< 1 Nyakati 25 >

1 Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
ASIMISMO David y los príncipes del ejército apartaron para el ministerio á los hijos de Asaph, y de Hemán, y de Jeduthún, los cuales profetizasen con arpas, salterios, y címbalos: y el número de ellos fué, de hombres [idóneos] para la obra de su ministerio respectivo:
2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
De los hijos de Asaph: Zachûr, José, Methanías, y Asareela, hijos de Asaph, bajo la dirección de Asaph, el cual profetizaba á la orden del rey.
3 Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
De Jeduthún: los hijos de Jeduthún, Gedalías, Sesi, Jesaías, Hasabías, y Mathithías, [y Simi]: seis, bajo la mano de su padre Jeduthún, el cual profetizaba con arpa, para celebrar y alabar á Jehová.
4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
De Hemán: los hijos de Hemán, Buccia, Mathanía, Uzziel, Sebuel, Jerimoth, Hananías, Hanani, Eliatha, Gidalthi, Romamti-ezer, Josbecasa, Mallothi, Othir, y Mahazioth.
5 Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
Todos estos fueron hijos de Hemán, vidente del rey en palabras de Dios, para ensalzar el poder [suyo]: y dió Dios á Hemán catorce hijos y tres hijas.
6 Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
Y todos estos estaban bajo la dirección de su padre en la música, en la casa de Jehová, con címbalos, salterios y arpas, para el ministerio del templo de Dios, por disposición del rey [acerca] de Asaph, de Jeduthún, y de Hemán.
7 Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
Y el número de ellos con sus hermanos instruídos en música de Jehová, todos los aptos, fué doscientos ochenta y ocho.
8 Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
Y echaron suertes para los turnos [del servicio], [entrando] el pequeño con el grande, lo mismo el maestro que el discípulo.
9 Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
Y la primera suerte salió por Asaph, á José: la segunda á Gedalías, quien con sus hermanos é hijos fueron doce;
10 Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
La tercera á Zachûr, con sus hijos y sus hermanos, doce;
11 ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
La cuarta á Isri, con sus hijos y sus hermanos, doce;
12 ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
La quinta á Nethanías, con sus hijos y sus hermanos, doce;
13 ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
La sexta á Buccia, con sus hijos y sus hermanos, doce;
14 ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
La séptima á Jesarela, con sus hijos y sus hermanos, doce;
15 ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
La octava á Jesahías, con sus hijos y sus hermanos, doce;
16 ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
La nona á Mathanías, con sus hijos y sus hermanos, doce;
17 ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
La décima á Simi, con sus hijos y sus hermanos, doce;
18 ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
La undécima á Azareel, con sus hijos y sus hermanos, doce;
19 ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
La duodécima á Hasabías, con sus hijos y sus hermanos, doce;
20 ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
La décimatercia á Subael, con sus hijos y sus hermanos, doce;
21 ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
La décimacuarta á Mathithías, con sus hijos y sus hermanos, doce;
22 ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
La décimaquinta á Jerimoth, con sus hijos y sus hermanos, doce;
23 Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
La décimasexta á Hananías, con sus hijos y sus hermanos, doce;
24 ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
La décimaséptima á Josbecasa, con sus hijos y sus hermanos, doce;
25 ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
La décimaoctava á Hanani, con sus hijos y sus hermanos, doce;
26 ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
La décimanona á Mallothi, con sus hijos y sus hermanos, doce;
27 ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
La vigésima á Eliatha, con sus hijos y sus hermanos, doce;
28 ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
La vigésimaprima á Othir, con sus hijos y sus hermanos, doce;
29 ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
La vigésimasegunda á Giddalthi, con sus hijos y sus hermanos, doce;
30 ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
La vigésimatercia á Mahazioth, con sus hijos y sus hermanos, doce;
31 ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.
La vigésimacuarta á Romamti-ezer, con sus hijos y sus hermanos, doce.

< 1 Nyakati 25 >