< 1 Nyakati 25 >
1 Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
Igitur David, et magistratus exercitus segregaverunt in ministerium filios Asaph, et Heman, et Idithun: qui prophetarent in citharis, et psalteriis, et cymbalis secundum numerum suum dedicato sibi officio servientes.
2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
De filiis Asaph: Zachur, et Ioseph, et Nathania, et Asarela, filii Asaph: sub manu Asaph prophetantis iuxta regem.
3 Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
Porro Idithun, filii Idithun: Godolias, Sori, Ieseias, et Hasabias, et Mathathias, sex, sub manu patris sui Idithun, qui in cithara prophetabat super confitentes et laudantes Dominum.
4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
Heman quoque, filii Heman: Bocciau, Mathaniau, Oziel, Subuel, et Ierimoth, Hananias, Hanani, Eliatha, Geddelthi, et Romemthiezer, et Iesbacassa, Mellothi, Othir, Mahazioth:
5 Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
Omnes isti filii Heman Videntis regis in sermonibus Dei, ut exaltaret cornu: deditque Deus Heman filios quattuordecim, et filias tres.
6 Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
Universi sub manu patris sui ad cantandum in templo Domini distributi erant, in cymbalis, et psalteriis, et citharis, in ministeria domus Domini iuxta regem: Asaph videlicet, et Idithun, et Heman.
7 Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
Fuit autem numerus eorum cum fratribus suis, qui erudiebant canticum Domini, cuncti doctores, ducenti octogintaocto.
8 Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
Miseruntque sortes per vices suas, ex æquo tam maior quam minor, doctus pariter et indoctus.
9 Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
Egressaque est sors prima Ioseph, qui erat de Asaph. Secunda Godoliæ, ipsi et filiis eius, et fratribus eius duodecim.
10 Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
Tertia Zachur, filiis et fratribus eius duodecim.
11 ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
Quarta Isari, filiis et fratribus eius duodecim.
12 ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
Quinta Nathaniæ, filiis et fratribus eius duodecim.
13 ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
Sexta Bocciau, filiis et fratribus eius duodecim.
14 ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
Septima Isreela, filiis et fratribus eius duodecim.
15 ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
Octava Iesaiæ, filiis et fratribus eius duodecim.
16 ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
Nona Mathaniæ, filiis et fratribus eius duodecim.
17 ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
Decima Semeiæ, filiis et fratribus eius duodecim.
18 ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
Undecima Azareel, filiis et fratribus eius duodecim.
19 ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
Duodecima Hasabiæ, filiis et fratribus eius duodecim.
20 ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
Tertiadecima Subael, filiis et fratribus eius duodecim.
21 ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
Quartadecima Mathathiæ, filiis et fratribus eius duodecim.
22 ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
Quintadecima Ierimoth, filiis et fratribus eius duodecim.
23 Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
Sextadecima Hananiæ, filiis et fratribus eius duodecim.
24 ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
Septimadecima Iesbacassæ, filiis et fratribus eius duodecim.
25 ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
Octavadecima Hanani, filiis et fratribus eius duodecim.
26 ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
Nonadecima Mellothi, filiis et fratribus eius duodecim.
27 ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
Vigesima Eliatha, filiis et fratribus eius duodecim.
28 ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
Vigesima prima Othir, filiis et fratribus eius duodecim.
29 ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
Vigesima secunda Geddelthi, filiis et fratribus eius duodecim.
30 ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
Vigesima tertia Mahazioth, filiis et fratribus eius duodecim.
31 ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.
Vigesima quarta Romemthiezer, filiis et fratribus eius duodecim.