< 1 Nyakati 25 >
1 Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:
Davide ndi atsogoleri a asilikali anapatula ena mwa ana a Asafu, Hemani ndi Yedutuni ku utumiki wa uneneri pogwiritsa ntchito apangwe, azeze ndi ziwaya zamalipenga. Tsopano nawu mndandanda wa anthu amene ankagwira ntchito imeneyi:
2 Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.
Kuchokera kwa ana a Asafu: Zakuri, Yosefe, Netaniya ndi Asareli. Ana a Asafu amalamulidwa ndi Asafu ndipo amanenera moyangʼaniridwa ndi mfumu.
3 Wana wa Yeduthuni walikuwa sita: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza Bwana.
Kwa Yedutuni, kuchokera kwa ana ake: Gedaliya, Zeri, Yesaya, Simei, Hasabiya ndi Matitiya. Onse analipo 9 ndipo amayangʼaniridwa ndi Yedutuni abambo awo, amene amanenera pogwiritsa ntchito apangwe poyamika ndi kutamanda Yehova.
4 Wana wa Hemani walikuwa: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.
Kwa Hemani, kuchokera kwa ana ake: Bukiya, Mataniya, Uzieli, Subaeli ndi Yerimoti; Hananiya, Hanani, Eliata, Gidaliti ndi Romamiti-Ezeri; Yosibakasa, Maloti, Hotiri ndi Mahazioti.
5 Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.
Onsewa anali ana a Hemani mlosi wa mfumu. Iye anapatsidwa anawa potsata mawu a Mulungu akuti adzamukweza. Mulungu anapatsa Hemani ana aamuna 14 ndi ana aakazi atatu.
6 Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la Bwana wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.
Anthu onsewa ankayangʼaniridwa ndi makolo awo pa mayimbidwe a mʼNyumba ya Yehova. Iwowatu ankayimba ndi ziwaya zamalipenga, azeze ndi apangwe potumikira mʼNyumba ya Mulungu. Koma Asafu, Yedutuni ndi Hemani amayangʼaniridwa ndi mfumu.
7 Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa Bwana. Idadi yao walikuwa 288.
Iwo pamodzi ndi abale awo onse ophunzitsidwa ndi aluso loyimbira Yehova chiwerengero chawo chinali 288.
8 Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.
Angʼonoangʼono ndi akulu omwe, mphunzitsi ndi wophunzira yemwe anachita maere pa ntchito zawo.
9 Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, wanawe na jamaa zake, 12 Ya pili ikamwangukia Gedalia, yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, 12
Maere woyamba amene anali a Asafu, anagwera Yosefe, ana ndi abale ake. 12 Maere achiwiri anagwera Gedaliya, ndi abale ake ndi ana ake. 12
10 Ya tatu ikamwangukia Zakuri, wanawe na jamaa zake, 12
Maere achitatu anagwera Zakuri, ana ake ndi abale ake. 12
11 ya nne ikamwangukia Isri, // wanawe na jamaa zake, 12
Maere achinayi anagwera Iziri, ana ake ndi abale ake. 12
12 ya tano ikamwangukia Nethania, wanawe na jamaa zake, 12
Maere achisanu anagwera Netaniya, ana ake ndi abale ake. 12
13 ya sita ikamwangukia Bukia, wanawe na jamaa zake, 12
Maere achisanu ndi chimodzi anagwera Bukiya, ana ake ndi abale ake. 12
14 ya saba ikamwangukia Yesarela, // wanawe na jamaa zake, 12
Maere achisanu ndi chiwiri anagwera Yesarela, ana ake ndi abale ake. 12
15 ya nane ikamwangukia Yeshaya, wanawe na jamaa zake, 12
Maere achisanu ndi chitatu anagwera Yeshaya, ana ake ndi abale ake. 12
16 ya tisa ikamwangukia Matania, wanawe na jamaa zake, 12
Maere achisanu ndi chinayi anagwera Mataniya, ana ake ndi abale ake. 12
17 ya kumi ikamwangukia Shimei, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a khumi anagwera Simei, ana ake ndi abale ake. 12
18 ya kumi na moja ikamwangukia Azareli, // wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 11 anagwera Azareli, ana ake ndi abale ake. 12
19 ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 12 anagwera Hasabiya, ana ake ndi abale ake. 12
20 ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 13 anagwera Subaeli, ana ake ndi abale ake. 12
21 ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 14 anagwera Matitiya, ana ake ndi abale ake. 12
22 ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 15 anagwera Yeremoti, ana ake ndi abale ake. 12
23 Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 16 anagwera Hananiya, ana ake ndi abale ake. 12
24 ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 17 anagwera Yosibakasa, ana ake ndi abale ake. 12
25 ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 18 anagwera Hanani, ana ake ndi abale ake. 12
26 ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 19 anagwera Maloti, ana ake ndi abale ake. 12
27 ya ishirini ikamwangukia Eliatha, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 20 anagwera Eliyata, ana ake ndi abale ake. 12
28 ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 21 anagwera Hotiri, ana ake ndi abale ake. 12
29 ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 22 anagwera Gidaliti, ana ake ndi abale ake. 12
30 ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, wanawe na jamaa zake, 12
Maere a 23 anagwera Mahazioti, ana ake ndi abale ake. 12
31 ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, wanawe na jamaa zake, 12.
Maere a 24 anagwera Romamiti-Ezeri, ana ake ndi abale ake 12.