< 1 Nyakati 25 >
1 Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
E David, juntamente com os capitães do exército, separou para o ministério os filhos de Asaph, e de Heman, e de Jeduthun, para profetizarem com harpas, com alaúdes, e com saltérios: e este foi o número dos homens aptos para a obra do seu ministério.
2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
Dos filhos de Asaph foram Zaccur, e José, e Nethanias, e Asarela, filhos de Asaph: a cargo de Asaph, que profetizava debaixo da direção do rei David.
3 Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
Quanto a Jeduthun, foram os filhos de Jeduthun: Gedalias, e Zeri, e Jesaias, e Hasabias, e Mattithias, seis, a cargo de seu pai Jeduthun, para tanger harpas, o qual profetizava, louvando e dando graças ao Senhor.
4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
Quanto a Heman: os filhos de Heman: Bukkias, Matthanias, Uziel, Sebuel, e Jerimoth, Hananias, Hanani, Eliatha, Giddalti, e Romamthi-ezer, Josbekasa, Mallothi, Hothir, e Mahazioth.
5 Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
Todos estes foram filhos de Heman, o vidente do rei nas palavras de Deus, para exaltar a corneta: porque Deus dera a Heman quatorze filhos e três filhas.
6 Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
Todos estes estavam ao lado de seu pai para o canto da casa do Senhor, com saltérios, alaúdes e harpas, para o ministério da casa de Deus; e, ao lado do rei, Asaph, Jeduthun, e Heman.
7 Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
E era o número deles, juntamente com seus irmãos instruídos no canto do Senhor, todos os mestres, duzentos e oitenta e oito.
8 Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
E deitaram as sortes acerca da guarda igualmente, assim o pequeno como o grande, o mestre juntamente com o discípulo.
9 Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
Saiu pois a primeira sorte a Asaph, a saber: a José; a segunda a Gedalias; e eram ele, e seus irmãos, e seus filhos, ao todo, doze.
10 Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
A terceira a Zaccur, seus filhos e seus irmãos; doze.
11 ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
A quarta a Isri, seus filhos, e seus irmãos; doze.
12 ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
A quinta a Nethanias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
13 ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
A sexta a Bukkias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
14 ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
A sétima a Jesarela, seus filhos, e seus irmãos; doze.
15 ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
A oitava a Jesaias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
16 ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
A nona a Matthanias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
17 ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
A décima a Simei, seus filhos, e seus irmãos; doze.
18 ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
A undécima a Azareel, seus filhos, e seus irmãos; doze.
19 ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
A duodécima a Hasabias, seus filhos e seus irmãos; doze.
20 ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
A décima terceira a Subael, seus filhos, e seus irmãos; doze.
21 ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
A décima quarta a Mattithias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
22 ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
A décima quinta a Jeremoth, seus filhos, e seus irmãos; doze.
23 Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
A décima sexta a Hananias, seus filhos, e seus irmãos; doze.
24 ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
A décima sétima a Josbekasa, seus filhos, e seus irmãos; doze.
25 ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
A décima oitava a Hanani, seus filhos, e seus irmãos; doze.
26 ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
A décima nona a Mallothi, seus filhos, e seus irmãos; doze.
27 ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
A vigésima a Eliatha, seus filhos, e seus irmãos; doze.
28 ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
A vigésima primeira a Hothir, seus filhos, e seus irmãos; doze.
29 ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
A vigésima segunda a Giddalthi, seus filhos, e seus irmãos; doze.
30 ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
A vigésima terceira a Mahazioth, seus filhos, e seus irmãos; doze.
31 ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.
A vigésima quarta a Romamthi-ezer, seus filhos, e seus irmãos; doze.