, Nethaneli wa tano,
Addaan iti walo a putot a lallaki ni Obed Edom: ni Semaias ti inauna, ni Jehozabad ti maikadua, ni Joa ti maikatlo, ken ni Sacar ti maikapat, ni Netanel ti maikalima,
5 Amieli wa sita, Isakari wa saba, na Peulethai wa nane. (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)
ni Ammiel ti maikainnem, ni Issacar ti maikapito, ken ni Peulletia ti maikawalo, ta binendisionan ti Dios ni Obed Edom.
6 Shemaya mwanawe pia alikuwa na wana, waliokuwa viongozi katika jamaa ya baba yao kwa sababu walikuwa watu wenye uwezo mkubwa.
Ti putot a lalaki ni Semaias ket naaddaan kadagiti putot a lallaki a nangidaulo kadagiti pamiliada: isuda dagiti lallaki nga addaan kadagiti adu a kabaelan.
7 Wana wa Shemaya ni: Othni, Refaeli, Obedi na Elizabadi; jamaa zake Elihu na Semakia walikuwa pia watu wenye uwezo.
Dagiti putot a lallaki ni Semaias ket da Otni, Refael, Obed, ken Elzabad. Dagiti kabagianna a da Eliu ken Semakias ket dagiti met lallaki nga addaan kadagiti adu a kabaelan.
8 Hawa wote walikuwa wazao wa Obed-Edomu; wao na wana wao na jamaa zao walikuwa watu wenye uwezo pamoja na nguvu za kufanya kazi. Wazao wa Obed-Edomu jumla yao walikuwa sitini na wawili.
Kaputotan amin dagitoy ni Obed Edom. Isuda ken dagiti putotda a lallaki ken dagiti kabagianda ket tattao nga addaan iti kabaelan a mangaramid kadagiti pagrebbenganda nga agserbi iti tabernakulo. Adda iti innem a pulo ket dua kadakuada a kabagian ni Obed Edom.
9 Meshelemia alikuwa na wana na jamaa zake, waliokuwa watu wenye uwezo: jumla yao watu kumi na wanane.
Addaan ni Meselemias kadagiti putot a lallaki ken kabagian, nga addaan iti kabaelan, sangapulo ket waloda amin.
10 Hosa, Mmerari, alikuwa na wana wafuatao: Shimri alikuwa mkuu wao (baba yake alikuwa amemweka yeye kuwa mkuu ijapokuwa hakuwa mzaliwa wa kwanza),
Addaan ni Hoza a kaputotan ni Merari kadagiti putot a lallaki: ni Simri ti pangulo (uray no saan nga isuna ti inauna, pinagbalin isuna a pangulo ti amana),
11 Hilkia wa pili, Tabalia wa tatu na Zekaria wa nne. Wana na jamaa za Hosa jumla yao walikuwa watu kumi na watatu.
ni Hilkias ti maikaddua, ni Tebalias ti maikatlo, ni Zecarias ti maikapat. Sangapulo ket tallo amin ti bilang dagiti putot a lallaki ken kabagian ni Hosa.
12 Hii migawanyo ya mabawabu, kupitia wakuu wao, walikuwa na zamu za kuhudumu hekaluni mwa Bwana kama jamaa zao walivyokuwa nazo.
Kastoy ti pannakabingay dagiti agbanbantay iti ruangan, a maitutop kadagiti panguloda, kas kadagiti kabagianda nga agserbi iti balay ni Yahweh.
13 Kura zilipigwa kwa kila lango, kufuatana na jamaa zao, wakubwa kwa wadogo.
Nagbibinnunotda para iti tunggal ruangan, agtutubo man ken nataengan, a maitutop kadagiti pamiliada.
14 Kura ya Lango la Mashariki ilimwangukia Shelemia. Kisha wakapiga kura kwa Zekaria mwanawe, aliyekuwa mshauri mwenye hekima, nayo kura ya Lango la Kaskazini ikamwangukia.
