< 1 Nyakati 25 >

1 Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
Dawid wraz z dowódcami wojska przydzielił do służby synów Asafa, Hemana i Jedutuna, którzy mieli prorokować przy harfach, cytrach i cymbałach. A oto liczba pełniących tę służbę:
2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
Z synów Asafa – Zakkur, Józef, Netaniasz i Asarela. Synowie Asafa zależni od Asafa, który prorokował pod kierownictwem króla.
3 Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
Z Jedutuna – synowie Jedutuna: Gedaliasz, Seri, Jeszajasz, Chaszabiasz, Mattitiasz [i Szimei], sześciu, pod kierunkiem ich ojca Jedutuna, który prorokował przy harfie, dziękując PANU i wychwalając go.
4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
Z Hemana – synowie Hemana: Bukkiasz, Mattaniasz, Uzziel, Szebuel, Jerimot, Chananiasz, Chanani, Eliata, Giddalti, Romamtiezer, Joszbekasza, Malloti, Hotir i Machaziot.
5 Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
Ci wszyscy [byli] synami Hemana, widzącego królewskiego w słowach Bożych, dla podnoszenia rogu. I Bóg dał Hemanowi czternastu synów i trzy córki.
6 Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
Ci wszyscy [byli] pod kierownictwem swego ojca, [przeznaczeni] do śpiewu w domu PANA przy cymbałach, cytrach i harfach, do służby w domu Bożym, tak jak król rozkazał Asafowi, Jedutunowi i Hemanowi.
7 Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
A liczba ich wraz z ich braćmi wyćwiczonymi w pieśniach PANA, wszystkich uzdolnionych, wynosiła dwieście osiemdziesiąt osiem.
8 Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
I rzucali losy co do swej służby, tak mały, jak i wielki, tak mistrz, jak i uczeń.
9 Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
Pierwszy los padł na Asafa i na Józefa, drugi – na Gedaliasza wraz z jego braćmi i synami, razem [było ich] dwunastu.
10 Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
Trzeci – na Zakkura, na jego synów i braci, razem dwunastu.
11 ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
Czwarty – na Jisriego, na jego synów i braci, razem dwunastu.
12 ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
Piąty – na Netaniasza, na jego synów i braci, razem dwunastu.
13 ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
Szósty – na Bukkiasza, na jego synów i braci, razem dwunastu.
14 ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
Siódmy – na Jesarela, na jego synów i braci, razem dwunastu.
15 ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
Ósmy – na Jeszajasza, na jego synów i braci, razem dwunastu.
16 ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
Dziewiąty – na Mattaniasza, na jego synów i braci, razem dwunastu.
17 ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
Dziesiąty – na Szimejego, na jego synów i braci, razem dwunastu.
18 ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
Jedenasty – na Azarela, na jego synów i braci, razem dwunastu.
19 ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
Dwunasty – na Chaszabiasza, na jego synów i braci, razem dwunastu.
20 ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
Trzynasty – na Szubaela, na jego synów i braci, razem dwunastu.
21 ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
Czternasty – na Mattitiasza, na jego synów i braci, razem dwunastu.
22 ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
Piętnasty – na Jeremota, na jego synów i braci, razem dwunastu.
23 Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
Szesnasty – na Chananiasza, na jego synów i braci, razem dwunastu.
24 ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
Siedemnasty – na Joszbekasza, na jego synów i braci, razem dwunastu.
25 ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
Osiemnasty – na Chananiego, na jego synów i braci, razem dwunastu.
26 ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
Dziewiętnasty – na Mallotiego, na jego synów i braci, razem dwunastu.
27 ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
Dwudziesty – na Eliatę, na jego synów i braci, razem dwunastu.
28 ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
Dwudziesty pierwszy – na Hotira, na jego synów i braci, razem dwunastu.
29 ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
Dwudziesty drugi – na Giddaltiego, na jego synów i braci, razem dwunastu.
30 ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
Dwudziesty trzeci – na Machaziota, na jego synów i braci, razem dwunastu.
31 ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.
Dwudziesty czwarty – na Romamtiezera, na jego synów i braci, razem dwunastu.

< 1 Nyakati 25 >