< 1 Nyakati 25 >
1 Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
फिर दाऊद और लश्कर के सरदारों ने आसफ़ और हैमान और यदूतून के बेटों में से कुछ को ख़िदमत के लिए अलग किया, ताकि वह बरबत और सितार और झाँझ से नबुव्वत करें; और जो उस काम को करते थे उनका शुमार उनकी ख़िदमत के मुताबिक़ यह था:
2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
आसफ़ के बेटों में से ज़क्कूर, यूसुफ़, नतनियाह और असरीलाह; आसफ़ के यह बेटे आसफ़ के मातहत थे, जो बादशाह के हुक्म के मुताबिक़ नबुव्वत करता था।
3 Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
यदूतून से बनी यदूतून, सो जिदलियाह, ज़री और यसा'याह, हसबियाह और मतितियाह, यह छ: अपने बाप यदूतून के मातहत थे जो बरबत लिए रहता और ख़ुदावन्द की शुक्रगुज़ारी और हम्द करता हुआ नबुव्वत करता था।
4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
रहा हैमान, वह हैमान के बेटे: बुक़्क़याह, मत्तनियाह, 'उज़्ज़ीएल, सबूएल यरीमोत, हनानियाह, हनानी, इलियाता, जिद्दाल्ती, रूमम्ती'अज़र, यसबिक़ाशा, मल्लूती, हौतीर, और महाज़ियोत;
5 Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
यह सब हैमान के बेटे थे, जो ख़ुदा की बातों में सींग बुलन्द करने के लिए बादशाह का गै़बबीन था; और ख़ुदा ने हैमान को चौदह बेटे और तीन बेटियाँ दी थीं।
6 Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
यह सब ख़ुदावन्द के घर में हम्द करने के लिए अपने बाप के मातहत थे, और झाँझ और सितार और बरबत से ख़ुदा के घर की ख़िदमत करते थे। आसफ़ और यदूतून और हैमान बादशाह के हुक्म के ताबे' थे
7 Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
उनके भाइयों समेत जो ख़ुदावन्द की ता'रीफ़ और बड़ाई की ता'लीम पा चुके थे, या'नी वह सब जो माहिर थे, उनका शुमार दो सौ अठासी था।
8 Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
और उन्होंने क्या छोटे क्या बड़े क्या उस्ताद क्या शागिर्द, एक ही तरीक़े से अपनी अपनी ख़िदमत के लिए पर्ची डाला।
9 Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
पहली चिट्ठी आसफ़ की यूसुफ़ को मिली, दूसरी जिदलियाह को, और उसके भाई और बेटे उस समेत बारह थे।
10 Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
तीसरी ज़क्कूर को, और उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
11 ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
चौथी यिज़री को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
12 ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
पाँचवीं नतनियाह को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
13 ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
छटी बुक्कयाह को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
14 ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
सातवीं यसरीलाह को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
15 ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
आठवीं यसा'याह को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
16 ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
नवीं मत्तनियाह को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
17 ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
दसवीं सिमई को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
18 ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
ग्यारहवीं 'अज़रएल को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
19 ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
बारहवीं हसबियाह को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
20 ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
तेरहवीं सबूएल को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
21 ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
चौदहवीं मतितियाह को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
22 ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
पंद्रहवीं यरीमोत को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
23 Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
सोलहवीं हनानियाह को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
24 ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
सत्रहवीं यसबिक़ाशा को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
25 ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
अठारहवीं हनानी को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
26 ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
उन्नीसवीं मल्लूती को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
27 ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
बीसवीं इलियाता को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
28 ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
इक्कीसवीं हौतीर को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
29 ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
बाइसवीं जिद्दाल्ती को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
30 ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
तेइसवीं महाज़ियोत को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।
31 ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.
चौबीसवीं रूमम्ती 'एलियाज़र को, उसके बेटे और भाई उस समेत बारह थे।