< 1 Nyakati 25 >

1 Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
Und David samt den Feldhauptleuten sonderten ab zu Ämtern die Kinder Asaphs, Hemans und Jedithuns, die Propheten mit Harfen, Psaltern und Zimbeln; und sie wurden gezählt zum Werk nach ihrem Amt.
2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
Unter den Kindern Asaphs waren: Sakkur, Joseph, Nethanja, Asarela, Kinder Asaph, unter Asaph der da weissagte bei dem König.
3 Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
Von Jedithun: die Kinder Jedithuns waren: Gedalja, Sori, Jesaja, Hasabja, Matthithja, Simei, die sechs, unter ihrem Vater Jedithun, mit Harfen, der da weissagte, zu danken und zu loben den HERRN.
4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
Von Heman: die Kinder Hemans waren: Bukkia, Matthanja, Usiel, Sebuel, Jerimoth, Hananja, Hanani, Eliatha, Giddalthi, Romamthi-Eser, Josbekasa, Mallothi, Hothir und Mahesioth.
5 Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
Diese waren alle Kinder Hemans, des Sehers des Königs in den Worten Gottes, das Horn zu erheben; denn Gott hatte Heman vierzehn Söhne und drei Töchter gegeben.
6 Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
Diese waren alle unter ihren Vätern Asaph, Jedithun und Heman, zu singen im Hause des HERRN mit Zimbeln, Psaltern und Harfen, nach dem Amt im Hause Gottes bei dem König.
7 Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
Und es war ihre Zahl samt ihren Brüdern, die im Gesang des HERRN gelehrt waren, allesamt Meister, zweihundertachtundachtzig.
8 Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
Und sie warfen das Los über ihre Ämter zugleich, dem Jüngeren wie dem Älteren, dem Lehrer wie dem Schüler.
9 Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
Und das erste Los fiel unter Asaph auf Joseph. Das zweite auf Gedalja samt seinen Brüdern und Söhnen; derer waren zwölf.
10 Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
Das dritte auf Sakkur samt seine Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
11 ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
Das vierte auf Jizri samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
12 ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
Das fünfte auf Nethanja samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
13 ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
Das sechste auf Bukkia samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
14 ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
Das siebente auf Jesarela samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
15 ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
Das achte auf Jesaja samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
16 ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
Das neunte auf Matthanja samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
17 ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
Das zehnte auf Simei samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
18 ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
Das elfte auf Asareel samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
19 ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
Das zwölfte auf Hasabja samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
20 ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
Das dreizehnte auf Subael samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
21 ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
Das vierzehnte auf Matthithja samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
22 ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
Das fünfzehnte auf Jeremoth samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
23 Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
Das sechzehnte auf Hanaja samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
24 ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
Das siebzehnte auf Josbekasa samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
25 ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
Das achtzehnte auf Hanani samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
26 ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
Das neunzehnte auf Mallothi samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
27 ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
Das zwanzigste auf Eliatha samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
28 ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
Das einundzwanzigste auf Hothir samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
29 ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
Das zweiundzwanzigste auf Giddalthi samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
30 ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
Das dreiundzwanzigste auf Mahesioth samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.
31 ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.
Das vierundzwanzigste auf Romamthi-Eser samt seinen Söhnen und Brüdern; derer waren zwölf.

< 1 Nyakati 25 >