Idi nagbunotda para iti akin-daya a ruangan, ni Selemias ti nabunot. Kalpasanna, nagbunotda para kenni Zecarias a putotna, a nalaing a mammagbaga, ket ti akin-amianan a ruangan ti nabunot a para kenkuana.
15 Kura ya Lango la Kusini ikamwangukia Obed-Edomu, nayo kura ya maghala ikawaangukia wanawe.
Ni Obed Edom ti nadutokan para iti akin-abagatan a ruangan, ken nadutokan dagiti putotna a lallaki para kadagiti pangiduldulinan.
16 Kura za Lango la Magharibi na Lango la Shalekethi kwenye barabara ya juu zikawaangukia Shupimu na Hosa. Zamu za walinzi ziligawanywa kwa usawa:
Naidutok kada Suppim ken Hosa iti akin-laud a ruangan agraman ti ruangan ti Salleket, iti akin-ngato a dalan. Naiyurnos no siasino dagiti agbantay iti tunggal pamilia.
17 Kulikuwa na Walawi sita kila siku upande wa mashariki, wanne upande wa kaskazini, wanne upande wa kusini, na wawili wawili kwa mara moja kwenye ghala.
Adda innem a Levita nga agbanbantay iti akin-daya, iti akin-amianan, uppat ti agbanbantay iti maysa nga aldaw, iti akin-abagatan, uppat ti agbanbantay iti maysa nga aldaw, ken sagdudua a pares kadagiti pangiduldulinan.
18 Kuhusu ukumbi kuelekea magharibi, kulikuwa na wanne barabarani na wawili kwenye ukumbi wenyewe.
Iti pangukoman iti laud ket adda uppat nga agbanbantay, uppat iti dalan, ken dua iti pagukoman.
19 Hii ndiyo iliyokuwa migawanyo ya mabawabu waliokuwa wazao wa Kora na wa Merari.
Dagitoy ti batang dagiti agbanbantay kadagiti ruangan. Adu kadakuada iti kaputotan da Kora ken Merari.
20 Katika Walawi, Ahiya alikuwa mwangalizi wa hazina za nyumba ya Mungu na mwangalizi wa hazina za vitu vilivyowekwa wakfu.
Kadagiti Levita, ni Ahija ti mangaywan kadagiti gameng iti balay ti Dios, ken kadagiti gameng a kukua ni Yahweh.
21 Wazao wa Ladani, waliokuwa Wagershoni kupitia Ladani na waliokuwa viongozi wa jamaa za Ladani Mgershoni, walikuwa Yehieli,
Manipud kadagiti kaputotan ni Ladan, a nagtaud kenni Gerson ken dagiti nangidadaulo kadagiti pamilia ni Ladan a Gersonita, ket ni Jehieli ken dagiti putotna,
22 wana wa Yehieli, wana wa Zethamu na wa nduguye Yoeli. Wao walikuwa waangalizi wa hazina za Hekalu la Bwana.
a da Zetam, ken Joel a kabsatna a lalaki, a mangay-aywan kadagiti pangiduldulinan iti balay ni Yahweh.
23 Kutoka kwa wana wa Amramu, wana wa Ishari, wana wa Hebroni na wana wa Uzieli:
Adda met dagiti guardia a nagtaud kadagiti puli da Amram, Izar, Hebron, ken Uzziel.
24 Shebueli, mzao wa Gershomu mwana wa Mose, alikuwa afisa mwangalizi wa hazina.
Ni Sebuel a putot a lalaki ni Gerson a putot ni Moises, ti nangaywan kadagiti pagiduldulinan.
25 Jamaa zake kutoka kwa Eliezeri, wanawe walikuwa: Rehabia, Yeshaya, Yoramu, Zikri na Shelomithi.
Dagiti kabagianna a nagtaud iti puli ni Eliezer ket ni Rehabias a putotna, ti putot ni Rehabias a ni Jesaias, ti putot ni Jesaias a ni Joram, ti putot ni Joram a ni Zicri, ken ti putot ni Zicri a ni Selomot.
