< 1 Nyakati 25 >
1 Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
I odvoji David s vojvodama za službu sinove Asafove i Emanove i Jedutunove, koji æe prorokovati uz gusle i psaltire i kimvale; i biše izmeðu njih izbrojeni ljudi za posao u svojoj službi:
2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
Od sinova Asafovijeh: Zahur i Josif i Netanija i Asarila, sinovi Asafovi, pod rukom Asafa, koji prorokovaše po naredbi carevoj;
3 Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
Od Jedutuna: šest sinova Jedutunovijeh: Gedalija i Sorije i Jesaija, Asavija i Matatija i Simej pod rukom oca svojega Jedutuna, koji prorokovaše uz gusle hvaleæi i slaveæi Gospoda;
4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
Od Emana: sinovi Emanovi: Vukija, Matanija, Ozilo, Sevuilo i Jerimot, Ananija i Ananije, Elijata, Gidaltija i Romamti-Ezer, Josvekasa, Malotije, Otir i Maziot.
5 Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
Ti svi bijahu sinovi Emana vidioca careva u rijeèima Božijim da se uzvišuje rog; jer Bog dade Emanu èetrnaest sinova i tri kæeri.
6 Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
Svi oni bijahu pod rukom oca svojega pjevajuæi u domu Gospodnjem uz kimvale i psaltire i gusle za službu u domu Božijem, kako car nareðivaše Asafu i Jedutunu i Emanu.
7 Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
I bješe ih na broj s braæom njihovom obuèenom pjesmama Gospodnjim, dvjesta i osamdeset i osam, samijeh vještaka.
8 Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
I baciše ždrijeb za službu svoju, mali kao veliki, uèitelj kao uèenik;
9 Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
I pade prvi ždrijeb za Asafa na Josifa, drugi na Gedaliju s braæom i sinovima njegovijem, njih dvanaest;
10 Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
Treæi na Zahura, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
11 ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
Èetvrti na Iserija, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
12 ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
Peti na Netaniju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
13 ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
Šesti na Vukiju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
14 ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
Sedmi na Jesarilu, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
15 ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
Osmi na Jesaiju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
16 ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
Deveti na Mataniju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
17 ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
Deseti na Simeja, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
18 ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
Jedanaesti na Azareila, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
19 ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
Dvanaesti na Asaviju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
20 ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
Trinaesti na Savuila, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
21 ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
Èetrnaesti na Matatiju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
22 ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
Petnaesti na Jeremota, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
23 Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
Šesnaesti na Ananiju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
24 ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
Sedamnaesti na Josvekasu, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
25 ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
Osamnaesti na Ananija, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
26 ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
Devetnaesti na Malotija, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
27 ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
Dvadeseti na Elijatu, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
28 ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
Dvadeset prvi na Otira, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
29 ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
Dvadeset drugi na Gidaltiju, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
30 ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
Dvadeset treæi na Maziota, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest;
31 ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.
Dvadeset èetvrti na Romamti-Ezera, sinove njegove i braæu njegovu, njih dvanaest.