< 1 Nyakati 25 >

1 Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
Ainsi David et les chefs de l’armée séparèrent pour le ministère les fils d’Asaph, d’Héman et d’Idithun, afin qu’ils chantassent des prophéties sur des harpes, des psaltérions et des cymbales, s’acquittant, selon leur nombre, de l’emploi à eux assigné.
2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
D’entre les fils d’Asaph, Zachur, Joseph, Nathania et Asaréla, fils d’Asaph, étaient sous la main d’Asaph, qui chantait des prophéties à côté du roi.
3 Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
Pour Idithun, les fils d’Idithun étaient Godolias, Sori, Jéséias, Hasabias, Mathathias, six sous la main de leur père, Idithun, qui chantait des prophéties sur la harpe à la tête de ceux qui glorifiaient et louaient le Seigneur.
4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
Quant à Héman, les fils d’Héman étaient Bocciaü, Mathaniaü, Oziel, Subuel, Jérimoth, Hananias, Hanani, Eliatha, Geddelthi, Romemthiézer, Jesbacassa, Mellothi, Othir, Mahazioth.
5 Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
Tous ceux-là étaient fils d’Héman, le Voyant du roi dans les paroles de Dieu, pour exalter sa puissance: et Dieu donna à Héman quatorze fils et trois filles.
6 Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
Tous avaient été distribués sous la main de leur père, c’est-à-dire d’Asaph, d’Idithun et d’Héman, pour chanter dans le temple du Seigneur, sur des cymbales, des psaltérions et des harpes, et pour remplir les ministères de la maison du Seigneur, à côté du roi.
7 Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
Or le nombre de ceux-ci, avec leurs frères, qui, tous habiles, enseignaient les cantiques du Seigneur, était de deux cent quatre-vingt-huit.
8 Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
Et ils jetèrent les sorts pour leurs classes sans distinction, tant le grand que le petit, le savant de même que celui qui manquait de savoir.
9 Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
Le premier sort donc sortit pour Joseph, issu d’Asaph; le second, pour Godolias, tant pour lui que pour ses fils et ses frères, au nombre de douze;
10 Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
Le troisième, pour Zachur, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
11 ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
Le quatrième, pour Isari, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
12 ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
Le cinquième, pour Nathanias, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
13 ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
Le sixième, pour Bocciaü, ses fils et ses frères, au nombre de douze:
14 ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
Le septième, pour Isrééla, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
15 ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
Le huitième, pour Jésaïa, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
16 ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
Le neuvième, pour Mathanias, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
17 ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
Le dixième, pour Séméias, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
18 ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
Le onzième, pour Azaréel, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
19 ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
Le douzième, pour Hasabias, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
20 ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
Le treizième, pour Subaël, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
21 ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
Le quatorzième, pour Mathathias, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
22 ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
Le quinzième, pour Jérimoth, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
23 Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
Le seizième, pour Hananias, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
24 ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
Le dix-septième, pour Jesbacassa, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
25 ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
Le dix-huitième, pour Hanani, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
26 ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
Le dix-neuvième, pour Mellothi, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
27 ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
Le vingtième, pour Eliatha, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
28 ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
Le vingt et unième, pour Othir, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
29 ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
Le vingt-deuxième, pour Geddelthi, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
30 ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
Le vingt-troisième, pour Mahazioth, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
31 ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.
Le vingt-quatrième, pour Romemthiézer, ses fils et ses frères, au nombre de douze.

< 1 Nyakati 25 >