26 Shelomithi na jamaa zake walikuwa waangalizi wa hazina zote za vitu vile vilivyowekwa wakfu na Mfalme Daudi, kwa viongozi wa jamaa waliokuwa majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, na kwa maafisa wengine wa jeshi.
Ni Selomot ken dagiti kabagianna ti nangaywan kadagiti amin a pangiduldulinan kadagiti banbanag a kukua ni Yahweh, nga insagut ni ari David, dagiti mangidadaulo ti pamilia, dagiti mangidadaulo kadagiti rinibribu ken ginasgasut, ken dagiti mangidadaulo iti armada ket naidaton kenni Yahweh.
27 Baadhi ya nyara zilizotekwa vitani waliziweka wakfu kwa ajili ya ukarabati wa Hekalu la Bwana.
Indatonda dagiti dadduma a nasamsamda kadagiti gubat para iti pannakatarimaan iti balay ni Yahweh.
28 Kila kitu kilichokuwa kimewekwa wakfu na Samweli mwonaji, na Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Seruya, pamoja na vitu vingine vyote vilivyokuwa vimewekwa wakfu, vyote vilikuwa chini ya uangalizi wa Shelomithi na jamaa zake.
Isuda pay ti nadutokan a mangaywan kadagiti amin a banag a naisagut kenni Yahweh babaen kenni Samuel a profeta, ni Saul a putot a lalaki ni Kis, ni Abner a putot a lalaki ni Ner, ken ni Joab a putot a lalaki ni Zeruias. Ni Selomot ken dagiti kabagianna ti nagbantay kadagiti amin a naidaton kenni Yahweh.
29 Kutoka kwa wana wa Ishari: Kenania na wanawe walipewa kazi nje ya Hekalu kama maafisa na waamuzi juu ya Israeli.
Kadagiti kaputotan ni Izar, ni Kenanias ken dagiti lallaki a putotna ti nangaramid kadagiti trabaho iti Israel. Opisial ken ukom dagitoy.
30 Kutoka kwa wana wa Hebroni: Hashabia na jamaa zake, watu 1,700 wenye uwezo, waliwajibika katika Israeli magharibi ya Yordani kwa ajili ya kazi zote za Bwana na utumishi wa mfalme.
Manipud iti kaputotan ni Hebron, ni Hasabias ken dagiti kakabsatna, dagiti 1, 700 a nalalaing a lallaki, ti mangimaton iti trabaho ni Yahweh ken ti trabaho ti ari. Addada iti laud ti karayan Jordan.
31 Kuhusu wana wa Hebroni, Yeria alikuwa mkuu wao kufuatana na orodha ya jamaa yao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi uchunguzi ulifanyika katika kumbukumbu, nao watu wenye uwezo miongoni mwa wana wa Hebroni wakapatikana huko Yazeri katika Gileadi.
Manipud kadagiti kaputotan ni Hebron, ni Jerias ti mangidadaulo kadagiti kaputotanna, nabilang manipud iti listaan dagiti pamiliada. Iti maikauppat a pulo a tawen a panagturay ni David, sinukimatda dagiti listaan ket nakitada ti nagan dagiti lallaki nga addaan abilidad iti Jazer ti Galaad.
32 Yeria alikuwa na jamaa ya watu 2,700 waliokuwa watu wenye uwezo na viongozi wa jamaa, naye Mfalme Daudi akawaweka kuangalia Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila Manase kuhusu kila jambo lililomhusu Mungu na shughuli za mfalme.
Ni Jerias ket addaan 2, 700 a kabagian, a makabael mangidaulo iti pamilia. Dinutokan ida ni David a mangaywan kadagiti tribu ti Ruben ken Gad, ken ti kaguddua a tribu ni Manases, kadagiti amin a banag a maipapan iti Dios ken kadagiti maipanggep iti ari.

< 1 Nyakati 26 >