< 1 Nyakati 24 >
1 Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni: Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
E quanto aos filhos de Aarão, estes foram as suas divisões: os filhos de Aarão foram Nadab, e Abihu, e Eleazar e Ithamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani.
E morreram Nadab e Abihu antes de seu pai, e não tiveram filhos: e Eleazar e Ithamar administravam o sacerdócio.
3 Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao.
E David os repartiu, como também a Zadok, dos filhos de Eleazar, e Ahimelech, dos filhos de Ithamar, segundo o seu ofício no seu ministério.
4 Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari.
E achou-se que eram muitos mais os filhos de Eleazar entre os chefes de famílias do que os filhos de Ithamar, quando os repartiram: dos filhos de Eleazar dezeseis chefes das casas dos pais, mas dos filhos de Ithamar, segundo as casas de seus pais, oito.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.
E os repartiram por sortes, uns com os outros; porque houve maiorais do santuário e maiorais da casa de Deus, assim dentre os filhos de Eleazar, como dentre os filhos de Ithamar.
6 Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.
E os registou Semaias, filho de Nathanael, o escrivão dentre os levitas, perante o rei, e os príncipes, e Zadok, o sacerdote, e Ahimelech, filho de Abiathar, e os chefes dos pais entre os sacerdotes, e entre os levitas: uma dentre as casas dos pais se tomou para Eleazar, e se tomou outra para Ithamar.
7 Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu, ya pili Yedaya,
E saiu a primeira sorte a Jojarib, a segunda a Jedaias,
8 ya tatu Harimu, ya nne Seorimu,
A terceira a Harim, a quarta a Seorim,
9 ya tano Malkiya, ya sita Miyamini,
A quinta a Malchias, a sexta a Mihamin.
10 ya saba Hakosi, ya nane Abiya,
A sétima a Hakkos, a oitava a Abias,
11 ya tisa Yeshua, ya kumi Shekania,
A nona a Jesua, a décima a Sechanias,
12 ya kumi na moja Eliashibu, ya kumi na mbili Yakimu,
A undécima a Eliasib, a duodécima a Jakim,
13 ya kumi na tatu Hupa, ya kumi na nne Yeshebeabu,
A décima terceira a Huppa, a décima quarta a Jesebeab,
14 ya kumi na tano Bilga, ya kumi na sita Imeri,
A décima quinta a Bilga, a décima sexta a Immer,
15 ya kumi na saba Heziri, ya kumi na nane Hapisesi,
A décima sétima a Hezir, a décima oitava a Happises,
16 ya kumi na tisa Pethahia, ya ishirini Yehezkeli,
A décima nona a Petahias, a vigésima a Jehezkel,
17 ya ishirini na moja Yakini, ya ishirini na mbili Gamuli,
A vigésima primeira a Jachin, a vigésima segunda a Gamul,
18 ya ishirini na tatu Delaya, ya ishirini na nne Maazia.
A vigésima terceira a Delaias, a vigésima quarta a Maazias.
19 Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la Bwana kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.
O ofício destes no seu ministério era entrar na casa do Senhor, segundo lhes fôra ordenado por Aarão seu pai, como o Senhor Deus de Israel lhe tinha ordenado.
20 Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli; kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.
E do resto dos filhos de Levi: dos filhos de Amram, Subael: dos filhos de Subael, Jehdias.
21 Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe: Ishia alikuwa wa kwanza.
Quanto a Rehabias: dos filhos de Rehabias Issias era chefe;
22 Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi, kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.
Dos isharitas, Selomoth; dos filhos de Selomoth, Jahoth;
23 Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.
E dos filhos de Hebron, Jerias o primeiro, Amarias o segundo, Jahaziel o terceiro, Jekamam o quarto;
24 Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika; kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.
Dos filhos de Uziel, Micha; dos filhos de Micha, Samir;
25 Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia; na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.
O irmão de Micha, Issias; dos filhos de Issias, Zacarias;
26 Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.
Os filhos de Merari, Maheli e Musi; dos filhos de Jaazias, Beno;
27 Wana wa Merari: kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.
Os filhos de Merari de Jaazias, Beno, e Soham, e Zaccur, e Hibri;
28 Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.
De Maheli, Eleazar: e este não teve filhos.
29 Kutoka kwa Kishi: mwana wa Kishi: alikuwa Yerameeli.
Quanto a Kis: dos filhos de Kis, Jerahmeel;
30 Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi. Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao.
E os filhos, de Musi, Maheli, e Eder, e Jerimoth; estes foram os filhos dos levitas, segundo as suas casas paternas.
31 Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Aroni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.
E também eles lançaram sortes igualmente com seus irmãos, os filhos de Aarão, perante o rei David, e Zadok, e Ahimelech, e os chefes dos pais entre os sacerdotes e entre os levitas: o chefe da casa dos pais e bem assim seu irmão menor.